Jamii FM

Recent posts

17 October 2023, 14:25 pm

Siku ya mwanamke anayeishi kijijini

Suala la ukatili bado linaendelea  katika jamii huku suala la undugu likiwa kikwazo kutokomeza, wanajamii wamekuwa wakifichiana matukio hayo hasa  rushwa ya ngono katika maeneo ya kazi na taasisi za elimu. Na Musa Mtepa Wananchi  mkoani Mtwara wametakiwa kukomesha vitendo…

14 October 2023, 16:16 pm

Makala: Hali ya chama cha watu wenye ulemavu wa kuona Mtwara

Na Mwanahamisi Chikambu, Mtu asiye na ulemavu wa macho hawezi kuelewa ni namna gani mtu wa namna hiyo anavyoweza kuendesha maisha yake ya kila siku na kuhakikisha familia yake inapata huduma za kila siku. Kumekuwa na vyama mbalimbali ambayo vinaanzishwa…

11 October 2023, 14:34 pm

Zao la mwani Mtwara ladoda, wakulima walilia soko

Zao la mwani limekuwa zao jipya katika mkoa wa Mtwara ambapo wanawake wanaoishi kata ya Msangamkuu wamechangamkia fursa hiyo ya kilimo cha mwani na sasa hawana soko la kuuza zao hilo. Na Musa Mtepa Wakulima wa zao la mwani wa…

17 September 2023, 17:20 pm

Ushirika kuuza korosho kidijitali msimu huu

Na Gregory Millanzi Tume ya Maendeleo ya Ushirika (TCDC) wanatarajia kuuza korosho kwa mfumo wa kidijitali kwa msimu wa mazao wa 2023/2024 mfumo ambao utatumia kompyuta kwenye kila chama cha ushirika cha msingi (AMCOS) na kutumia mizani ya kidijitali ili…

14 September 2023, 06:58 am

Binti mwenye ulemavu atuhumiwa kujinyonga hadi kufa

Marehemu amekutwa amefungwa kamba aina ya Manila shingoni huku puani akichuruzika Damu. Na Musa Mtepa Katika hali isiyo ya kawaida Samia Ahmad Mohamed (20), mkazi wa kijiji cha Sinde, Msangamkuu Halmashauri ya wilaya ya Mtwara, mlemavu wa mikono na miguu…

9 September 2023, 17:01 pm

Rais Samia kufanya ziara ya siku 4 Mtwara

Hii ni Mara ya kwanza kwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassani kufanya ziara mkoani Mtwara akiwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania ambapo kwa mara ya mwisho alifanya mwaka 2016 akiwa Makamu wa Rais. Na Musa Mtepa Rais wa…

21 August 2023, 10:34 am

Makala – Urejeshaji masomoni kwa wasichana waliokatisha masomo

Na Musa Mtepa Mdondoko wa wanafunzi katika masomo ya sekondari kutokana na mambo mbalimbali ikiwemo mimba, selikari ya awamu ya sita imetoa jukumu kwa wazazi kuwarejesha masomoni watoto wa kike ili waweze kuendelea na masomo. Bonyeza hapa kusikiliza makala haya

19 August 2023, 11:29 am

Makala: Ufahamu ugonjwa wa Usonji

Na Grace Hamisi, Usonji (autism spectrum disorder -ASD) ni ugonjwa wa neva wa ukuaji unaoathiri namna mtu anavyoshirikiana na wenzake, anavyozungumza, anavyojifunza, na tabia yake. Ingawa usonji unaweza kugundulika katika umri wo wote, ugonjwa huu huelezewa kuwa ni ugonjwa wa…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.