Nuru FM

Recent posts

6 February 2026, 12:54

Wapigwa faini kwa kutumia mbolea ya ruzuku viwandani

“Wananchi walilalamika kukosekana kwa mbolea ambayo imechukuliwa yote na wamiliki wa viwanda kinyume na taratibu” Na Fredrick Siwale Jumla ya Viwanda 7 vinavyochakata mazao ya Misitu Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa vimetozwa Faini ya shilingi Milion 15 kila moja kwa…

5 February 2026, 11:20

RC Kheri ahimiza bima ya afya kwa wote

Kujiunga na bima ni hatua ya kujilinda na gharama zisizotarajiwa za matibabu. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James amewataka viongozi wa ngazi za vijiji na vitongoji kuwahamasisha wananchi wa maeneo yao kujiunga na mpango wa…

5 February 2026, 10:20

Wanafunzi Iringa wapewa Unga wa lishe

Mpango wa lishe shuleni kupitia mkataba wa lishe ulioasisiwa mwaka 2022, unawataka wakuu wa mikoa na wilaya kuhakikisha watoto wanapata chakula chenye virutubisho vya kutosha. Na Hafidh Ally Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kupitia mapato yake ya ndani imefanikiwa kugawa…

3 February 2026, 09:55

Mahakama zatakiwa kusimamia misingi ya haki

“Jamii inayopambwa na misingi ya haki itakuwa mfano kwa wengine na kila mtu atataka kuwa sehemu yake” Na Hafidh Ally Mahakama Zimetajwa kuwa na nafasi ya kipekee katika kuhakikisha wananchi wananufaika na ustawi wa kweli hasa katika Utoaji wa haki…

3 February 2026, 09:36

Mkataba wa mil 900 kujenga machinjio Iringa

Kampuni ya GIPCO Construction Ltd yashinda tenda ya ujenzi wa machinjio ya kisasa mjini Iringa. Na Hafidh Ally Manispaa ya Iringa imesaini mkataba wa thamani ya zaidi ya shilingi milioni 900 na Kampuni ya Jipco kwa ajili ya ujenzi wa…

2 February 2026, 11:39

CCM Mufindi yahimiza uwajibikaji kwa miradi ya maendeleo

Na Fredrick Siwale Chama cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Mufindi kimeanza kutoa elimu ya uwajibikaji kwa viongozi wake kuanzia ngazi ya Matawi ili kuleta maendeleo kwa jamii. Hayo yamezungumzwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mufindi mkoani Iringa George Kavenuke,…

28 January 2026, 17:30

EAMCEF kuwafadhili wakulima na wafugaji Iringa

Na Joyce Buganda Serikali mkoani Iringa imeanzisha Mfuko wa Uhifadhi wa Milima ya Tao la Mashariki EAMCEF unaolenga kufadhili wakulima na wafugaji katika jitihada za uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Hayo yamezungumzwa na Afisa  mazingira mkoani…

28 January 2026, 13:14

Ngajilo aibana serikali daraja la Isakalilo-Kitwiru

“Daraja hilo limekuwa muhimu kwa wananchi wa eneo hilo hivyo tunaomba Mradi utekelezwe kwa full package” Na Hafidh Ally Serikali imeahidi kuanza utekelezaji wa ujenzi wa Daraja la Isakalilo-Kitwiru lilopo kwenye barabara hiyo yenye urefu wa KM 3. Hayo yamezunguzmwa…

28 January 2026, 12:48

Mwaipopo kumalizia nyumba ya jumuiya ya wazazi Mufindi

Nyumba hii itasaidia viongozi wa jumuiya hii kukaa sehemu salama na kutekeleza majukumu ya Chama. Na Fredrick siwale Mjumbe wa mkutano Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi Wilaya ya Mufindi Ndg. Dickison Mwipopo ameahidi kugharamia umaliziaji wa ujenzi wa nyumba ya…

26 January 2026, 11:39

Wananchi Kitasengwa walalamikia ubovu wa barabara

Ubovu wa miundombinu ya barabara katika eneo la Kitasengwa, Manispaa ya Iringa, imeendelea kuwa kero kubwa kwa wananchi Na Hafidh Ally Wananchi wa Kitasengwa Kata ya Isakalilo Manispaa ya Iringa wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya barabara inayotajwa kuwa kero…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.