Offline
Play internet radio

Recent posts

23 April 2024, 17:20 pm

VIJIJI 52 MVOMERO KUNUFAIKA NA MRADI WA LTIP

lengo ni kuandaa jumla ya Mipango Shirikishi ya Matumizi ya Ardhi ya Vijiji 52 katika Wilaya ya Mvomero ambapo hadi kufikia sasa tayari mipango 48 imekwishaandaliwa Na Mwandishi Wetu Vijiji takribani 52 katika Wilaya ya Mvomero Mkoani Morogoro vitanufaika na…

23 April 2024, 16:58 pm

RC Sawala: akabidhi vifaa vya TEHAMA kwa vituo 10 vya Walimu  Mtwara

Vifaa hivi vitasaidia walimu kupakua na kujiongezea maarifa kupitia mtandao ambayo yatasaidia katika kuboresha hali ya ufaulu katika shule zetu Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Kanali Patrick Sawala  Leo tarehe 23/4/ 2024 amekabidhi vifaa vya TEHAMA kwa…

22 April 2024, 16:30 pm

Watumishi wa umma watakiwa kufanya kazi kwa weledi

Inaonesha kumekuwa na ongezeko la vitendo vya utovu wa nidha kwa  watu wa umma wakiwa kazini ikiwemo Rushwa na upungufu wa maadili. Na Mwanahamisi Chikambu Kamishina wa utumishi umma  Balozi John Haule amewataka watumishi wa umma mkoa wa Mtwara kufanya…

21 April 2024, 16:26 pm

Wananchi Mtwara washauriwa kuwa na utamaduni wa kupanda miti

Miti na misitu ina faida nyingi   kwa maisha ya binadamu ikiwa ni Pamoja na kuwa chanzo cha mvua,dawa ,chakula na ni chanzo cha bidhaa za ujenzi Na Gregory Milanzi Wananchi  wameshauriwa kuwa na utamaduni wa  upandaji wa miti ili kukabiliana…

18 April 2024, 21:57 pm

Jamii yatakiwa kufahamu umuhimu wa kutunza vyanzo vya maji

Shughuli zinazofanywa karibu na vyanzo vya maji zimekuwa zikihatarisha uwepo wake huku mamlaka zikiombwa kuendelea kutoa elimu ya athari hasi na umuhimu wa utunzaji wa vyanzo vya maji. Na Msafiri Kipila Mammlaka zinazo simamia vyanzo vya maji zimeombwa kutoa Elimu…

16 April 2024, 13:03 pm

Wananchi Mangamba Chini walia na ubovu wa barabara

Barabara hiyo hivi sasa imekuwa Mbovu kupitiliza ukilinganisha na kipindi cha nyuma ambacho Gari zinazobeba Watoto kuwapeleka shuleni zilikuwa zinapita bila mashaka lakini kwa hivi sasa imekuwa tofauti Na Grace Hamisi Wananchi wa mtaa wa Mangamba Chini Manispaa ya Mtwara…

16 April 2024, 08:55 am

 Wazazi  kikwazo  watoto  kumaliza elimu ya msingi Mtwara DC

Wazazi wengi wamekuwa wakiweka nguvu kubwa kwenye mila ya Jando na unyango kuliko Elimu Na Musa Mtepa Inaelezwa kuwa Wazazi kutotambua umuhimu wa Elimu ndio chanzo cha Watoto  wengi kutomaliza Elimu ya Msingi katika Halmashauri ya Mtwara Vijijini. Wakizungumza na…

10 April 2024, 23:17 pm

RPC Mtwara: Zingatieni sheria za usalama barabarani

kKuvaa kofia ngumu kwa mwendesha wa pikiki ni suala la kisheria hivyo ni wajibu kwa maafisa usafirishaji (Bodaboda) wote mkoani Mtwara na abiria wake kuzingatia sheria hiyo. Na Musa Mtepa Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara Kamishna Mwandamizi…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.