20 June 2024, 16:00 pm
Audio

Makala – Elimu ya Usalama Barabarani kwa Watu Wenye Ulemavu

Watu wenye ulemavu wanasisitiza umuhimu kwa watumiaji wa barabara kuwapa kipaumbele kutokana na changamoto wanazokutana nazo wanapotumia barabara. Kila mmoja wetu ana jukumu la kuhakikisha usalama barabarani, si jukumu la serikali pekee. Abeid Yusufu Lukanga, ambaye ni mlemavu anayetumia baiskeli,…

Offline
Play internet radio

Recent posts

25 July 2024, 07:51 am

CCM yaitaka CBT koboresha mfumo wa usambazaji pembejeo kwa wakulima

Kitendo cha kuwepo kwa madalali kwenye zao la korosho ndiyo sababu mojawapo inayochangia wakulima kutonufaika na kile alichokilima pamoja na mfumo wa mnada unaofanyika sasa hivi wa kutokuwepo mhusika aliyeweka barua ya ununuzi wa korosho hizo. Na Musa Mtepa Mwenyekiti…

24 July 2024, 07:31 am

Mtwara wapendekeza dira ya maendeleo ya taifa kuangazia mifumo ya elimu

Kama sisi tunataka kutengeneza nchi yetu na tunataka kuweka usawa kwenye elimu tutafute namna ambavyo hata hawa waliomaliza digrii wapate hizo nafasi kwenye ajira zinazotoka ,ukiangalia ajira zinazotoka asilimia kubwa ni diploma na certificate digrii ni wachache hivyo zinakatisha tamaa…

23 July 2024, 14:22 pm

Vijana mkoani Mtwara watakiwa kushiriki kikamilifu katika michakato ya uchaguzi

Kitendo cha kuchagua kiongozi unayemtaka kinaleta faida kwasababu unampata kiongozi anayeweza kuleta maendeleo katika jamii kwa kusimama na kukusemea malengo ya jamii husika. Na Musa Mtepa Vijana mkoani Mtwara wametakiwa kushiriki katika michakato mbalimbali ya uchaguzi na uongozi kwa kuanzia…

22 July 2024, 09:10 am

Upepo wa ajabu waezua paa la nyumba Mtwara

Limeanzia kati kati ya Bahari ,tumeona taswira muonekano kama Samaki wawili wakubwa wenye mvuke wa moshi na upepo mkubwa ambao umeleta taharuki ambao ulikuja kuishia kwenye nyumba ya Bwana Fadhili Ismail Na Musa Mtepa Watu wawili wamenusurika kujeruhiwa na paa…

12 July 2024, 09:42 am

Kapela: Wanaume msiwabeze wanawake kwenye uongozi

Changamoto kubwa aliyokutana nayo Bw Mustafa Chona wakati anampambania mkewe kuwa diwani wa kata ya Njengwa ni kwa baadhi ya wanaume kumdhihaki kuwa anapoteza muda wa kumpambania mkewe na kujirudisha nyuma kimaendeleo kwa kuuza baadhi ya mali na mifugo ili…

11 July 2024, 17:56 pm

Mtenga Jimbo Cup Season 2 kutimua vumbi Julai 13

Haya ni mashindano ya mpira wa miguu yaliyoanzishwa na Mbunge wa Jimbo la Mtwara Mjini ambapo mwaka huu 2024 yanaingia awamu ya pili huku takribani timu 18 zikitaraji kushiriki ligi hiyo ambapo mechi ya ufunguzi itafanyika Jumamosi ya Julai 13,…

30 June 2024, 14:21 pm

Wadau waombwa kuwekeza sekta ya utalii Mtwara

Wizara inaunga mkono jitihada zinazofanywa na taasisi ya Trade Aid katika kutangaza,kutunza na kuhifadhi mji Mkongwe wa Mikindani  ambao kwa mujibu kisheria mji huo umetangazwa kuwa mji wa hifadhi. Na Musa Mtepa Watanzania na wadau wa maendeleo wameombwa kuwekeza katika…

29 June 2024, 13:13 pm

Zaidi ya wakimbiaji 100 washiriki Mikindani Marathon

Mikindani Marathoni Marathoni ni sherehe zinazoambatana na maadhimisho ya siku ya mikindani(Mikindani day) ambayo dhima ni kutangaza utalii wa mji mikindani ,utamaduni wa makabila ya mikindani(Mtwara) pamoja na historia mbalimbali za mji huo. Na Musa Mtepa Katika kusheherekea kilele cha…

28 June 2024, 18:18 pm

Door of Hope Tanzania kutoa huduma ya msaada wa kisheria

Huduma za msaada wa kisheria katika kituo cha msaada wa kisheria cha Door of Hope zitatolewa bure kwa kupitia vigezo kama vya kupitia mawakili waliopo kituonina kupitia kikosi kazi cha jumla ya watu 11 Na Musa Mtepa Taasisi inayofanyakazi ya…

28 June 2024, 16:00 pm

TGNP kuhamasisha wanawake, vijana kushiriki nafasi za uongozi Mtwara

Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania TGNP umeendelea na zoezi la kutoa Elimu kwa Wananchi wa kata ya Mkunwa juu ya Mila na tamaduni zinazo sababisha Wanawake kutoshiriki katika nafasi mbalimbali za uongozi na maamuzi katika jamii. Wakizungumza baada…