Nuru FM

Recent posts

14 March 2024, 10:48 am

Soko kuu Iringa kufanya kazi mpaka saa nne usiku

Kitendo cha wafanyabiashara wa soko kuu la Iringa mjini kuruhusiwa kufanya biashara zao mpaka saa nne usiku kimeonekana kuwa msaada kwa wananchi wanaotaka huduma hizo. Na Azory Orema Licha ya soko kuu Manispaa ya Iringa kuruhusiwa kufanya biashara mpaka saa…

13 March 2024, 9:32 pm

Madereva daladala Iringa wagoma tena

Serikali inatakiwa kufanyia kazi malalamiko ya muda mrefu ya Madereva wa Daladala ambayo yamekuwa kero kwa watumiaji. Na Azory Orema Wananchi wanaotumia usafiri wa daladala Manispaa ya Iringa wamelalamikia ugumu wa usafiri wao baada ya daladala zinazopakia abiria kugoma kufanya…

12 March 2024, 5:34 pm

Andikeni habari zinazogusa jamii

Na Adelphina Kutika Waandishi wa habari mkoani Iringa wametakiwa kuachana na uandishi wa kawaida na badala yake wajikite kuandika habari za wananchi ili kuwaongezea heshima katika jamii. Agizo hilo limetolewa na Mwenyekiti wa Iringa Press Club (IPC) Frank Leonard katika…

12 March 2024, 12:57 pm

Iringa: Twinsteps yaidhamini timu ya City Center

Udhamini walioupata timu ya City Center utasaidia vijana wao kutojihusisha na matumizi ya dawa za kulevya. Na Hafidh Ally Kampuni ya Twinsteps inayojihusisha na kazi ya kuuza na kununua magari ndani na nje ya Tanzania imejitolea kuidhamini timu ya mpira…

12 March 2024, 11:22 am

RC mpya Iringa ahimiza weledi

Watumishi wazembe katika ofisi za umma waonywa ili kuleta maendeleo mkoani Iringa. Na Godfrey Mengele Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba amewataka watumishi waliopo katika idara mbalimbali kufanya kazi kwa weledi na kutoa huduma kwa jamii na kuacha kufanya…

12 March 2024, 11:01 am

TAKUKURU kufuatilia matumizi ya milion 10 Iringa

Matumizi ya zaidi ya Milioni 60 katika ujenzi wa stendi ya mabasi ya Igumbilo yamemuibua Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa kujua uhalali wa Matumizi. Na Godfrey Mengele Mstahiki Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Ibrahim Ngwada amelazimika kuiagiza mamlaka…

8 March 2024, 4:40 pm

Wanawake Iruwasa watoa msaada kwa wagonjwa

Mashuka yaliyokabidhiwa Hospitalini hapo yatawasaidia wagonjwa wanaolazwa. Na Mwandishi wetu Ikiwa Leo ni Siku ya Wanawake Duniani wanawake kutoka Idara ya Maji Safi na Mazingira Iringa (IRUWASA) wametembelea Hospitali ya Rufaa Ya Mkoa wa Iringa na kutoa mashuka 20 kwa…

7 March 2024, 4:40 pm

Madereva Iringa washangaa kivuko kuondolewa

Kuondolewa kwa kivuko Cha katika stendi ya zamani Iringa kumetajwa kuwa sababu ya ongezeko la foleni na magari yao kuharibika. Na Godfrey Mengele Madereva wanaotumia kituo cha stendi kuu ya zamani, kwa sasa ikifahamika kama stendi ya daladala wameshangazwa na…

7 March 2024, 4:30 pm

Yara kuibua tija ya kilimo Iringa

Yara kuja na Mkakati wa kutoa mafunzo kwa wakulima yenye lengo la kuongeza usalishaji. Na Adelphina Kutika Kampuni ya Yara Tanzania imeanzisha kituo Cha Mafunzo ambacho kitakuwa kikihusika na kuibua tija ya wakulima na kuchangia kilimo endelevu kwa Mkoa wa…

7 March 2024, 4:10 pm

Acheni kwenda na watoto kilabuni

Utaratibu wa wazazi kwenda na watoto Vilabuni chanzo Cha ongezeko la Ukatili dhidi ya watoto Mkoani Iringa. Na Joyce Buganda Mkuu wa Dawati la jinsia na watoto Mkoa wa Iringa Mkaguzi wa Polisi, Elizabeth Swai amewaasa Wanawake kuacha tabia ya…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.