Recent posts
25 May 2026, 10:42
Maeneo yanayochipua mapema Mikorosho yapewa kipaumbele Pembejeo
Bodi ya Korosho Tanzania imesema usambazaji wa pembejeo za ruzuku kwa msimu wa 2026/2027 umeanza katika maeneo yanayowahi kuchipua mikorosho, huku wakulima wakitakiwa kutumia utaratibu ule ule wa usajili kupitia AMCOS Na Musa Mtepa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT) imesema…
23 May 2026, 11:01
DC Mwaipaya aongoza zoezi la usafi Makaburi ya Msafa
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdala Mwaipaya, ameungana na wananchi kufanya usafi katika Makaburi ya Msafa na kuhimiza jamii kuendeleza usafi wa mazingira ili kuimarisha usalama na afya ya wananchi Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Ndugu Abdala…
22 May 2026, 14:00
TAMCU yauza ufuta mnada wa kwanza bei ya juu shilingi 2520
TAMCU yauza zaidi ya tani 994 za ufuta katika mnada wa kwanza Tunduru kwa wastani wa shilingi 2,477 kwa kilo, huku viongozi wakisisitiza malipo ya wakulima kufanyika kwa wakati Na Musa Mtepa Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao na Masoko…
20 May 2026, 15:48
TAKUKURU Mtwara yafanikisha malipo ya zaidi ya milioni 87.3 kwa wananchi
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imewezesha kurejeshwa kwa zaidi ya shilingi milioni 87 kupitia miradi ya kuzuia rushwa, uchambuzi wa mifumo na ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma kati ya Januari hadi Machi 2026 Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia…
16 May 2026, 12:12
Mtwara wahimizwa kuwekeza kwenye malezi ya watoto
Jamii Mkoa wa Mtwara imetakiwa kuwekeza zaidi katika malezi ya watoto kwa kuwajengea maadili mema na ushiriki wa wazazi wote, huku wadau wakisisitiza kuboresha vituo vya malezi na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu ukuaji timilifu wa mtoto Na Musa Mtepa…
15 May 2026, 09:04
Baraza la Madiwani Mtwara lahoji utekelezaji wa mradi wa TACTICS
Madiwani wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wameeleza kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa TACTICS, huku viongozi wakitaka usimamizi madhubuti ili mradi huo uweze kuwanufaisha wananchi Na Musa Mtepa Baraza la madiwani la Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara…
1 May 2026, 15:39
TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara
TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…
28 April 2026, 18:48
Kijiji chakusanya Tsh. 150,000 Septemba 2025-Aprili 2026
Wananchi wa Kitaya wajadili mapato, matumizi na changamoto za uongozi, wakitaka uwazi zaidi huku viongozi wakiiomba serikali kutatua sintofahamu inayokwamisha maendeleo ya kijiji Na Musa Mtepa Kijiji cha Kitaya, Aprili 24, 2026 kimefanya mkutano mkuu wa kijiji wenye lengo la…
28 April 2026, 11:19
Usambazaji wa pembejeo za korosho 2026/2027 waanza rasmi nchini
Bodi ya Korosho Tanzania yaanza kusambaza zaidi ya tani 50,000 za pembejeo, ikiwemo salfa na viuatilifu, huku wakulima wakihimizwa kutumia kwa usahihi kuongeza uzalishaji wa korosho nchini. Na Musa Mtepa Zoezi la usambazaji wa pembejeo za zao la korosho limeanza…
27 April 2026, 23:38
Wakulima Kijiji cha Kitaya walia na wanayama wahalibifu wa Mazao
Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…