1 April 2026, 15:24

Makato ya korosho kikwazo mradi wa soko Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi Mtwara walalamikia kuchelewa kwa ujenzi wa soko licha ya makato ya korosho, wakitupia lawama viongozi wa kijiji na mfumo wa ukusanyaji fedha. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne mkoani Mtwara, wameulalamikia uongozi…

On air
Play internet radio

Recent posts

15 August 2026, 16:38

Msangamkuu waishukuru serikali kwa kituo cha afya

Wananchi wa Kata ya Msangamkuu wameishukuru Serikali kwa ujenzi wa Kituo cha Afya cha Sh milioni 252.1, kilichopunguza adha na gharama za kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za matibabu Na Musa Mtepa Wananchi wa Kata ya Msangamkuu, Halmashauri ya Wilaya…

14 August 2026, 16:30

TARI Naliendele yaimarisha utafiti kwa teknolojia mpya

TARI Naliendele imezindua vifaa vya kisasa vya utafiti na miundombinu vitakavyoongeza ufanisi, kuharakisha tafiti na kuinua tija katika uzalishaji na kuongeza thamani ya zao la korosho nchini Na Musa Mtepa Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Kituo cha Naliendele,…

14 August 2026, 11:52

Bi Ummy alalamikia mgogoro wa umiliki wa nyumba

Ummy Mohamedi Fadhili, mkazi wa Ding’wida, Mtwara, amelalamikia kunyimwa nyumba aliyodai ilinunuliwa kwa fedha alizopata baada ya kuuza nyumba yake ya Tandahimba, akisema mzazi mwenzake anadai ni mali ya mtoto wao Na Mwanahamisi Chikambu Mwanamke mmoja, Ummy Mohamedi Fadhili, mkazi…

14 August 2026, 08:39

Wananchi wa Masugulu waishukuru serikali mradi wa maji

Wananchi wa Masugulu wameishukuru serikali kwa mradi wa maji wa Mto Ruvuma wenye thamani ya Sh bilioni 43.2, uliotekelezwa kwa asilimia 96, wakiamini utaondoa tatizo la maji na hatari ya mashambulizi ya mamba Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji na…

13 August 2026, 19:05

Serikali yasisitiza mrejesho, majibu ya changamoto kwa wafanyabiashara nchini

Waziri Judith Kapinga amewataka watumishi wanaosimamia biashara kutoa mrejesho wa haraka kwa wafanyabiashara, huku Jumuia ya Wafanyabiashara Mtwara ikiwasilisha changamoto za kodi, tozo na ombi la viwanda pamoja na kivuko cha Kilambo. Na Musa Mtepa Serikali imesema watumishi na taasisi…

12 August 2026, 16:51

Serikali yatumia zaidi ya Sh. 560m kujenga shule ya sekondari Chikota

Serikali imetumia zaidi ya Sh milioni 560.52 kujenga Shule ya Sekondari Chikota, Halmashauri ya Mji Nanyamba, Mtwara, huku Serikali ikiahidi kushughulikia changamoto zinazoikabili shule hiyo. Na Musa Mtepa Serikali imewezesha ujenzi wa Shule ya Sekondari Chikota katika Halmashauri ya Mji…

12 August 2026, 00:12

Waziri Kapinga aweka jiwe la msingi shule ya msingi Chilimba-Masasi

Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga, ameweka jiwe la msingi katika Shule ya Msingi Chilimba, Masasi, na kuwataka wananchi kuendelea kuiamini Serikali katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo Na Musa Mtepa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga,…

10 August 2026, 23:57

Waziri Kapinga azitaka CAMARTEC, WRRB kusaidia wakulima

Waziri wa Viwanda na Biashara Judith Kapinga amezitaka CAMARTEC na WRRB kuwawezesha wananchi kupata mashine za kuchakata korosho, kuongeza thamani ya zao hilo, ajira na kipato. Na Musa Mtepa Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amezitaka kituo cha…

7 August 2026, 18:47

Faida ya wanandoa kushiriki elimu ya uzazi wa mpango

Na Mwanaidi Kopakopa Familia yenye mawasiliano mazuri na maamuzi ya pamoja huwa na nafasi kubwa ya kujenga maisha yenye utulivu na mafanikio. Miongoni mwa maamuzi muhimu yanayohitaji ushirikiano wa wanandoa ni suala la uzazi wa mpango. Wanandoa wanaposhiriki pamoja katika…

23 July 2026, 14:29

Ndejembi awasha umeme Sekondari, Mtwara

Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amewasha umeme katika Shule ya Sekondari Mtiniko, Nanyamba, na kusema Serikali imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 203 kupeleka umeme katika vijiji na vitongoji vya Mkoa wa Mtwara Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.