Jamii FM

Recent posts

24 March 2022, 12:29 pm

Mtwara waweka Mikakati ya Kupunguza  vifo vya Mama Wajawazito

Na Gregory Millanzi.                                                                    Mikakati mingine iliyowekwa na Mkoa ili kuhakikisha inapunguza vifo vitokanavyo na uzazi ni kuhakikisha gari la kubeba Wagonjwa (Ambulance) katika vituo vya afya na Hospitali zinafanya kazi muda wote ili kuimarisha mfumo wa Rufaa kutoka ngazi…

5 March 2022, 17:00 pm

RC Gaguti: Wanamtwara tujitokeze kesho kwenye uwanja wa Mashujaa

Mkuu wa mkoa wa Mtwara Mhe. Brig. Jen. Marco Gaguti kwa kushirikiana na taasisi ya “Bega kwa Bega na Mama” imewaomba wanamtwara kujitokeza kwa wingi siku ya kesho tarehe 06/03/2022 katika kusherehekea mwaka mmoja kwa serikali ya awamu ya sita…

24 February 2022, 12:37 pm

Mkuu wa Mkoa wa Mtwara ataka mkoa ufikie afua ya lishe ya kitaifa

Na Gregory MillanziMkuu wa Mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewataka wadau wa lishe katika mkoa huo kuwajibika ipasavyo katika nafasi zao ili kufikia viwango vilivyowekwa kitaifa katika usimamizi wa afua za lishe. Gaguti amesema hayo kwenye kikao cha…

17 February 2022, 23:46 pm

SDA yapaza sauti juu ya unyanyasaji wa kijinsia

Na Amua Rushita Shirika la maendeleo ya michezo (SDA) Mtwara kupitia mradi  wa  kuwawezesha wabinti kupaza sauti, wameendesha Semina ya siku mbili juu ya kuwapa elimu ya namna ya kupambana na unyanyasaji wa kijinsia, semina hiyo imefanyika katika  ukumbi wa…

12 February 2022, 19:37 pm

Maadhimisho ya siku ya redio duniani

Na Amua Rushita. Waandishi wa habari pamoja na asasi za kiraia  kupitia Mradi wa Sauti mpya, wamekutana katika kuadhimisha siku ya redio duniani kwa kuwa na majadala juu ya siku hii inayoadhimishwa kidunia, karibu usikilize kipindi maalumu kutoka hap mkoani…

11 February 2022, 11:53 am

Ngedere na Tumbili wavuruga shughuli za kilimo

Wanyama pori (Tumbili na Ngedere) wamekuwa kikwazo kwa wananchi  kufanya shughuli   za kilimo  kwa ufasaha  kwa baadhi ya kata za Halmashauri  ya Mtwara vijijini hali inayopekea  kukatamaa na shughuli  hizo. Akichangia Taarifa ya kamati ya uchumi ,ujenzi na Mazingira  Diwani…

8 January 2022, 14:05 pm

Meli Kubwa yatia Nanga Bandari ya Mtwara kubeba Makaa ya Mawe

“Meli kubwa ya Star fighter ambayo itaondoka na tani elfu 59 za makaa yam awe, Sisi tumefurahi sana ujio wake, na uzito unaoondoka hapa kwa upande ule wa gati ya zamani tusingeweza kuipaki kwa tani elfu 59, uboreshaji na ujenzi…

4 December 2021, 23:15 pm

Mkuchika Awataka wazazi kuchangamkia fursa ya elimu

“Hali ya Elimu kwa Wilaya ya Newala hasa kwa Kidato cha sita tumekuwa Tukifanya vizuri kwa muda sasa, kwa matokeo ya Kidato cha sita Shule ya Kiuta ambayo ina Wasichana pekee yake kwa kidato cha tano na sita na shule…

3 December 2021, 15:51 pm

Halmashauri kuu CCM Newala watoa azimio la kero ya Maji kwa serikali

“Baada ya kuona Hali ya Maji Wilaya ya Newala inaporomoka poromoka kila mwaka, na wakati mwingine wakati Nagombea Ubunge Maji huwa yanapatikana kwa asilimia 60, Wabunge wote wa Mtwara tulikubaliana kuonana na Waziri wa Maji na tukampa kilio chetu, Waziri…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.