Nuru FM
29 May 2026, 09:23

Wananchi mkoani Iringa wameendelea kunufaika na mikopo inayotolewa na Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC, hali iliyosaidia kuinua uchumi wa familia nyingi kupitia uanzishaji na upanuzi wa biashara mbalimbali.
Na Hafidh Ally
Hatua ya Shirika lisilo la Kiserikali la IDYDC kutoa mikopo kwa wananchi wa Mkoa wa Iringa imeendelea kuleta matumaini mapya kwa familia nyingi.Mwanahabari wetu Hafidh Ally ametuandalia makala fupi kuhusu wanufaika wa Mikipo hiyo wakizungumza hali walizokuwa nazo baada ya kupata mikopo hiyo.
