Jamii FM

Ujanja ni kuchanja – sikiliza kipindi kuhusu chanjo ya Uviko 19

30 November 2022, 12:12 pm

Na Mohamed Massanga

Chanjo ya uviko 19 imekuwa na mapokezi mazuri kwa jamii ya watu wa mkoa wa mtwara na lindi, sikiliza kipindi hiki upate elimu juu ya chamjo na usikilize shuhuda za watu waliochanja.