Recent posts
20 June 2026, 12:07
Jamii Mtwara yaaswa kuepuka matumizi holela ya Dawa
Wataalamu wa afya Mtwara wameitaka jamii kuacha kutumia dawa bila vipimo na ushauri wa daktari, wakionya kuwa matumizi yasiyo sahihi yanaweza kusababisha madhara na usugu wa vimelea dhidi ya dawa Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kuachana na tabia ya kutumia…
19 June 2026, 14:28
Wananchi Mtwara wasisitiziwa kuwa walinzi wa Mazingira
Wananchi wametakiwa kulinda mazingira na kuachana na shughuli zinazochangia uharibifu wake ili kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi, huku Serikali na wadau wakihimizwa kuimarisha elimu na usimamizi wa rasilimali Na Musa Mtepa Wananchi wametakiwa kuwa walinzi wa mazingira kwa kuachana…
18 June 2026, 12:22
Wananchi walalamikia ubovu wa barabara
Wananchi wa Lwelu wameiomba Halmashauri ya Mtwara Mikindani kuboresha barabara za vumbi kutokana na ubovu unaowakwamisha kupata huduma muhimu na kusafirisha mazao yao kwa urahisi Na Musa Mtepa Wananchi wa Mtaa wa Lwelu, Kata ya Jangwani Manispaa ya Mtwara Mikindani,…
16 June 2026, 10:32
Tume ya Haki za Binadamu yatoa mafunzo kwa wavuvi wadogo Mtwara
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetoa mafunzo kwa wavuvi wadogo Msangamkuu kuhusu haki za binadamu, matumizi sahihi ya rasilimali za bahari na namna ya kushughulikia matukio ya uvunjifu wa haki ili kupunguza migogoro Na Musa Mtepa Tume…
14 June 2026, 14:31
CRDB Nanauka CUP 2026 yazinduliwa rasmi Mtwara
Mtwara Festival Nanauka Cup 2026 imezinduliwa rasmi Mtwara, huku viongozi wakisisitiza umuhimu wa michezo katika kuibua vipaji vya vijana. Mashindano hayo yanatarajiwa kutoa fursa kwa TFF kutambua na kukuza wachezaji watakaolitumikia taifa siku zijazo Na Musa Mtepa Msimu wa burudani…
11 June 2026, 13:23
Mama mjamzito aomba msaada wa vifaa vya kujifungulia Mtwara
Mwanamke mwenye ujauzito wa miezi tisa anayelea watoto wawili Mtwara ameomba msaada wa vifaa vya kujifungulia na mahitaji muhimu baada ya kukabiliwa na changamoto za maisha na kukimbia vitisho vya usalama Na Musa Mtepa Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la…
5 June 2026, 10:49
Unafahamu nini kuhusu ukatili dhidi ya wafanyakazi za nyumbani?
Na Mwanahamisi Chikambu, Mwanaidi kopakopa Katika miaka ya hivi karibuni, kumekuwa na mwamko mkubwa wa kutetea haki za binadamu, lakini bado kuna kundi linalosahaulika gizani ni wafanyakazi wa kazi za ndani. Katika mazingira ambayo kwa muda mrefu yamejaa unyanyasaji na…
3 June 2026, 07:53
Wadau waunga mkono tozo ya maendeleo ya bandari
Wadau wa Bandari Mtwara na Chama cha Mawakala wa Forodha Tanzania (TASACS) wamepongeza kuanzishwa kwa Tozo ya Maendeleo ya Miundombinu ya Bandari (PID), wakisema itaboresha huduma, kupunguza muda wa mizigo bandarini na kuongeza ufanisi wa biashara. Na Gregory Millanzi Chama…
2 June 2026, 11:21
Mtwara yawakutanisha wataalamu wa Korosho barani Afrika
Mtwara imekuwa mwenyeji wa mafunzo ya kimataifa ya korosho yaliyowakutanisha washiriki kutoka zaidi ya nchi 11 za Afrika kujadili mbinu za kuongeza uzalishaji, thamani na masoko ya zao la korosho kwa manufaa ya wakulima na wadau wa sekta hiyo Na…
25 May 2026, 10:42
Maeneo yanayochipua mapema Mikorosho yapewa kipaumbele Pembejeo
Bodi ya Korosho Tanzania imesema usambazaji wa pembejeo za ruzuku kwa msimu wa 2026/2027 umeanza katika maeneo yanayowahi kuchipua mikorosho, huku wakulima wakitakiwa kutumia utaratibu ule ule wa usajili kupitia AMCOS Na Musa Mtepa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imesema…