Nuru FM
22 May 2026, 12:07

Makala hii inaelezea Matukio ya Ukatili dhidi ya wanaume jambo linalohatarisha ustawi wa familia.
Na Hafidh Ally na Joyce Buganda
Nuru FM imekuandalia makala hii maalum Kuangazia changamoto za ukatili wanazokutana nazo wanaume ikiwemo vipigo kutoka kwa wake zao na muda mwingine kunyimwa haki ya tendo la ndoa.