Jamii FM

Recent posts

1 December 2020, 11:59 am

Kampeni ya kugawa Taulo za kike kwa Wanafunzi Mtwara yaanza

Moja kati ya changamoto kubwa inayowakumba  watoto wakike walioko shuleni  hadi kupelekea kujiingiza katika mahusiano wakiwa na umri mdogo ni suala la upatikanaji wa taulo za kike, hii imekuwa changamoto kubwa kwa mabinti wengi. Kwa kulitambua hilo  Mwanaidi Simba  Kutoka…

26 November 2020, 08:27 am

Wanufaika na TASAF Lindi waipongeza serikali

Wanufaika wa Mpango wa kunusuru kaya maskini (TASAF) mtaa wa Jangwani Halmashauri ya manispaa ya Lindi, wameeleza namna walivyonufaika na mradi, wameleeza  maisha ya awali na ya sasa na namna mradi ulivyosaidia familia zao. Kwa upande wake Afisa mtendaji wa…

22 November 2020, 13:45 pm

IGP Sirro awahakikishia usalama wana Mtwara

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro amesema Jeshi la Polisi litachukua muda mfupi kukabiliana na uhalifu unaoendelea katika Mkoa wa Mtwara, kama ilivyofanya katika kukabiliana na mauaji ya raia katika Wilaya za Kibiti, Rufiji na Mkuranga mkoani…

10 November 2020, 18:27 pm

Athari ya uzazi wa mpango kwa mabinti wadogo

Hujambo, karibu kusikiliza kipindi Maalum kinachoangazia Athari za utumiaji wa Dawa za uzazi wa mpango kwa mabinti wenye umri mdogo ambao wanatumia sindano na vidonge ili kujikinga na ujauzito bila kujua athari zake. Hapa utawasikia mabinti, wazazi na Daktari Deogratius…

10 November 2020, 17:49 pm

TADIO yawahasa Wanahabari kutoandika Habari za uchochezi

Waandishi wa habari hususan wa redio za kijamii Tanzania wametakiwa kuandika habari za kudumisha Amani nchini na kuacha kupendelea kuandika habari za uchochezi na zenye kuleta taaruki. Wito huo umetolewa leo na Mwezeshaji wa mafunzo ya kujenga Amani hasa baada…

10 November 2020, 05:53 am

Ukataji wa miti hovyo unavyoweza kusababisha kukausha vyanzo vya maji.

Wapo wanaokata miti kwa shughuli mbalimbali kama vile kutengeneza mkaa, kujengea nyumba, kuchana mbao huku athari zake zikiwa ni pamoja na kukausha vyanzo vya maji. Hapa utawasikia wananchi na Meneja wa wakala wa misitu wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara Nchini…

8 November 2020, 14:43 pm

Athari za ulaji wa Udongo kwa Wanawake wajawazito

 Wanawake wajawazito wanautamaduni wa kula udongo bila kujua athari zake, hapa utawasikia wanawake na Daktari akielezea athari hizo kwa mama na mtoto aliye tumboni. Karibu kwenye kipindi maalum, Muandaaji na msimulizi wako ni Karim Faida wa jamii fm radio Mtwara.

2 November 2020, 13:07 pm

Wanakijiji waomba umeme na maji.

Wananchi wa kijiji cha maili kumi kata ya Mbawala Halmashauri ya wilaya ya Mtwara wameomba kupatiwa huduma ya maji na nishati ya umeme kwenye kijiji chao, hali ambayo imekuwa ikiwachelewesha maendeleo  na kudumaza hali ya kijiji. Nishati ya umeme imepita…

22 October 2020, 09:10 am

TADIO yaziwezesha radio za Jamii kuweka maudhui mtandaoni

Mtandao wa radio za jamii nchini Tanzania (TADIO) imeziwezesha radio wanachama kurusha maudhui ya matangazo ya moja kwa moja kupitia mtandao, utakaoweza kuwafikia wasikilizaji wengi ndani ya nchi na nje ya mipaka ya Tanzania. Mafunzo ya siku mbili yakuziwezesha radio…

19 October 2020, 11:10 am

Wanafunzi wa Mtwara vijijini waomba kupewa fedha za taulo za kike

Baadhi ya Wanafunzi wa kike mkoani mtwara wamewataka wazazi kutenga bajeti kwa ajili kununua taulo za kike, ikiwa ni moja ya njia ya kutokomeza mimba za utotoni. Wakizungumza na jamii fm radio wanafunzi hao wamesema kuwa ukosefu wa taulo za…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.