Jamii FM
Jamii FM
1 July 2026, 06:36
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalumu, Maryprisca Mahundi, amezindua Mfuko wa Uwezeshaji wa Wanawake Wajasiriamali Wadogo Mtwara Mjini, ambapo wanawake zaidi ya 300 wamepatiwa mafunzo na 80 kunufaika na mikopo ya biashara. Na Musa Mtepa Naibu…
28 June 2026, 16:54
Katika kuadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mtwara imepanda zaidi ya miti 100 ya matunda na kivuli katika Shule za Msingi Majengo na Tandika, Manispaa ya Mtwara Mikindani Na Musa Mtepa Katika kuadhimisha…
26 June 2026, 18:36
Wakulima na wavuvi wa Mbuyuni/Mwambo, Kijiji cha Kilambo mkoani Mtwara, wameiomba Serikali kujenga daraja la kudumu eneo la Mtando ili kurahisisha usafirishaji wa mazao, kuongeza usalama wa watumiaji na kuimarisha shughuli za kiuchumi Na Musa Mtepa Wakulima na wavuvi wanaofanya…
25 June 2026, 12:17
Wakulima wa kilimo cha kiangazi “Makoo” katika ukanda wa Ruvuma, Mtwara, wameiomba Serikali kutafuta suluhisho la kudumu dhidi ya viboko wanaovamia mashamba yao, huku wakidai changamoto hiyo kuhatarisha usalama, afya na uzalishaji wao Na Musa Mtepa Wakulima wa kilimo cha…
20 June 2026, 12:07
Wataalamu wa afya Mtwara wameitaka jamii kuacha kutumia dawa bila vipimo na ushauri wa daktari, wakionya kuwa matumizi yasiyo sahihi yanaweza kusababisha madhara na usugu wa vimelea dhidi ya dawa. Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kuachana na tabia ya kutumia…
19 June 2026, 14:28
Wananchi wametakiwa kulinda mazingira na kuachana na shughuli zinazochangia uharibifu wake ili kupunguza athari za mabadiliko ya tabianchi, huku Serikali na wadau wakihimizwa kuimarisha elimu na usimamizi wa rasilimali Na Musa Mtepa Wananchi wametakiwa kuwa walinzi wa mazingira kwa kuachana…
18 June 2026, 12:22
Wananchi wa Lwelu wameiomba Halmashauri ya Mtwara Mikindani kuboresha barabara za vumbi kutokana na ubovu unaowakwamisha kupata huduma muhimu na kusafirisha mazao yao kwa urahisi Na Musa Mtepa Wananchi wa Mtaa wa Lwelu, Kata ya Jangwani Manispaa ya Mtwara Mikindani,…
16 June 2026, 10:32
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imetoa mafunzo kwa wavuvi wadogo Msangamkuu kuhusu haki za binadamu, matumizi sahihi ya rasilimali za bahari na namna ya kushughulikia matukio ya uvunjifu wa haki ili kupunguza migogoro Na Musa Mtepa Tume…
14 June 2026, 14:31
Mtwara Festival Nanauka Cup 2026 imezinduliwa rasmi Mtwara, huku viongozi wakisisitiza umuhimu wa michezo katika kuibua vipaji vya vijana. Mashindano hayo yanatarajiwa kutoa fursa kwa TFF kutambua na kukuza wachezaji watakaolitumikia taifa siku zijazo Na Musa Mtepa Msimu wa burudani…
11 June 2026, 13:23
Mwanamke mwenye ujauzito wa miezi tisa anayelea watoto wawili Mtwara ameomba msaada wa vifaa vya kujifungulia na mahitaji muhimu baada ya kukabiliwa na changamoto za maisha na kukimbia vitisho vya usalama Na Musa Mtepa Mwanamke mmoja anayejulikana kwa jina la…
Who we are
JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.
Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.
Vision
The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.
Mission
The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.
Coverage:
Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.