Recent posts
17 August 2023, 12:48 pm
Makala: Changamoto ya Vumbi la Makaa ya Mawe kwa wananchi wa Mtwara
Na Musa Mtepa, Changamoto ya makaa ya mawe kwa wananchi wa manispaa ya Mtwara Mikindani ambapo katika makala haya utamsikia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi, Muungano na Mazingira Selemani Jafo, Mkuu wa Mkoa wa Mtwara kanali Ahmed…
16 August 2023, 15:49 pm
TAKUKURU Mtwara yasaidia ukamilishaji wa miradi ya maendeleo
Na Musa Mtepa; Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mtwara katika kipindi cha mwezi Aprili -Juni 2023 imefanikiwa kuokoa Miradi ya Maendeleo ambayo awali ilikuwa kwenye mtanziko wa ukamilishaji kutokana dosari za Wazabuni katika utekelezaji wake. Akizungumza…
11 August 2023, 19:12 pm
Kipindi: Umiliki wa Ardhi kwa mwanamke – Gladness Munuo
Wanawake wamekuwa nyuma katika suala la umiliki wa ardhi kitendo ambacho kinaonesha ni kutokuwa na elimu ya kutosha juu ya umiliki huo, hasa linapokuja suala la mali ya familia Na Musa Mtepa Mratibu usuluhishi na upatanisho kutoka kituo cha msaada…
9 August 2023, 17:56 pm
Uzinduzi msimu utalii wa nyanguni Msimbati
Na Grace Hamisi Wananchi wa kata ya Msimbati mkoani Mtwara wametakiwa kujipanga na kupokea mabadiliko juu ya wageni wanaotembelea na kujifunza vivutio mbalimbali vilivyopo katika maeneo hayo. Wito huo umetolewa August 5, 2023 na Bi Esha Chilonda afisa mtendaji wa…
9 August 2023, 17:43 pm
Wasanii Mtwara kuchangamkia fursa
Na Msafiri Kipila Serikali imeendelea kuwawezesha na kutoa mafunzo kwa wasanii mkoani MtwaraAgosti 07, 2023 katika Ukumbi Wa TTC Kawaida hapa Mtwara, ili wasanii wapate mikopo na kujiajiri, kushiriki kwenye shughuli za maendeleo na kuchangia pato la taifa. Katika mwaka…
5 August 2023, 14:58 pm
Makala: Matumizi bora ya gesi ya kupikia majumbani
Na Musa Mtepa Makala haya yanasimulia matumizi bora ya nishati ya kupikia majumbani maarufu kama gesi ya kupikia, ambapo mkoani Mtwara tayari wananchi wanatumia mitungi ya kampuni mbalimbali za gesi kwa ajili ya kupikia pia tayari kuna mtandao wa gesi…
3 August 2023, 14:21 pm
Kipindi: Watanzania wengi wanaishi kwenye dhana ya ndoa na sio Ndoa
Na Musa Mtepa Akizungumza katika kipindi maalumu kinachorushwa na jamii FM redio cha tarehe 25/07/2023,Hakimu Mkazi kutoka mahakama ya Mwanzo Mkoani Mtwara Ndugu Alex Robert amesema baada ya ndoa kufungwa inapaswa kusajiriwa katika taasisi ya Wakala wa Usajili, Ufilisi na…
26 July 2023, 08:06 am
Waziri Jafo ataka tathmini ya Mazingira ifanyike
Mamlaka ya bandari imepewa miezi mitatu ili kufanya ukaguzi wa mazingira (Environmental Audit) ili kuhakikisha Kuna ubora wa biashara ya makaa ya mawe Na Grace Hamisi Waziri wa nchi ofisi ya makamu wa Rais muungano na mazingira Mh. Selemani Jafo,…
26 July 2023, 07:41 am
Mashujaa waomba kazi zao zienziwe
Tunaiomba Serikali kutosahau Mashujaa tuliopo na kuenzi kazi tulizozifanya kwa taifa letu Na Msafiri kipila Kila Ifikapo Julai 25 ya Kila mwaka Tanzania huadhimisha Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa ambapo kitaifa imeadhimishwa katika Uwanja wa Mashujaa, Mji wa Serikali Mtumba…
13 July 2023, 15:35 pm
Timu ya Mtoto Kwanza yatambulishwa Mtwara
Na Gregory Millanzi “Sisi kwenye mkoa wetu huu watoto wana shida kubwa ya kufanyiwa ukatili wa kijinsia, najua kupitia KIMAS na mradi huu utapambana na hatari zote ambazo zinatokana na hawa watoto, pia itaongeza uelewa wa malezi na makuzi ya…