Recent posts
28 May 2026, 13:15
Wanafunzi waonywa matumizi ya bangi kali
Elimu ya rika balehe iliyotolewa itasaidia kupunguza tatizo la matumizi ya sigala kali na bangi kwa wasichana wanaosoma katika shule ya Mlamke. Na Adelphina Kutika Wasichana wa Shule ya Sekondari Mlamke mkoani Iringa wametakiwa kuacha matumizi ya bangi, sigara kali…
28 May 2026, 08:55
Mwang’onda: “Tuilinde amani ya nchi”
Na Fredrick Siwale Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa wametakiwa kulinda amani iliyopo Nchini kwani ndio msingi wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo. Akizungumza katika mkesha wa Mwenge uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkombwe Halmashauri ya Mji…
24 May 2026, 09:53
Mufindi wajiandaa kuupokea Mwenge
Mwenge huo utatembelea kata zote za Wilaya ya Mufindi DC na Halmahauri ya Mji Mafinga kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. Na Fredrick Siwale Wilaya ya Mufindi inatarajiwa kuupokea mwenge wa Uhuru tarehe 26/6/2026 ukitokea Mkoani Njombe kwa ajili ya…
22 May 2026, 12:07
Makala: Changamoto ya wanaume kupigwa na wake zao
Makala hii inaelezea Matukio ya Ukatili dhidi ya wanaume jambo linalohatarisha ustawi wa familia. Na Hafidh Ally na Joyce Buganda Nuru FM imekuandalia makala hii maalum Kuangazia changamoto za ukatili wanazokutana nazo wanaume ikiwemo vipigo kutoka kwa wake zao na…
22 May 2026, 09:09
Chuo cha Rucu chawaandaa wahitimu kujiajiri
Tukio la Business Day limeonesha dhamira ya Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu) ya kutoa elimu inayozalisha wahitimu wenye ushindani, ubunifu, maadili, na uwezo wa kufanya shughuli za kibiashara. Na Hafidh Ally Wanafunzi wa Chuo Kikuu Katoliki cha Ruaha (Rucu)…
21 May 2026, 08:44
Bukumbi acharuka kampuni za Ulinzi zisizolipa wafanyakazi
Jeshi la Polisi limebaini kuwa kampuni nyingi zinaendesha shughuli zake kinyume cha sheria. Na Ayoub Sanga Jeshi la Polisi mkoani Iringa limetangaza kiama kwa kampuni za ulinzi ambazo zimekuwa zikikiuka sheria na kanuni za vibali vya ulinzi, hali inayodaiwa kusababisha…
21 May 2026, 08:38
Iringa kufanya wiki ya utafiti na ubunifu
Wananchi Mkoani Iringa wanatarajia Kunufaika Na Maarifa Na Teknolojia Mpya kupitia maonesho hayo. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, amewataka wananchi kutumia fursa ya Wiki ya Utafiti, Ubunifu na Huduma kwa Jamii kujifunza na kunufaika na…
19 May 2026, 19:21
Bonanza la Mahuninga latatua changamoto za wananchi
Na Joyce Buganda Diwani wa Kata ya Mahuninga wilaya ya iringa Michael Vahaye ameandaa hafla kwa watumishi wa kata hiyo kwa kuandaa bonanza lilohusisha watumishi wa kata ya mahuninga Wilaya ya Iringa na wanafunzi yenye lengo la kutatua changamoto zilizopo…
19 May 2026, 09:17
Care Tanzania yaleta usawa katika Jamii Iringa
CARE Tanzania imesaidia kwa kiwango kikubwa kutoa elimu kwa wakazi wa vijiji vya Holo, Kibebe na Ulanda. Na Adelphina Kutika Shirika la CARE Tanzania limetoa mafunzo ya kusaidiana majukumu ya nyumbani kwa wananchi wa kata za Ulanda na Kibebe katika…
15 May 2026, 15:16
Sanga: Wanamasaka mtapata huduma bora
Kituo hicho kitasaidia wananchi hao kupata huduma bora za afya. Na Joyce Buganda Wananchi wa Kijiji cha Kaning’ombe kilichopo Kata ya Masaka Wilaya ya Iringa wameiomba serikali kuwajengea kituo cha afya sambamba na kuwatatulia changamoto ya maji. Wakizungumza katika mkutano…