Jamii FM

Recent posts

16 August 2023, 15:49 pm

TAKUKURU Mtwara yasaidia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo

Na Musa Mtepa; Taasisi ya kuzuia na kupambana  na Rushwa  TAKUKURU Mkoani Mtwara katika kipindi cha mwezi Aprili -Juni 2023 imefanikiwa kuokoa Miradi ya Maendeleo ambayo  awali ilikuwa kwenye mtanziko wa ukamilishaji kutokana dosari za Wazabuni katika utekelezaji wake. Akizungumza…

11 August 2023, 19:12 pm

Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo

Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…

9 August 2023, 17:56 pm

Uzinduzi msimu utalii wa nyanguni Msimbati

Na Grace Hamisi Wananchi wa kata ya Msimbati mkoani Mtwara wametakiwa kujipanga na kupokea mabadiliko juu ya wageni wanaotembelea na kujifunza vivutio mbalimbali vilivyopo katika maeneo hayo. Wito huo umetolewa August 5, 2023 na Bi Esha Chilonda afisa mtendaji wa…

9 August 2023, 17:43 pm

Wasanii Mtwara kuchangamkia fursa

Na Msafiri Kipila Serikali imeendelea kuwawezesha na kutoa mafunzo kwa wasanii mkoani MtwaraAgosti 07, 2023 katika Ukumbi Wa TTC Kawaida hapa Mtwara, ili wasanii wapate mikopo na kujiajiri, kushiriki kwenye shughuli za maendeleo na kuchangia pato la taifa. Katika mwaka…

5 August 2023, 14:58 pm

Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani

Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia,  ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…

3 August 2023, 14:21 pm

Kipindi: Watanzania wengi wanaishi kwenye dhana ya ndoa na sio Ndoa

Na Musa Mtepa Akizungumza katika kipindi maalumu kinachorushwa na jamii FM redio cha tarehe 25/07/2023,Hakimu Mkazi kutoka mahakama ya Mwanzo Mkoani Mtwara Ndugu Alex Robert amesema baada ya ndoa kufungwa inapaswa kusajiriwa katika taasisi  ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na…

26 July 2023, 08:06 am

Waziri Jafo ataka tathmini ya Mazingira ifanyike

Mamlaka ya bandari imepewa miezi mitatu ili kufanya ukaguzi wa mazingira (Environmental Audit) ili kuhakikisha Kuna ubora wa biashara ya makaa ya mawe Na Grace Hamisi Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira Mh. Selemani Jafo,…

26 July 2023, 07:41 am

Mashujaa waomba kazi zao zienziwe

Tunaiomba Serikali kutosahau Mashujaa tuliopo na kuenzi kazi tulizozifanya kwa taifa letu Na Msafiri kipila Kila Ifikapo Julai 25 ya Kila mwaka Tanzania huadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa ambapo kitaifa imeadhimishwa katika Uwanja wa Mashujaa, Mji wa Serikali Mtumba…

13 July 2023, 15:35 pm

Timu ya Mtoto Kwanza yatambulishwa Mtwara

Na Gregory Millanzi “Sisi kwenye mkoa wetu huu watoto wana shida kubwa ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia, najua kupitia KIMAS na mradi huu utapambana na hatari zote ambazo zinatokana na hawa watoto, pia itaongeza uelewa wa malezi na makuzi ya…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.