Nuru FM

Recent posts

7 March 2024, 10:09 am

Wanahabari wapewa mafunzo ya radio portal

Mafunzo ya kuwajengea uwezo wanahabari ili waweze kuandaa maudhui bora mtandaoni hasa kupitia radio portal. Na Hafidh Ally Waandishi wa habari kutoka radio jamii zilizopo chini ya mtandao wa TADIO wamepewa mafunzo ya namna ya kuchapisha na kutuma maudhui kupitia…

5 March 2024, 8:40 pm

Kihenzile awaita wawekezaji usafiri wa reli

Na Mwandishi wetu Wawekezaji wameshauriwa kujitokeza kwa wingi kuwekeza katika usafiri wa reli hapa nchini. Wito huo umetolewa  mkoani Mwanza na Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Kihenzile ambaye ni Mbunge wa Mufindi Kusini wakati alipokuwa akizindua jukwaa la uwekezaji la…

5 March 2024, 8:57 am

Iringa yaunda kamati kutatua changamoto za machinga

Na Hafidh Ally Mkoa wa Iringa umeunda kamati ndogo itakayofanya kazi siku saba kushughulikia ombi la wafanyabiashara wadogo maarufu wamachinga la kuwaruhusu wanawake kufanya shughuli zao katika eneo la mashine tatu muda wa jioni. Mkuu wa mkoa huo Halima Dendego…

4 March 2024, 12:24 pm

Iringa kuzindua mkakati wa kukabili udumavu

Licha ya takwimu kuonesha kuwa hali ya udumavu nchini imepungua hadi kufikia asilimia 30 mwaka 2022, bado mikoa ya Iringa na Njombe ina hali ya udumavu wa kutisha. Na Frank Leonard Wakati baadhi ya wadau wakionekana kutoziafiki takwimu zinazoonesha mkoa…

3 March 2024, 8:14 pm

PJT MMMAM yazinduliwa Iringa Manispaa

Na Joyce Buganda Mhe. Ibrahim Ngwada Mstahiki Meya Manispaa ya Iringa amezindua rasmi program jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto PJT-MMMAM huku watendaji na wananchi wakitakiwa kushiriki vema katika kutekeleza programu hiyo. Hayo yamezungumzwa…

3 March 2024, 8:00 pm

Dkt. Mwinyi amkushukuru Rais Samia msiba wa Mwinyi

Na Mwandishi wetu Rais wa Zanzibar Dk. Hussein Ali Mwinyi amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwa bega kwa bega tangu Rais wa awamu ya pili, hayati Ali Hassan Mwinyi alipoanza kuugua mwezi Novemba na kupelekwa Uingereza kwa matibabu. Rais…

2 March 2024, 8:16 pm

Polisi yatoa ufafanuzi kifo dereva wa ASAS

Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi limeanza kuchunguza taarifa ya kifo cha cha dereva Martin Chacha Mwita wa kampuni ya Transfuel Logistics Ltd aliyefariki mjini Iringa wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa. Wakati uchunguzi huo…

1 March 2024, 12:13 pm

Mradi wa SLR waanza kuleta matokeo Iringa

Na Frank Leornad WANANCHI waliofikiwa na Mradi wa Urejeshwaji Endelevu wa Mazingira na Hifadhi ya Bioanuai (SLR) unaosimamiwa na Ofisi ya Makamu wa Rais wameanza kuitumia elimu wanayopatiwa katika mashamba darasa wilayani Iringa, kuifanya kuwa endelevu ili kuwakwamua kiuchumi. Baadhi…

29 February 2024, 9:26 pm

Rais Samia atangaza kifo cha Mwinyi

Na Mwandishi wetu. Rais Mstaafu wa awamu ya pili wa Tanzania, Ally Hassan Mwinyi amefariki dunia leo Februari, 2024 saa 11:30 jioni katika hospitaliya Mzena jijini Dar es Salaam alipokuwa akipatiwa matibabu ya ugonjwa wa saratani ya mapafu. Rais wa…

29 February 2024, 9:11 pm

MMMAM yataka malezi bora kwa watoto

Na Joyce Buganda Wadau wa watoto wilayani Mufindi mkoani Iringa wametakiwa kufuatilia kwa ukaribu malezi, afya na makuzi ya watoto wanayoelekezwa na wataalam. Akizungumza katika ufunguzi wa Program Jjumuishi ya Taifa ya Malezi , Makuzi na Maendeleo ya Mtoto PJT…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.