Nuru FM

Recent posts

12 June 2026, 17:36

Heche awasili Iringa, kuhutibia wananchi kesho

Na Hafidh Ally Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Bara John Heche, amewasili mkoani Iringa leo 12 Juni 2026 kwa ajili ya kufanya ziara na kuhutubia wanachama na wakazi wa Iringa. Heche amewasili na kupokelewa na wanachama…

12 June 2026, 08:53

Polisi Iringa yawakamata watuhumiwa 215

Katika operesheni zinzaofanywa na Jeshi la Polisi walifanikiwa kukamata mali mbalimbali zinazodhaniwa kuwa za wizi Mkoani Iringa. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limewakamata watuhumiwa 215 kwa makosa mbalimbali katika kipindi cha Mei 1 hadi Juni 9,…

10 June 2026, 08:58

Shemdoe aziagiza halmashauri kukuza vipaji vya michezo

“Ni vyema Halmashauri zikaweka mkakati wa kukuza na kutumia vipaji vitakavyopatika kupitia mashindano hayo kama fursa ya ajira“ Na Hafidh Ally Halmashauri zote Nchini zimetakiwa kuweka mkakati wa kuanzisha na kuendeleza shule maalumu za kukuza vipaji vya michezo na sanaa…

10 June 2026, 08:43

Kaya tatu Mufindi zapatiwa bima ya afya

Bima hizo zimetolewa ili kuunga mkono juhudi za serikali kuhakikisha jamii inapata huduma bora za afya. Na Fredrick Siwale Katika kuunga Mkono upatikanaji wa bima ya afya kwa wote, chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimekabidhi shilingi Sh. 450,000…

8 June 2026, 09:57

Mwigulu: “Wananchi Iringa wasiuziane ardhi kiholela”

Viongozi mliopo hapa waambieni wananchi hivi sasa masuala ya ardhi wasifanye kwa kuaminiana, wawe wanaandikishana kwa mikataba na tena katika ofisi za kijiji ili watambulike. Na Hafidh Ally Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mwigulu Nchemba amewataka watumishi…

3 June 2026, 10:18

MUCE yakuza tafiti na ubunifu Iringa

Na Hafidh Ally Zaidi ya shilingi milioni 300 zimewekezwa na Chuo Kishiriki cha Elimu Mkwawa (MUCE) katika kuendeleza mawazo bunifu na tafiti mbalimbali zenye lengo la kuzalishwa kibiashara na kutoa suluhisho kwa changamoto za kijamii na kiuchumi nchini. Hayo yameelezwa…

2 June 2026, 11:23

Ngajilo awawezesha wajasiriamali 400 Iringa

Ufunguzi wa mafunzo pichani Mafunzo hayo, ambayo ni msimu wa pili kufanyika, yamelenga kuwapa wajasiriamali wadogo na wa kati maarifa ya kisasa kuhusu usimamizi wa biashara, upatikanaji wa mitaji, masoko na fursa mbalimbali za kiuchumi ili kuongeza tija na mchango…

29 May 2026, 10:36

Wanahabari Iringa wapewa elimu ya matumizi ya maziwa

Maziwa ni chakula muhimu na kamili kwa watu wa rika zote kutokana na kuwa na makundi yote ya virutubishi muhimu kwa mwili wa binadamu. Na Hafidh Ally WAANDISHI wa habari mkoani Iringa wamepatiwa elimu kuhusu matumizi ya maziwa bora na…

29 May 2026, 09:23

Mikopo ya IDYDC yafungua Fursa za ajira Iringa

Wananchi mkoani Iringa wameendelea kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC, hali iliyosaidia kuinua uchumi wa familia nyingi kupitia uanzishaji na upanuzi wa biashara mbalimbali. Na Hafidh Ally Hatua ya Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC…

29 May 2026, 09:07

Mafinga Mji wapongeza ujenzi wa barabara

Na Hafidh Ally Wananchi Halmashauri ya Mji Mafinga wameipongeza serikali kwa kufanya ujenzi wa barabara yenye urefu wa kilomita 1.3 unaotekelezwa na Serikali kwa gharama ya shilingi milioni 700 ambao umeleta manufaa makubwa kwa jamii. Wakizungumza mara baada ya Barabara…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.