Recent posts
8 July 2026, 13:15
UTPC yawanoa wanahabari wanawake dhidi ya ukatili mtandaoni
UTPC imeanza mafunzo ya siku nne kwa waandishi wa habari wanawake kutoka Tanzania Bara na Zanzibar ili kuwajengea uwezo wa kukabiliana na ukatili wa kijinsia mtandaoni, kuimarisha usalama wa kidijitali na kupata msaada wa kisheria wanapokumbana na vitisho. Na Grace…
5 July 2026, 13:43
Mtoto afariki baada ya kuzama baharini Mtwara
Mtoto mwenye umri wa miaka 13, mwanafunzi wa Kidato cha Kwanza wa Shule ya Sekondari Mikindani, amefariki baada ya mtumbwi aliokuwa akisafiria kuzama kufuatia upepo mkali katika Bahari ya Hindi, Mtwara. Na Musa Mtepa Mtoto Mrisho Hassani Nagwenya (13), mkazi…
4 July 2026, 17:19
Polisi Mtwara wakamata watuhumiwa utapeli wa fedha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limewakamata watuhumiwa wanne wa makosa ya kimtandao wanaodaiwa kuwatapeli mawakala wa fedha kwa njia ya simu, huku likitoa tahadhari kwa mawakala dhidi ya kutoa simu zao kwa watu wasiowafahamu. Na Musa Mtepa Jeshi la…
2 July 2026, 12:10
TRA Mtwara yakusanya Bilioni 237, yavuka lengo kwa asilimia 156
TRA Mkoa wa Mtwara imekusanya Shilingi bilioni 237 mwaka 2024/2025, sawa na asilimia 156 ya lengo, huku ikiadhimisha miaka 30 ya mamlaka hiyo na kutoa Tuzo za Rais kwa walipa kodi bora. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)…
1 July 2026, 11:11
RC Mtwara atoa wito kutokomeza ukatili dhidi ya watoto
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Donald Msengi, amewataka wazazi na walezi kushirikiana kutokomeza ukatili dhidi ya watoto huku akibainisha kuwa zaidi ya matukio 710 yaliripotiwa mkoani humo kati ya Julai 2025 na Machi 2026. Na Musa Mtepa Mkuu wa…
1 July 2026, 06:36
Mfuko wa wanawake wajasiriamali wazinduliwa rasmi Mtwara Mjini
Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Wanawake na Makundi Maalumu, Maryprisca Mahundi, amezindua Mfuko wa Uwezeshaji wa Wanawake Wajasiriamali Wadogo Mtwara Mjini, ambapo wanawake zaidi ya 300 wamepatiwa mafunzo na 80 kunufaika na mikopo ya biashara. Na Musa Mtepa Naibu…
28 June 2026, 16:54
TRA Mtwara yapanda miti kuadhimisha miaka 30 ya kuanzishwa kwake
Katika kuadhimisha miaka 30 tangu kuanzishwa kwake, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Mtwara imepanda zaidi ya miti 100 ya matunda na kivuli katika Shule za Msingi Majengo na Tandika, Manispaa ya Mtwara Mikindani Na Musa Mtepa Katika kuadhimisha…
26 June 2026, 18:36
Wakulima na wavuvi Kilambo walia na daraja la Mtando
Wakulima na wavuvi wa Mbuyuni/Mwambo, Kijiji cha Kilambo mkoani Mtwara, wameiomba Serikali kujenga daraja la kudumu eneo la Mtando ili kurahisisha usafirishaji wa mazao, kuongeza usalama wa watumiaji na kuimarisha shughuli za kiuchumi Na Musa Mtepa Wakulima na wavuvi wanaofanya…
25 June 2026, 12:17
Wakulima wa Kunde Mtwara walia na uvamizi wa Viboko
Wakulima wa kilimo cha kiangazi “Makoo” katika ukanda wa Ruvuma, Mtwara, wameiomba Serikali kutafuta suluhisho la kudumu dhidi ya viboko wanaovamia mashamba yao, huku wakidai changamoto hiyo kuhatarisha usalama, afya na uzalishaji wao Na Musa Mtepa Wakulima wa kilimo cha…
20 June 2026, 12:07
Jamii Mtwara yaaswa kuepuka matumizi holela ya Dawa
Wataalamu wa afya Mtwara wameitaka jamii kuacha kutumia dawa bila vipimo na ushauri wa daktari, wakionya kuwa matumizi yasiyo sahihi yanaweza kusababisha madhara na usugu wa vimelea dhidi ya dawa. Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kuachana na tabia ya kutumia…