On air
Play internet radio

Recent posts

31/03/2026, 07:46

Wananchi walia na uchakavu wa Madarasa shule ya Msingi Mnyahi

Wananchi wa Mnyahi, Mtwara, wailalamikia Shule ya Msingi Mnyahi kuwa na majengo chakavu, wanafunzi kunyeshewa darasani,Wadai imepuuzwa licha ya ufaulu mzuri, viongozi waahidi hatua za ukarabati Na Musa Mtepa Wananchi wa Kijiji cha Mnyahi, kata ya Milangominne Halmashauri ya Mji…

30/03/2026, 18:21

Panda shuka za Mariam kuitumikia Chuno

Je, viongozi huzaliwa au hutengenezwa na mazingira? Makala hii inachunguza mjadala huo kupitia Mariam Chibwalo, mwanamke aliyethubutu kusimama pekee yake dhidi ya wanaume tisa katika kinyang’anyiro cha udiwani. Akiwa amesukumwa na changamoto na hamasa ya kuwa sauti ya wananchi wa…

30/03/2026, 10:10

Daraja lakatika, Namuhi, Mnyija wakosa mawasiliano

Na Musa Mtepa Wananchi wa vijiji vya Namuhi na Mnyija wamejikuta katika wakati mgumu wa mawasiliano kufuatia kukatika kwa daraja linalounganisha vijiji hivyo, baada ya kufurika kwa maji yanayotoka Bwawa la Kitere kupitia Mto Mambi unaotenganisha maeneo hayo. Wakizungumza na…

24/03/2026, 11:48

TMA yasisitiza wakulima kutumia vizuri mvua zinazonyesha

Wananchi wamehimizwa kutumia vizuri mvua zinazonyesha kwa shughuli za maendeleo huku wakitakiwa kuchukua tahadhari na kuzingatia ushauri wa wataalam wa hali ya hewa na kilimo ili kupata tija Na Musa Mtepa Wananchi wameshauriwa kutumia vizuri mvua zinazoendelea kunyesha katika maeneo…

23/03/2026, 14:20

Sekondari Naliendele na siku ya hali ya hewa duniani

Wananchi wamehimizwa kuzingatia taarifa za hali ya hewa kutoka TMA ili kuboresha shughuli zao. Elimu imetolewa kwa wanafunzi Naliendele, wakihamasishwa kuwa mabalozi wa taarifa hizo kwa familia na jamii. Na Musa Mtepa Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) Kanda…

18/03/2026, 13:12

TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha ushirikiano na  Jamii

TAKUKURU Mtwara yaandaa Iftar kuimarisha uhusiano na jamii, viongozi wakisisitiza umoja, mshikamano na ushiriki wa wananchi katika mapambano dhidi ya rushwa wakati wa mwezi wa Ramadhani Na Musa Mtepa Ikiwa katika juhudi za kuimarisha uhusiano na utendaji wake pamoja na…

18/03/2026, 08:49

Jamii Africa yawajengea uwezo Waandishi wa habari Mtwara

Waandishi wa habari 25 mkoani Mtwara wamepata mafunzo ya uhakiki wa taarifa kutoka Jamii Africa, yakilenga kuwasaidia kutambua taarifa sahihi na potofu ili kuboresha utoaji wa habari kwa wananchi Na Musa Mtepa Jumla ya waandishi wa habari 25 kutoka vyombo…

10/03/2026, 10:02

Mtoto  ahofiwa kupoteza maisha mto mambi Mtwara

Mtoto Yasri Hamisi (14) wa kijiji cha Ndumbwe, Mtwara, anahofiwa kufariki baada ya kutumbukia mtoni alipoteleza akijaribu kugusa maji wakati akiwa na wenzake. Wananchi na vikosi vya uokoaji wanaendelea na juhudi za kumtafuta Na Musa Mtepa Mtoto Yasri Hamisi, mwenye…

08/03/2026, 08:52

Makala: siku ya wanawake duniani 2026

Kupitia maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani (IWD), jamii inapata fursa ya kutafakari mchango, changamoto na mafanikio ya wanawake. Gregory Millanzi na Mwanahamis Chikambu. Katika mwanzo wa historia ya mwanadamu, kabla ya ustaarabu kujengeka na kabla jamii haijaweka mifumo ya…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.