Nuru FM
Nuru FM
13 March 2026, 08:34
Mvua hizo zimesababisha uharibifu wa nyumba, upotevu wa mali pamoja na kuharibiwa kwa mazao yaliyokuwa mashambani. Na Ayoub Sanga Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali mkoani Iringa zimesababisha maafa makubwa ikiwemo uharibifu wa nyumba, upotevu wa mali na kuharibiwa…
12 March 2026, 12:14
“Kitendo cha kuwekwa kwa makufuli katika milango ya biashara zetu hatukubaliani nacho” Na Fredrick siwale Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Mafinga katika Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa wamelalamikia hatua ya baadhi ya maafisa wa halmashauri hiyo kufunga milango…
12 March 2026, 08:42
Mradi huu unatekelezwa ukiwa na lengo la kuwalipia maji ya Mkopo kupitia IRUWASA na kisha wananchi kulipa kidogo kidogo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Mpaka kijiji cha Ibangamoyo Kilichopo Kata ya Ulanda Wilaya ya Iringa Vijini wamenufaika na mradi wa…
11 March 2026, 09:27
Utafiti huo wa sekta ya misitu unatarajia kukuza mnyororo wa thamani ya mazao hayo kwa wakulima wadogo. Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa kwa kushirikiana na Shirika la Forland Tanzania imezindua matokeo ya utafiti kuhusu maendeleo ya sekta ya misitu,…
11 March 2026, 09:09
Kutokana na changamoto ya ukosefu wa samani hizo, walimu walilazimika kutumia viti vya wanafunzi wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kila siku. Na Ayoub Sanga Mkurugenzi wa Ndete Store , Lucas Ndete, amekabidhi meza na viti kwa walimu wa Shule…
9 March 2026, 09:45
Serikali imeweka mifumo na vituo vya kuripoti matukio ya ukatili, na wananchi wanapaswa kuitumia Na Fredrick Siwale Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amekemea tabia ya baadhi ya wanawake, kutotoa ushahidi katika mashauri yanayohusiana na matukio ya ukatili…
8 March 2026, 08:00
“Tumeona tusherehekee siku ya wanawake duniani Kwa kutoa msaada wa mahitaji Kwa watoto hawa” Na Joyce Buganda Wanawake kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Iringa wameadhimisha maadhimisho ya siku ya wanawake kiwilaya kitofauti kwa kwenda kutembelea vituo viwili vya watoto yatima…
7 March 2026, 10:41
Kliniki hii ina lenga kuhakikisha wanawake wanapata fursa ya kumiliki ardhi sawa na wanaume. Na Telesia Chalamila na Elika Matonya Kuelekea maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani Wizara ya ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Ofisi ya ardhi Mkoa wa…
7 March 2026, 10:29
“Wanaume Wilaya ya Mufindi wamekuwa wakikutana na vipigo na wanakaa kimya” Na Fredrick Siwale Wanawake Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wametakiwa kuacha tabia ya kuwapiga waume zao ili kukuza ustawi katika Jamii. Hayo yamezungumzwa wakati wa Maadhimisho ya…
6 March 2026, 16:02
“Maadili bora katika jamii yanaanzia kwa wanawake hivyo wanapaswa kuwa mstari wa mbele” Na Joyce Buganda Wanawake wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa wametakiwa kusimamia maadili mema na malezi katika familia zao na jamii inayowazunguka. Akizungumza wakati wa kufunga kongamano…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.