Recent posts
28 April 2023, 11:18 am
Makala: Je wazee wana mchango gani wa kukemea kuporomoka kwa maadili
Na Msafiri Kipila Kutokana na mabadiriko makubwa kwenye nyaja ya elimu, technolojia na utamaduni, tunu ya vijana imekuwa tofauti na wazee, vijana wanaona kuishi kwa tamadauni za mababu ni kupitwa na wakati, Wazee wamezungumza na Jamii fm kwenye makala haya…
11 April 2023, 12:17 pm
Kipindi: Wenye ulemavu wanavyoweza kuibadilisha jamii kivitendo na mtazamo
Na Musa Mtepa Mifumo ya usaidizi ni muhimu ili watu wenye ulemavu waweze kuishi maisha yenye utu, waweze kujitegemea na wawe huru zaidi, haya ni maneno yaliyosemwa Machi 13 2023 kwenye mkutano wa ‘’Mtazamo wa Kimataifa wa Habari za kiutu’’ huko…
10 April 2023, 11:29 am
Fahamu matumizi ya gesi asilia nyumbani
Na Mussa Mtepa Uwepo wa mtandao wa gesi asilia kwaajili ya kupikia katika baadhi ya maeneo ya Mkoa wa Mtwara kumesaidia kumtunza mazingira na muda wa kukaa jikoni kwaajili ya maandalizi ya chakula. Katika makala haya utasikia wanufaika mbalimbali wa…
8 April 2023, 13:28 pm
Makala: Fahamu namna dawa za kulevya zinavyomuathiri mtoto tumboni
Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama mwenyewe na kwenye mfumo wake wa uzazi na kupelekea mtoto kuathirika moja kwa moja kama ambavyo mama anaathirika kwa dawa hizo, na kupelekea mtoto kuwa na uraibu na wakati mwingine husababisha…
1 April 2023, 23:18 pm
Waziri Mkuu asisitiza kuainisha ubadhirifu kwenye miradi itakayopitiwa na mwenge
Na Mwandishi wetu. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wakimbiza mwenge wa Uhuru kitaifa kukagua miradi yote kwa umakini na kuishauri Serikali hatua za kuchukua kwa kila mradi. Muende mkakague miradi ya maendeleo…
1 April 2023, 23:07 pm
Uzinduzi wa Mwenge na mafanikio ya kupambana na UKIMWI
Na Mussa Mtepa Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kasim Majaliwa amewataka wakimbiza mwenge kitaifa kukagua na kujiridhisha na ubora wa Miradi ya Maendeleo itakayokaguliwa ili ilingane na thamani ya fedha zilizotolewa kwenye mradi husika na kuahidi kuzifanyia kazi taarifa zote…
30 March 2023, 18:29 pm
Waziri Mkuu Majaliwa kuwasha mwenge wa Uhuru Mkoani Mtwara
Mwenge wa Uhuru wa Tanzania unatarajiwa kuwashwa Mkoani Mtwara Ili kuanza kuzunguka Tanzania nzima kwaajili ya kujenga amani na mshikamano wa Taifa kwa mwaka 2023 Na Mussa Mtepa WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mbio…
28 March 2023, 16:26 pm
Kipindi: Wanawake wahamasishwa kupima saratani ya mlango wa kizazi
Na Mussa Mtepa na Mwanahamisi Chikambu Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ukuaji usio wa kawaida wa chembechembe hai na mgawanyo wa chembechembe hai usio wa kawaida ambapo havionekani kwa macho ya kawaida. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya…
27 March 2023, 11:18 am
Kipindi: Elimu ya ugonjwa surua na rubella
Na Gregory Millanzi, Mwanahamisi Chikambu na Mussa Mtepa Utoaji wa chanjo ya surua na rubella kwa watoto umeanza kwa awamu ya dharula baada ya uwepo wa mlipiko wa magonjwa hayo ambayo yanawaadhiri watoto. Kupitia kipindi cha dira ya asubuhi tumewapata…
22 March 2023, 12:38 pm
Viongozi wa Dini wasisititwa kupiga vita tabia chafu
Watanzania hawana tabia ya ndoa za jinsia moja hivyo tamaduni za nje zisiruhusiwe kuingia nchini huku akiwataka jamii kupiga vita madangulo yote yanayofanya biashara ya ngono Na Musa Mtepa Jamii na Viongozi wa Dini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kupiga…