Nuru FM

Recent posts

10 June 2026, 08:43

Kaya tatu Mufindi zapatiwa bima ya afya

Bima hizo zimetolewa ili kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha jamii inapata huduma bora za afya. Na Fredrick Siwale Katika kuunga Mkono upatikanaji wa bima ya afya kwa wote, chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimekabidhi shilingi Sh. 450,000…

8 June 2026, 09:57

Mwigulu: “Wananchi Iringa wasiuziane ardhi kiholela”

Viongozi mliopo hapa waambieni wananchi hivi sasa masuala ya ardhi wasifanye kwa kuaminiana, wawe wanaandikishana kwa mikataba na tena katika ofisi za kijiji ili watambulike. Na Hafidh Ally Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwigulu Nchemba amewataka watumishi…

3 June 2026, 10:18

MUCE yakuza tafiti na ubunifu Iringa

Na Hafidh Ally Zaidi ya shilingi milioni 300 zimewekezwa na Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) katika kuendeleza mawazo bunifu na tafiti mbalimbali zenye lengo la kuzalishwa kibiashara na kutoa suluhisho kwa changamoto za kijamii na kiuchumi nchini. Hayo yameelezwa…

2 June 2026, 11:23

Ngajilo awawezesha wajasiriamali 400 Iringa

Ufunguzi wa mafunzo pichani Mafunzo hayo, ambayo ni msimu wa pili kufanyika, yamelenga kuwapa wajasiriamali wadogo na wa kati maarifa ya kisasa kuhusu usimamizi wa biashara, upatikanaji wa mitaji, masoko na fursa mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza tija na mchango…

29 May 2026, 10:36

Wanahabari Iringa wapewa elimu ya matumizi ya maziwa

Maziwa ni chakula muhimu na kamili kwa watu wa rika zote kutokana na kuwa na makundi yote ya virutubishi muhimu kwa mwili wa binadamu. Na Hafidh Ally WAANDISHI wa habari mkoani Iringa wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya maziwa bora na…

29 May 2026, 09:23

Mikopo ya IDYDC yafungua Fursa za ajira Iringa

Wananchi mkoani Iringa wameendelea kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC, hali iliyosaidia kuinua uchumi wa familia nyingi kupitia uanzishaji na upanuzi wa biashara mbalimbali. Na Hafidh Ally Hatua ya Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC…

29 May 2026, 09:07

Mafinga Mji wapongeza ujenzi wa barabara

Na Hafidh Ally Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga wameipongeza serikali kwa kufanya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 1.3 unaotekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 700 ambao umeleta manufaa makubwa kwa jamii. Wakizungumza mara baada ya Barabara…

28 May 2026, 13:15

Wanafunzi waonywa matumizi ya bangi kali

Elimu ya rika balehe iliyotolewa itasaidia kupunguza tatizo la matumizi ya sigala kali na bangi kwa wasichana wanaosoma katika shule ya Mlamke. Na Adelphina Kutika Wasichana wa Shule ya Sekondari Mlamke mkoani Iringa wametakiwa kuacha matumizi ya bangi, sigara kali…

28 May 2026, 08:55

Mwang’onda: “Tuilinde amani ya nchi”

Na Fredrick Siwale Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga Mkoani Iringa wametakiwa wametakiwa kulinda amani iliyopo Nchini kwani ndio msingi wa kutekeleza miradi mikubwa ya maendeleo. Akizungumza katika mkesha wa Mwenge uliofanyika Uwanja wa Shule ya Msingi Mkombwe Halmashauri ya Mji…

24 May 2026, 09:53

Mufindi wajiandaa kuupokea Mwenge

Mwenge huo utatembelea kata zote za Wilaya ya Mufindi DC na Halmahauri ya Mji Mafinga kukagua utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo. Na Fredrick Siwale Wilaya ya Mufindi inatarajiwa kuupokea mwenge wa Uhuru tarehe 26/6/2026 ukitokea Mkoani Njombe kwa ajili ya…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.