Recent posts
4 February 2023, 14:29 pm
Nipo tayari kukatwa mguu
“Wahisani na wadau wameombwa msaada wa matibu ya mguu kwa Ndg. Marias Thomas Ngole mkazi wa kitongoji cha Mijolo kijiji cha Ziwani Mkoani Mtwara baada ya kuapata ajali ya kugongwa na pikipiki miaka mitatu iliyopita.” Na Musa Mtepa Akizungumza na…
3 February 2023, 21:55 pm
Manispaa ya Mtwara yapitisha makisio ya bajeti ya sh Bil 30.1 kwa mwaka 2022/202…
Baraza la madiwani Manispaa ya Mtwara Mikindani, limepitisha makisio ya bajeti ya shilingi Bilioni 30.1 kwa mwaka 2022/2023. Na Gregory Millanzi. Madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara- Mikindani mkoani Mtwara wameridhia kupitisha bajeti ya shilingi Bilioni 30.132 kwa mwaka…
31 January 2023, 12:07 pm
Wanawake washauriwa kukuza kipato cha familia
“Wanawake wa Mkoani Mtwara wameshauriwa kupambana katika kutafuta na kuongeza kipato cha familia na kuachana na tabia ya kuwaacha wanaume pekee katika kutekeleza majukumu ya Nyumbani.“ Na Mohamed Massanga Akizungumza na Jamii fm Radio Mwenyekiti wa kikundi cha ‘’LIYAKAYA WOMENI GROUP’’…
31 January 2023, 12:06 pm
Mama mjamzito akitumia dawa za kulevya zinamuathiri mtoto kuanzia tumboni
Mama mjamzito anayetumia madawa ya kulevya ana kiwango kikubwa cha kumuathiri mtoto akiwa tumboni, na wengi wao wanapoteza maisha wakati wa kujifungua. Na Gregory Millanzi Mama mjamzito akiwa anatumia madawa ya kulevya zinamuathili mama kwenye mfumo wake wa uzazi na…
30 January 2023, 12:37 pm
Ufahamu wa chanjo ya Corona waongeza idadi ya watu kuchanja
Picha ya Chanjo ya UVIKO 19
30 January 2023, 12:26 pm
Wapelekeni watoto waanze darasa la awali na la kwanza
Na Gregory Millanzi Wazazi na walezi wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara Mikindani, wametakiwa kuwaandikisha watoto wenye umri wa miaka minne kwa ajili ya kuanza darasa la awali, na wenye umri wa miaka 6 kujiunga na darasa la kwanza mwaka…
19 December 2022, 11:45 am
Kipindi: Fahamu njia za kuwafundisha watoto wenye Usonji
Na Ramla Masali Makala haya yanazungumzia namna bora ya kuwafundisha watoto wenye Usonji. Sikiliza makala haya
19 December 2022, 11:32 am
Kipindi: Wazazi au walezi wanamlinda vipi mtoto asipate unyanyasaji wa kijinsia
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi hiki maalumu juu ya jamii inavyopambana katika kumlinda mtoto dhidi ya unyanyasaji wa kijinsia. Sikiliza hapa
19 December 2022, 11:27 am
Kipindi: Wanawake na Msimu wa Korosho
Na Grace Hamisi sikiliza makala haya juu ya kinachotokea kwa wanawake mara baada ya msimu wa korosho kuisha. Sikiliza Hapa
19 December 2022, 11:14 am
Kipindi: Mwanamke na kutokuwa na uhuru wa kujieleza
Na Grace Hamisi Sikiliza kipindi ambacho kimeandaliwa na mwandishi wetu juu ya uhuru wa mwanamke katika kujieleza pale anapokuwa katika maeneo ya kazi. Sikiliza hapa