Recent posts
9 January 2026, 09:27 am
Serikali yataka kasi ujenzi Barabara ya Mnivata –Masasi
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ameitaka TANROADS kuongeza usimamizi kwa mkandarasi wa barabara ya Mnivata–Masasi baada ya mradi kusuasua. TANROADS imesema chanzo ni mkandarasi na hatua tayari zimechukuliwa kuharakisha ujenzi Na Musa Mtepa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Kanali Patrick…
7 January 2026, 19:27 pm
Wananchi Makome B: Maji yalitoka dakika tano tu
Wananchi wa Makome B wameiomba Serikali kupitia RUWASA kukamilisha mradi wa maji uliosimama ili kumaliza uhaba wa maji safi unaosababisha magonjwa na changamoto za kijamii. Na Musa Mtepa Wananchi wa kijiji cha Makome B kilichopo kata ya Mbawala,Halmashauri ya Mtwara…
5 January 2026, 18:10 pm
Wahitimu Mtwara Ufundi wachangia ujenzi wa msikiti Mtwara
Wanafunzi waliowahi kusoma Shule ya Sekondari Mtwara Ufundi wamechangia shilingi 525,000/= kwa ajili ya ujenzi wa Msikiti wa mtaa wa Shule ya Msingi Majengo, Manispaa ya Mtwara Na Musa Mtepa Wanafunzi waliowahi kusoma Shule ya Sekondari Mtwara Ufundi iliyopo Manispaa…
5 January 2026, 16:00 pm
Jamii FM yatoa tuzo kwa wasikilizaji bora wa mwaka 2025
Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na wachangiaji bora wa vipindi vyake kwa mwaka 2025. Washindi walichaguliwa na wasikilizaji kupitia SMS na kukabidhiwa tuzo katika hafla iliyofanyika katika studio za kituo hicho Na Musa Mtepa Jamii FM Redio imetangaza wasikilizaji na…
4 January 2026, 12:45 pm
Ni lini MV Kilambo itarejea?
Wananchi wa Kilambo na maeneo ya mpakani na Msumbiji wanaiomba Serikali kurejesha kivuko cha MV Kilambo kilichosimama kufanya kazi, Serikali imesema matengenezo yanaendelea Na Musa Mtepa Wananchi na watumiaji wa kivuko cha Kilambo kinachounganisha Tanzania na nchi jirani ya Msumbiji…
3 January 2026, 18:18 pm
Bei ya korosho yazua sintofahamu Nanyamba
Wakulima wa korosho Nanyamba wamelalamikia tofauti kubwa ya bei ukilinganisha na Tandahimba, hali inayowalazimisha kuhamishia mazao yao Tandahimba Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la korosho katika Halmashauri ya Mji Nanyamba wamehoji tofauti ya bei ya korosho inayojitokeza sokoni kati…
24 December 2025, 12:50 pm
Zimamoto Mtwara yatoa elimu matumizi sahihi ya Gesi majumbani
Wananchi wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya gesi ya kupikia majumbani ili kuepuka madhara ikiwemo milipuko ya moto Na Musa Mtepa Wananchi wameshauriwa kuzingatia matumizi sahihi ya gesi ya kupikia majumbani ili kuepuka madhara yanayoweza kujitokeza, ikiwemo milipuko ya moto inayosababishwa…
23 December 2025, 16:58 pm
Watu wenye ulemavu na mazingira
Ulemavu si jambo la hiari, na kwamba mtu yeyote anaweza kuwa mlemavu wakati wowote katika maisha yake. Na Msafiri Kipila Watu wenye ulemavu ni sehemu muhimu ya jamii na wana mchango mkubwa katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Licha ya…
23 December 2025, 12:50 pm
TARURA Mtwara yaianza miradi ya TACTIC ya bilioni 27.4
TARURA Wilaya ya Mtwara imeanza utekelezaji wa miradi ya TACTIC ikihusisha ujenzi wa ofisi, maabara ya kupima ubora wa miradi, barabara na mifereji ya maji, huku ikilenga kuboresha miundombinu na kutoa ajira kwa wananchi wa eneo hilo Na Musa Mtepa…
20 December 2025, 19:57 pm
FPCT Mtwara yawapatia watoto zawadi za Krismasi
Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana FPCT Mtwara kimetoa zawadi za Krismasi kwa watoto wanaosoma kituoni hapo, ikiwa ni kuwapongeza na kumshukuru Mungu Na Musa Mtepa Kituo cha Maendeleo ya Mtoto na Kijana cha FPCT Mtwara kimetoa zawadi za…