1 April 2024, 18:19 pm

Wazazi watakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa mtoto wa kike

Imeelezwa kuwa chanzo kikubwa kinachosababisha watoto wa kike kutokufikia malengo  yao  ni wazazi kutotambua umuhimu wa elimu. Na Musa Mtepa Wazazi wametakiwa kutambua umuhimu wa elimu kwa watoto wa kike  ili waweze kukabiliana na changamoto  za maisha pamoja na kuwa  majasiri…

Offline
Play internet radio

Recent posts

27 April 2024, 15:51 pm

TAKUKURU yaokoa Milioni 77.1 sekta ya Elimu Mtwara

Kwa upande wa uimarishaji umma ,tumeimarisha klabu za wapinga rushwa 70 zilizopo katika shule za Msingi, Sekondari na Vyuo ,Mikutano ya hadhara 68,Semina 37, maonesho 11 na utoaji wa Habari 3. Na Musa Mtepa Taasisi ya kuzuia na kupambana na…

26 April 2024, 20:50 pm

DC Munkunda awataka wananchi kudumisha muungano

Faida za muungano wa Tanganyika na Zanziba ni nyingi kwa pande zote mbili zikiwemo za kibiashara,Uchumi na kijamii. Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara  Mwanahamisi Munkunda amewaomba wananchi  kuwa wamoja katika  kuuenzi  na kudumisha muungano wa Tanganyika na…

26 April 2024, 20:35 pm

Wagonjwa 4500 kunufaika na kliniki ya macho Mtwara

Chanzo kikubwa ni umri wengi waliokutwa na tatizo la macho ni wale wenye umri kati ya  miaka 60/ 70 na wengine walikuwa na hatari kidogo na hawakutibiwa mapema hivyo macho yao yamaeingia ukungu na hawakuweza kutolewa na leo wametolewa na…

24 April 2024, 19:42 pm

CSK: watoa elimu ya ukatili Mtwara vijijini

Matukio ya ukatili wa kijinsia umekuwa ukitokea katika maeneo mbalimbali ya wilayani Mtwara hivyo ndio sababu iliyotufanya kuja kutoa elimu hapa katika Kijiji cha Nanguruwe. Na Gregory Milanzi Shirika lisilo la kiserikali la utafiti (CSK) kwa kushirikiana na Jeshi la…

23 April 2024, 17:20 pm

Vijiji 52 Mvomero kunufaika na mradi wa LTIP

lengo ni kuandaa jumla ya Mipango Shirikishi ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 52 katika Wilaya ya Mvomero ambapo hadi kufikia sasa tayari mipango 48 imekwishaandaliwa Na Mwandishi Wetu Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na…

23 April 2024, 16:58 pm

RC Mtwara akabidhi vifaa vya TEHAMA kwa walimu

Vifaa hivi vitasaidia walimu kupakua na kujiongezea maarifa kupitia mtandao ambayo yatasaidia katika kuboresha hali ya ufaulu katika shule zetu Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala  Leo tarehe 23/4/ 2024 amekabidhi vifaa vya TEHAMA kwa…

22 April 2024, 16:30 pm

Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Inaonesha kumekuwa na ongezeko la vitendo vya utovu wa nidha kwa  watu wa umma wakiwa kazini ikiwemo Rushwa na upungufu wa maadili. Na Mwanahamisi Chikambu Kamishina wa utumishi umma  Balozi John Haule amewataka watumishi wa umma mkoa wa Mtwara kufanya…

21 April 2024, 16:26 pm

Wananchi Mtwara washauriwa kuwa na utamaduni wa kupanda miti

Miti na misitu ina faida nyingi   kwa maisha ya binadamu ikiwa ni Pamoja na kuwa chanzo cha mvua,dawa ,chakula na ni chanzo cha bidhaa za ujenzi Na Gregory Milanzi Wananchi  wameshauriwa kuwa na utamaduni wa  upandaji wa miti ili kukabiliana…

19 April 2024, 21:14 pm

Maji bonde la Ruvuma, Pwani ya Kusini ni stahimilivu kwa wananchi

Bonde limefanya tathmini ya maji yaliyopo juu ya ardhi na chini ya ardhi na linavituo vya kufuatilia mienendo ya maji na tunatoa vibari kwa wahitaji wa matumizi ya maji hasa kwa wanaohitaji kuweka miundombinu. Na Musa Mtepa Jumla  ya vyanzo…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.