Recent posts
31/03/2026, 07:46
Wananchi walia na uchakavu wa Madarasa shule ya Msingi Mnyahi
Wananchi wa Mnyahi, Mtwara, wailalamikia Shule ya Msingi Mnyahi kuwa na majengo chakavu, wanafunzi kunyeshewa darasani,Wadai imepuuzwa licha ya ufaulu mzuri, viongozi waahidi hatua za ukarabati Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne Halmashauri ya Mji…
30/03/2026, 18:21
Panda shuka za Mariam kuitumikia Chuno
Je, viongozi huzaliwa au hutengenezwa na mazingira? Makala hii inachunguza mjadala huo kupitia Mariam Chibwalo, mwanamke aliyethubutu kusimama pekee yake dhidi ya wanaume tisa katika kinyang’anyiro cha udiwani. Akiwa amesukumwa na changamoto na hamasa ya kuwa sauti ya wananchi wa…
30/03/2026, 10:10
Daraja lakatika, Namuhi, Mnyija wakosa mawasiliano
Na Musa Mtepa Wananchi wa vijiji vya Namuhi na Mnyija wamejikuta katika wakati mgumu wa mawasiliano kufuatia kukatika kwa daraja linalounganisha vijiji hivyo, baada ya kufurika kwa maji yanayotoka Bwawa la Kitere kupitia Mto Mambi unaotenganisha maeneo hayo. Wakizungumza na…
24/03/2026, 11:48
TMA yasisitiza wakulima kutumia vizuri mvua zinazonyesha
Wananchi wamehimizwa kutumia vizuri mvua zinazonyesha kwa shughuli za maendeleo huku wakitakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia ushauri wa wataalam wa hali ya hewa na kilimo ili kupata tija Na Musa Mtepa Wananchi wameshauriwa kutumia vizuri mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo…
23/03/2026, 14:20
Sekondari Naliendele na siku ya hali ya hewa duniani
Wananchi wamehimizwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa kutoka TMA ili kuboresha shughuli zao. Elimu imetolewa kwa wanafunzi Naliendele, wakihamasishwa kuwa mabalozi wa taarifa hizo kwa familia na jamii. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda…
18/03/2026, 13:12
TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha ushirikiano na Jamii
TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha uhusiano na jamii, viongozi wakisisitiza umoja, mshikamano na ushiriki wa wananchi katika mapambano dhidi ya rushwa wakati wa mwezi wa Ramadhani Na Musa Mtepa Ikiwa katika juhudi za kuimarisha uhusiano na utendaji wake pamoja na…
18/03/2026, 08:49
Jamii Africa yawajengea uwezo Waandishi wa habari Mtwara
Waandishi wa habari 25 mkoani Mtwara wamepata mafunzo ya uhakiki wa taarifa kutoka Jamii Africa, yakilenga kuwasaidia kutambua taarifa sahihi na potofu ili kuboresha utoaji wa habari kwa wananchi Na Musa Mtepa Jumla ya waandishi wa habari 25 kutoka vyombo…
10/03/2026, 10:02
Mtoto ahofiwa kupoteza maisha mto mambi Mtwara
Mtoto Yasri Hamisi (14) wa kijiji cha Ndumbwe, Mtwara, anahofiwa kufariki baada ya kutumbukia mtoni alipoteleza akijaribu kugusa maji wakati akiwa na wenzake. Wananchi na vikosi vya uokoaji wanaendelea na juhudi za kumtafuta Na Musa Mtepa Mtoto Yasri Hamisi, mwenye…
08/03/2026, 08:52
Makala: siku ya wanawake duniani 2026
Kupitia maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani (IWD), jamii inapata fursa ya kutafakari mchango, changamoto na mafanikio ya wanawake. Gregory Millanzi na Mwanahamis Chikambu. Katika mwanzo wa historia ya mwanadamu, kabla ya ustaarabu kujengeka na kabla jamii haijaweka mifumo ya…
06/03/2026, 09:03
Wananchi waomba kuharakishwa fidia ya utafiti wa Mafuta na Gesi asilia Lindi na…
Wananchi katika vijiji vya Lindi na Mtwara walalamikia kuchelewa kulipwa fidia ya mazao yaliyoharibiwa wakati wa utafiti wa mafuta na gesi, huku TPDC ikisema tathmini imefikia asilimia 51 na malipo yanatarajiwa kuanza Na Musa Mtepa Wananchi wanaoishi katika vijiji vilivyopitiwa…