Radio Tadio

Haki

26 January 2024, 15:51

Wananchi kunufaika na elimu ya sheria Buhigwe

Wakati tukiwa katika wiki ya sheria, Wananchi Wilayani Buhigwe Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kufika katika vituo maalumu ambavyo vimeandaliwa kwa ajili ya kupata elimu ya kisheria. Na Emmanuel Kamangu.

13 October 2023, 1:03 pm

Mkoa wa Geita kupata Mahakama Kuu

Idadi ya watu milioni 2.9 katika Mkoa wa Geita imemsukuma Jaji Mkuu wa Tanzania kuanzia Mahakama kuu Mkoani Geita. Na Mrisho Sadick Geita: Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa tume ya utumishi wa Mahakama Profesa Ibrahimu Juma ameagiza kuanzishwa…

Picha ya Gladness Munuo na Musa Mtepa

11 August 2023, 19:12 pm

Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo

Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…