Jamii FM
Jamii FM
23 May 2026, 11:01
Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Abdala Mwaipaya, ameungana na wananchi kufanya usafi katika Makaburi ya Msafa na kuhimiza jamii kuendeleza usafi wa mazingira ili kuimarisha usalama na afya ya wananchi Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Ndugu Abdala…
22 May 2026, 14:00
TAMCU yauza zaidi ya tani 994 za ufuta katika mnada wa kwanza Tunduru kwa wastani wa shilingi 2,477 kwa kilo, huku viongozi wakisisitiza malipo ya wakulima kufanyika kwa wakati Na Musa Mtepa Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao na Masoko…
20 May 2026, 15:48
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara imewezesha kurejeshwa kwa zaidi ya shilingi milioni 87 kupitia miradi ya kuzuia rushwa, uchambuzi wa mifumo na ufuatiliaji wa matumizi ya rasilimali za umma kati ya Januari hadi Machi 2026 Na Musa Mtepa Taasisi ya Kuzuia…
16 May 2026, 12:12
Jamii Mkoa wa Mtwara imetakiwa kuwekeza zaidi katika malezi ya watoto kwa kuwajengea maadili mema na ushiriki wa wazazi wote, huku wadau wakisisitiza kuboresha vituo vya malezi na kuongeza uelewa wa jamii kuhusu ukuaji timilifu wa mtoto Na Musa Mtepa…
15 May 2026, 09:04
Madiwani wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wameeleza kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa TACTICS, huku viongozi wakitaka usimamizi madhubuti ili mradi huo uweze kuwanufaisha wananchi Na Musa Mtepa Baraza la madiwani la Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara…
1 May 2026, 15:39
TASA yazindua mradi Mtwara kuwajengea uwezo wanawake na vijana katika utunzaji wa mazingira na usawa wa kijinsia, ikitumia sanaa kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu na kuacha vitendo vinavyoharibu mazingira. Na Musa Mtepa Shirika lisilo la kiserikali la Tanzania Safaty Alliance (TASA),…
28 April 2026, 18:48
Wananchi wa Kitaya wajadili mapato, matumizi na changamoto za uongozi, wakitaka uwazi zaidi huku viongozi wakiiomba serikali kutatua sintofahamu inayokwamisha maendeleo ya kijiji Na Musa Mtepa Kijiji cha Kitaya, Aprili 24, 2026 kimefanya mkutano mkuu wa kijiji wenye lengo la…
28 April 2026, 11:19
Bodi ya Korosho Tanzania yaanza kusambaza zaidi ya tani 50,000 za pembejeo, ikiwemo salfa na viuatilifu, huku wakulima wakihimizwa kutumia kwa usahihi kuongeza uzalishaji wa korosho nchini. Na Musa Mtepa Zoezi la usambazaji wa pembejeo za zao la korosho limeanza…
27 April 2026, 23:38
Wananchi wa Kitaya, Mtwara, walalamikia uharibifu wa mazao unaosababishwa na wanyama pori, wakiiomba serikali kuchukua hatua huku viongozi wakieleza jitihada na tahadhari zinazopaswa kuchukuliwa Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Kitaya kilichopo katika Kata ya Kitaya, Halmashauri ya Mji…
27 April 2026, 16:36
Serikali imeendelea kusisitiza ushirikishwaji wa Watanzania katika miradi ya gesi kwa kutoa kipaumbele kwa wataalamu na nguvu kazi ya ndani pia kampuni zinazohusika na miradi hiyo zinahimizwa kutekeleza miradi ya kijamii (CSR) inayolenga kuboresha huduma za jamii kama elimu, afya…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.