Jamii FM

Recent posts

13 February 2024, 12:01 pm

Redio mara zote zinatoa habari za uhakika – Sharifu Kasimu

Na Msafiri Kipila Jamii FM Radio imepata nafasi ya kuzungumza na Sharifu Kasimu Namkanda mkazi wa kata ya Naliendele mkoani Mtwara, ambaye anaeleza kuwa redio ina umuhimu mkubwa sana kwa jamii hasa kwa watu waliopo vijijini ambako mitandao ya kijamii…

13 February 2024, 11:30 am

Mahitaji ya kupata habari ni makubwa kwa sasa – Said Swallah

Na Grace Hamisi, Amua Rushita Kila ifikapo Februari 13 ya kila mwaka  dunia huadhimisha siku ya Redio Duniani ambapo huzungumziwa mchango wa redio katika masuala mbalimbali ya kimaendeleo, changamoto wanazokutanazo jamii na kuziwasilisha kwa wenye mamlaka . Lakini pia redio…

12 February 2024, 15:07 pm

Umuhimu wa kutunza mazingira kwa kutumia upandaji maua-Kipindi

Kipindi cha Mazingira ambacho amesikika kijana Nelson Everisty mkazi wa Manispaa ya Mtwara Mikindani ambae amekuwa akizalisha maua katika Eneo hilo huku akielezea namna yanavyoweza kutunza Mazingira ya Nyumbani na mengine hutumika kama Dawa na Matunda. Na Musa Mtepa Bustani…

23 December 2023, 15:21 pm

Vifo vya wajawazito, watoto wachanga bado ni changamoto Mtwara-Makala

Kwa mujibu wa Mganga Mkuu mkoa wa Mtwara, kumekuwepo na ongezeko la vifo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa kipindi cha miezi mitatu. Na Gregory Millanzi Binadamu tunapitia nyakati tofauti tofauti katika maisha yetu, baadhi ya nyakati tunazopita…

8 December 2023, 10:38 am

Makala: Hali ya malezi na Makuzi ya watoto chini ya umri wa miaka 8

Baba na Mama tunaamini ndio wanaoanzisha safari ya maisha ya binadamu hapa duniani, na hapa nazungumzia jukukumu la mama kubeba mimba na baba kubeba jukumu la kulea na kuhudumia mimba Na Mwanahamisi Chikambu na Gregory Millanzi Maisha ya binadamu yanasafari…

20 November 2023, 11:12 am

Ushiriki wa mwanamke kwenye nafasi za uongozi

Nimefarijika kuona jinsi gani wananchi wa Mkunwa na viongozi wao wapo tayari kuhakikisha kwamba wanawake wenye uwezo na vigezo wanaweza kushiriki katika nafasi mbalimbali za uamuzi. Na Musa Mtepa Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) umefurahishwa na Maendeleo ya Mradi wa…

18 November 2023, 12:44 pm

Uzinduzi wa msimu wa kilimo biashara mkoa wa Mtwara

Wadau wa kilimo kila mmoja anawajibika katika kutekeleza majukumu yake ili kufikia malengo tuliyojiwekea kama mkoa ikiwepo kuondoa changamoto zinazowakabiri wakulima Na Musa Mtepa Mkuu wa mkoa wa Mtwara Kanal Ahmed Abasi Novemba 17, 2023 amefanya uzinduzi wa msimu wa…

16 November 2023, 13:13 pm

Biteko awasha umeme wa REA Mtwara

Na Grace Hamisi Naibu Waziri mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko Novemba 15,2023 amewasha umeme wa ujazilizi katika maeneo ya vijiji – miji awamu ya III mitaa ya Pachoto A, Pachoto B na Pwani kata ya Naliendele mkoani…

3 November 2023, 17:54 pm

Rushwa ya ngono isichukuliwe kawaida

Rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi kwa upande mwingine ni suala la mkanganyiko kwa sababu ni suala Mtambuka huku akisema kuwa inawezekana Bosi akampenda kweli mfanyakazi wake lakini wakati mwingine anaweza kutafsiriwa kuwa ni Rushwa ya ngono Na Musa…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.