20 June 2024, 16:00 pm
Audio

Makala – Elimu ya Usalama Barabarani kwa Watu Wenye Ulemavu

Watu wenye ulemavu wanasisitiza umuhimu kwa watumiaji wa barabara kuwapa kipaumbele kutokana na changamoto wanazokutana nazo wanapotumia barabara. Kila mmoja wetu ana jukumu la kuhakikisha usalama barabarani, si jukumu la serikali pekee. Abeid Yusufu Lukanga, ambaye ni mlemavu anayetumia baiskeli,…

Offline
Play internet radio

Recent posts

16 October 2024, 16:17 pm

Waziri Stergomena Tax Atekeleza Ahadi ya Kompyuta Mtwara

Hivi karibuni Waziri wa ulinzi na jeshi la kujenga taifa Stergomena Tax alifanya ziara mkoani Mtwara ya kutembelea,kukagua na kuweka mawe ya Msingi katika miradi mbalimbali inayotekelezwa  na baadhi yake kuahidi kutoa mchango wake. Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa…

15 October 2024, 22:30 pm

Wazazi Wasisitizwa Kupeleka Watoto Shule mkoani Mtwara

Siku ya Mwanamke anayeishi vijijini huadhimishwa October 15, ya kila Mwaka kwa lengo la kutambua mchango wa mwanamke anayeishi vijijini katika jitihada za kujiletea maendeleo yao na kuondokana na umasikini kiwa ni Pamoja na ushiriki wa kuinua Uchumi wa taifa,mtu…

14 October 2024, 13:51 pm

RC Sawala aongoza matembezi kuhamasisha uandikishaji serikali za mitaa

Matembezi haya yenye lengo la kuhamasisha ushiriki kila mmoja mwenye sifa kushiriki katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa November 27,2024 kote nchini ambapo kwa hatua ya awali uandikishaji wa orodha ya wapiga kura tayari umeshaanza October 11, 2024. Na…

14 October 2024, 11:13 am

Wakazi wa Mjimwema wakabiliwa na ukosefu wa maji

Licha ya kuwa Mjimwema ndipo yalipo matenki ya maji yanayotoka katika chanzo cha maji cha Lwelu wananchi wanashangazwa na kuadimika kwa huduma hiyo. Na Musa Mtepa Wakazi wa Mjimwema katika kata ya Magengeni, Manispaa ya Mtwara Mikindani wanakabiliwa na changamoto…

12 October 2024, 11:00 am

 Mtwara DC, NMB wahamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura

Lengo la jogging na michezo mingine ni katika kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura lilionza rasmi jana October 11, 2024 kote nchini. Na Musa Mtepa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara DC, Abeid Abeid…

11 October 2024, 15:50 pm

TANECU yauza korosho tani 3,857 kwa  Tsh 4,120

Mnada wa leo wameshindana makampuni 37 na korosho zote zilizouzwa zimenunuliwa na makampuni 10 hivyo makampuni 27 yamekosa korosho maana yake ni kwamba kunauhitaji wa korosho duniani na beii hii  ni kutokana  dunia ina uhitaji mkubwa wa korosho karanga na…

10 October 2024, 23:10 pm

Wazee kuhamasisha amani uchaguzi serikali za mitaa mkoani Mtwara

Dhamira ni kuwataka wazee kukaa na vijana na kuzungumzia suala la amani na usalama wa mkoa katika kuelekea uchaguzi wa serikali za mitaa ,uchaguzi ambao umekuwa ukishuhudia heka heka za hapa na pale za vyama vya siasa. Na Musa Mtepa…