1 April 2026, 15:24

Makato ya korosho kikwazo mradi wa soko Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi Mtwara walalamikia kuchelewa kwa ujenzi wa soko licha ya makato ya korosho, wakitupia lawama viongozi wa kijiji na mfumo wa ukusanyaji fedha. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne mkoani Mtwara, wameulalamikia uongozi…

Offline
Play internet radio

Recent posts

13 April 2026, 12:24

Mashamba 15 yashambuliwa na viboko Mnuyo

Wananchi wa kijiji cha Mnuyo mkoani Mtwara wamelalamikia mashambulizi ya viboko mashambani, wakiiomba serikali kuchukua hatua za haraka kuwalinda na kuzuia hatari ya baa la njaa. Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Mnuyo, kata ya Msimbati, Halmashauri ya Wilaya…

12 April 2026, 14:27

Manispaa ya Mtwara Mikindani yaimarisha ulinzi wa mtoto

Jamii imetakiwa kushiriki kikamilifu kulinda watoto dhidi ya ukatili, kupitia elimu na ushirikiano wa . wadau mbalimbali, ili kuhakikisha usalama wa watoto chini ya miaka 18 katika Manispaa ya Mtwara Mikindani Na Musa Mtepa Jamii imeaswa kila mmoja kusimama katika…

1 April 2026, 15:24

Makato ya korosho kikwazo mradi wa soko Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi Mtwara walalamikia kuchelewa kwa ujenzi wa soko licha ya makato ya korosho, wakitupia lawama viongozi wa kijiji na mfumo wa ukusanyaji fedha. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne mkoani Mtwara, wameulalamikia uongozi…

31 March 2026, 07:46

Wananchi walia na uchakavu wa Madarasa shule ya Msingi Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi, Mtwara, wailalamikia Shule ya Msingi Mnyahi kuwa na majengo chakavu, wanafunzi kunyeshewa darasani,Wadai imepuuzwa licha ya ufaulu mzuri, viongozi waahidi hatua za ukarabati Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne Halmashauri ya Mji…

30 March 2026, 18:21

Panda shuka za Mariam kuitumikia Chuno

Je, viongozi huzaliwa au hutengenezwa na mazingira? Makala hii inachunguza mjadala huo kupitia Mariam Chibwalo, mwanamke aliyethubutu kusimama pekee yake dhidi ya wanaume tisa katika kinyang’anyiro cha udiwani. Akiwa amesukumwa na changamoto na hamasa ya kuwa sauti ya wananchi wa…

30 March 2026, 10:10

Daraja lakatika, Namuhi, Mnyija wakosa mawasiliano

Na Musa Mtepa Wananchi wa vijiji vya Namuhi na Mnyija wamejikuta katika wakati mgumu wa mawasiliano kufuatia kukatika kwa daraja linalounganisha vijiji hivyo, baada ya kufurika kwa maji yanayotoka Bwawa la Kitere kupitia Mto Mambi unaotenganisha maeneo hayo. Wakizungumza na…

24 March 2026, 11:48

TMA yasisitiza wakulima kutumia vizuri mvua zinazonyesha

Wananchi wamehimizwa kutumia vizuri mvua zinazonyesha kwa shughuli za maendeleo huku wakitakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia ushauri wa wataalam wa hali ya hewa na kilimo ili kupata tija Na Musa Mtepa Wananchi wameshauriwa kutumia vizuri mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo…

23 March 2026, 14:20

Sekondari Naliendele na siku ya hali ya hewa duniani

Wananchi wamehimizwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa kutoka TMA ili kuboresha shughuli zao. Elimu imetolewa kwa wanafunzi Naliendele, wakihamasishwa kuwa mabalozi wa taarifa hizo kwa familia na jamii. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda…

18 March 2026, 13:12

TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha ushirikiano na  Jamii

TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha uhusiano na jamii, viongozi wakisisitiza umoja, mshikamano na ushiriki wa wananchi katika mapambano dhidi ya rushwa wakati wa mwezi wa Ramadhani Na Musa Mtepa Ikiwa katika juhudi za kuimarisha uhusiano na utendaji wake pamoja na…

18 March 2026, 08:49

Jamii Africa yawajengea uwezo Waandishi wa habari Mtwara

Waandishi wa habari 25 mkoani Mtwara wamepata mafunzo ya uhakiki wa taarifa kutoka Jamii Africa, yakilenga kuwasaidia kutambua taarifa sahihi na potofu ili kuboresha utoaji wa habari kwa wananchi Na Musa Mtepa Jumla ya waandishi wa habari 25 kutoka vyombo…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.