Recent posts
13 December 2025, 11:55 am
TARI-Naliendele yajadili tafiti na changamoto za kilimo msimu wa 2024/2025
Taassisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI) Naliendele imefanya mkutano wa mwaka na wadau wa kilimo kuwasilisha matokeo ya tafiti na kujadili mikakati ya kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa, huku ikilenga kuongeza uzalishaji wa zao la korosho msimu…
12 December 2025, 19:30 pm
Waziri Chongolo afanya ziara ya kikazi Mtwara
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, alifanya ziara ya kikazi Mtwara kufuatilia msimu wa korosho 2025/2026, kuhimiza ruzuku ya pembejeo kwa wakulima, kuanzisha teknolojia ya ndege nyuki kupulizia dawa, na kuagiza TARI-Naliendele kufanya utafiti wa changamoto za korosho kutokana na mvua…
12 December 2025, 19:12 pm
Waziri wa Kilimo aagiza mazao yanayolimwa kusini yapitie bandari ya Mtwara
Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, amemuagiza Mkurugenzi wa COPRA kuhakikisha mazao ya Ruvuma, Lindi na Mtwara yapitie Bandari ya Mtwara ili kuongeza tija, kurahisisha upakiaji na kuhakikisha fursa zinabaki kwa wakazi wa mikoa hiyo Na Musa Mtepa Waziri wa kilimo…
12 December 2025, 18:53 pm
Wakulima wataka ufumbuzi utofauti bei ya korosho
Wakulima wa korosho Nanyamba wamelalamikia tofauti kubwa ya bei ukilinganisha na Tandahimba, hali inayowalazimisha kuhamishia mazao yao Tandahimba Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa zao la korosho wamehoji juu ya utofauti wa bei ya korosho unaojitokeza sokoni kati ya…
10 December 2025, 21:16 pm
Wananchi kuchangia 2,000 kumleta mganga wa asili kijijini
Wananchi wa Kitongoji cha Nunu, Msakala, wameamua kuchangia shilingi 2,000 kwa kila nyumba ili kumleta mganga wa jadi baada ya hofu ya “mlipuko wa ugonjwa wa moyo.” suluhisho Na Musa Mtepa Katika hali ya kushangaza, wananchi wa kitongoji cha Nunu…
9 December 2025, 12:25 pm
Jamii yahimizwa kuepuka hisia katika kutatua migogoro
Afisa wa TASA, imeitaka jamii kutenga muda wa kufikiria na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro, ikisisitiza kuepuka hisia na kutoegemea upande wowote Na Musa Mtepa Jamii imetakiwa kutenga muda wa kufikiria, kuchakata na kutoa maamuzi sahihi katika kutatua migogoro…
8 December 2025, 11:14 am
Wakulima wa mwani Naumbu walia na soko
Serikali imeombwa kuongeza wanunuzi wa zao la mwani ili kuboresha ushindani wa soko huku wakulima wakilalamikia bei ya shilingi 800 ambayo haiendani na gharama za uzalishaji na usafirishaji kutoka baharini Na Musa Mtepa Wakulima wa mwani kutoka Kijiji cha Naumbu,…
4 December 2025, 17:41 pm
SDA yaadhimisha IDPWD kwa usafi wa mazingira
Ikiwa leo ni Siku ya Watu wenye Ulemavu Duniani, siku hii imeambatana na mabadiliko ya tabianchi na uwepo wa mabadiliko hayo kuna athari kwa watu wenye ulemavu. Na Grace Hamisi Shirika lisilo la kiserikali Sports Development Aids (SDA) kupitia mradi…
16 November 2025, 15:37 pm
Wafanyabiashara Mtwara walia na ongezeko la tozo
Wafanyabiashara wa Mtwara wamelalamikia ongezeko la tozo na ushuru linalodaiwa kupandisha bei za bidhaa, huku wakitaka serikali kupitia upya kanuni hizo. Manispaa imesisitiza kuwa tozo zinatekelezwa kwa mujibu wa sheria na iko tayari kushughulikia malalamiko kupitia majadiliano Na Musa Mtepa…
16 November 2025, 15:23 pm
Mtwara kutenga milioni 500 kuboresha Soko Kuu
Manispaa ya Mtwara–Mikindani imetangaza mpango wa kutenga zaidi ya shilingi milioni 500 kwa ajili ya kuboresha Soko Kuu la Mtwara, ikilenga kuboresha miundombinu na mazingira ya biashara huku wafanyabiashara wakiyakaribisha maboresho hayo na kuomba kupewa kipaumbele baada ya ujenzi kukamilika…