Recent posts
16 May 2026, 12:12
Mtwara wahimizwa kuwekeza kwenye malezi ya watoto
Jamii Mkoa wa Mtwara imetakiwa kuwekeza zaidi katika malezi ya watoto kwa kuwajengea maadili mema na ushiriki wa wazazi wote, huku wadau wakisisitiza kuboresha vituo vya malezi na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu ukuaji timilifu wa mtoto Na Musa Mtepa…
15 May 2026, 09:04
Baraza la Madiwani Mtwara lahoji utekelezaji wa mradi wa TACTICS
Madiwani wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wameeleza kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa TACTICS, huku viongozi wakitaka usimamizi madhubuti ili mradi huo uweze kuwanufaisha wananchi Na Musa Mtepa Baraza la madiwani la Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara…
1 May 2026, 15:39
TASA yatambulisha mradi wa mazingira, usawa wa kijinsia Mtwara
TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…
28 April 2026, 18:48
Kijiji chakusanya Tsh. 150,000 Septemba 2025-Aprili 2026
Wananchi wa Kitaya wajadili mapato, matumizi na changamoto za uongozi, wakitaka uwazi zaidi huku viongozi wakiiomba serikali kutatua sintofahamu inayokwamisha maendeleo ya kijiji Na Musa Mtepa Kijiji cha Kitaya, Aprili 24, 2026 kimefanya mkutano mkuu wa kijiji wenye lengo la…
28 April 2026, 11:19
Usambazaji wa pembejeo za korosho 2026/2027 waanza rasmi nchini
Bodi ya Korosho Tanzania yaanza kusambaza zaidi ya tani 50,000 za pembejeo, ikiwemo salfa na viuatilifu, huku wakulima wakihimizwa kutumia kwa usahihi kuongeza uzalishaji wa korosho nchini. Na Musa Mtepa Zoezi la usambazaji wa pembejeo za zao la korosho limeanza…
27 April 2026, 23:38
Wakulima Kijiji cha Kitaya walia na wanayama wahalibifu wa Mazao
Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…
27 April 2026, 16:36
Gesi asilia injini ya maendeleo Tanzania
Serikali imeendelea kusisitiza ushirikishwaji wa Watanzania katika miradi ya gesi kwa kutoa kipaumbele kwa wataalamu na nguvu kazi ya ndani pia kampuni zinazohusika na miradi hiyo zinahimizwa kutekeleza miradi ya kijamii (CSR) inayolenga kuboresha huduma za jamii kama elimu, afya…
25 April 2026, 16:09
Ushiriki wa familia katika malezi, kujifunza lugha kwa mtoto
Ushiriki wa wanafamilia wote kwa pamoja ndiyo nguvu kubwa zaidi katika ukuaji wa lugha ya mtoto, familia inayokaa pamoja na kula chakula cha jioni, inayosali pamoja, au inayofanya kazi pamoja shambani inafanya mtoto asikie lugha ikitumika katika hali mbalimbali za…
24 April 2026, 14:27
Wasio na ulemavu wanavyojinufaisha kupitia wenye ulemavu
Tabia hiyo si tu inakiuka maadili ya kijamii, bali pia inawanyima watu wenye ulemavu heshima na haki zao za msingi. Kumtumia binadamu mwenzako kama chombo cha kujinufaisha ni kinyume cha sheria na haki za kibinadamu. Na Msafiri Kipila Katika siku…
13 April 2026, 12:24
Mashamba 15 yashambuliwa na viboko Mnuyo
Wananchi wa kijiji cha Mnuyo mkoani Mtwara wamelalamikia mashambulizi ya viboko mashambani, wakiiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwalinda na kuzuia hatari ya baa la njaa. Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Mnuyo, kata ya Msimbati, Halmashauri ya Wilaya…