Recent posts
10/03/2026, 10:02
Mtoto Yasri (14) ahofiwa kupoteza maisha mto mambi Mtwara
Mtoto Yasri Hamisi (14) wa kijiji cha Ndumbwe, Mtwara, anahofiwa kufariki baada ya kutumbukia mtoni alipoteleza akijaribu kugusa maji wakati akiwa na wenzake. Wananchi na vikosi vya uokoaji wanaendelea na juhudi za kumtafuta Na Musa Mtepa Mtoto Yasri Hamisi, mwenye…
08/03/2026, 08:52
Makala: siku ya wanawake duniani 2026
Kupitia maadhimisho ya siku ya wanawake Duniani (IWD), jamii inapata fursa ya kutafakari mchango, changamoto na mafanikio ya wanawake. Gregory Millanzi na Mwanahamis Chikambu. Katika mwanzo wa historia ya mwanadamu, kabla ya ustaarabu kujengeka na kabla jamii haijaweka mifumo ya…
06/03/2026, 09:03
Wananchi waomba kuharakishwa fidia ya utafiti wa Mafuta na Gesi asilia Lindi na…
Wananchi katika vijiji vya Lindi na Mtwara walalamikia kuchelewa kulipwa fidia ya mazao yaliyoharibiwa wakati wa utafiti wa mafuta na gesi, huku TPDC ikisema tathmini imefikia asilimia 51 na malipo yanatarajiwa kuanza Na Musa Mtepa Wananchi wanaoishi katika vijiji vilivyopitiwa…
04/03/2026, 16:05
Waziri wa Nishati ahimiza ushirikiano miradi ya CSR Mtwara
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, ahimiza ushirikiano wa TPDC na viongozi wa Mtwara katika miradi ya CSR, huku akisisitiza ajira na uwezeshaji wa wananchi kwenye miradi ya gesi asilia Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, ameliagiza Shirika la…
03/03/2026, 13:17
TAKUKURU Mtwara yadhibiti Milioni 15.3 za makato ya Korosho na ufuta
TAKUKURU Mkoa wa Mtwara Region imedhibiti zaidi ya shilingi milioni 15.3 za makato ya korosho na ufuta, kupokea malalamiko 53 ya rushwa, na kusimamia marekebisho ya miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.03 Na Musa Mtepa…
03/03/2026, 06:59
CRDB Foundation na serikali yawawezesha vijana Mtwara
CRDB Bank Foundation imekabidhi Pikipiki, Bajaji na Guta zenye thamani ya shilingi milioni 140 kwa vijana wa Mtwara, kuendeleza mikopo nafuu kwa ushirikiano na Wizara ya Maendeleo ya Vijana Na Musa Mtepa Benki ya CRDB kupitia CRDB Bank Foundation kwa…
02/03/2026, 19:31
Vijana 25 Mtwara wapokea mikopo ya serikali
Zaidi ya vijana 25 Mtwara wamenufaika na mikopo nafuu, wakiwemo wapokeaji wa pikipiki, bajaji na guta, iliyokabidhiwa na Waziri wa Vijana kwa lengo la kukuza biashara na ajira Na Musa Mtepa Vijana 25 mkoani Mtwara wamenufaika na mikopo yenye masharti…
02/03/2026, 16:58
Waziri Nanauka azindua Jukwaa la vijana Mtwara
Waziri Nanauka amewahimiza vijana kujiandaa kuchangamkia fursa za maendeleo wakati wa uzinduzi wa Vijana Platform Mtwara Na Musa Mtepa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Maendeleo ya Vijana, Mhe. Dkt. Joel Nanauka, amewataka vijana kuwa na maandalizi madhubuti ili kuchangamkia…
01/03/2026, 12:53
Trilioni moja kukuza gesi asilia Mtwara
Serikali yawekeza zaidi ya trilioni moja kwenye miradi ya gesi Mtwara, ikilenga kuimarisha upatikanaji wa umeme na kukuza viwanda nchini Na Musa Mtepa Zidi ya shilingi trilioni moja za Kitanzania zimewekezwa katika sekta ya gesi asilia kupitia miradi ya uchimbaji…
28/02/2026, 17:05
Waziri Ndejembi ataka mradi wa Gesi Ntorya ukamilike kwa wakati
Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amemtaka mkandarasi kukamilisha mradi wa bomba la gesi Ntorya–Madimba ifikapo Septemba 2026 Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji na ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka…