Nuru FM

Makala:Ukatili wa kiuchumi dhidi ya wanawake Iringa

8 August 2026, 10:15

Cover ya kipindi cha Wakati ni sasa kinachoruka hapa Nuru FM Radio. Na Hafidh Ally

Makala hii inaelezea Aina nyingine ya Ukatili wa kiuchumi dhidi ya wanawake jambo linalohatarisha wanawake kuwa tegemezi.

Na Hafidh Ally na Joyce Buganda

Nuru FM imekuandalia makala hii maalum Kuangazia changamoto za ukatili wa kiuchumi ambazo wanawake wanakutana nazo na kupelekea Familia nyingi kuingia katika madeni na migogoro.