Jamii FM

Recent posts

8 January 2022, 14:05 pm

Meli Kubwa yatia Nanga Bandari ya Mtwara kubeba Makaa ya Mawe

“Meli kubwa ya Star fighter ambayo itaondoka na tani elfu 59 za makaa yam awe, Sisi tumefurahi sana ujio wake, na uzito unaoondoka hapa kwa upande ule wa gati ya zamani tusingeweza kuipaki kwa tani elfu 59, uboreshaji na ujenzi…

4 December 2021, 23:15 pm

Mkuchika Awataka wazazi kuchangamkia fursa ya elimu

“Hali ya Elimu kwa Wilaya ya Newala hasa kwa Kidato cha sita tumekuwa Tukifanya vizuri kwa muda sasa, kwa matokeo ya Kidato cha sita Shule ya Kiuta ambayo ina Wasichana pekee yake kwa kidato cha tano na sita na shule…

3 December 2021, 15:51 pm

Halmashauri kuu CCM Newala watoa azimio la kero ya Maji kwa serikali

“Baada ya kuona Hali ya Maji Wilaya ya Newala inaporomoka poromoka kila mwaka, na wakati mwingine wakati Nagombea Ubunge Maji huwa yanapatikana kwa asilimia 60, Wabunge wote wa Mtwara tulikubaliana kuonana na Waziri wa Maji na tukampa kilio chetu, Waziri…

25 November 2021, 13:17 pm

Mafundi umeme wa Mtwara na Lindi wapewa elimu

Nawaomba wananchi kuwatumia mafundi Umeme walio na leseni, wao ndio wenye ufanisi wa kazi ambao tunawatambua na itasaidia endapo mtu utapata changamoto una uwezo wa kuja EWURA kufungua malalamiko tofauti na yule ambae amefanyiwa kazi na fundi ambae hana leseni.…

25 November 2021, 11:37 am

Tume ya Haki za Binadamu watoa elimu

“Hatuwezi kufanya peke yetu tunajua kwamba Tume ni Taasisi huru ya Serikali lakini lazima tufanye kazi kwa pamoja kwahiyo ni wajibu wetu mkubwa kama alivyosema ndugu yangu Mheshimiwa Mkuu wa Mkoa tuendelee kuelimisha ndugu zetu Wananchi kwenye maeneo mbalimbali lakini…

25 November 2021, 11:26 am

Walemavu waomba kupewa kipaumbele cha Elimu na Ujuzi

uwepo wa mikataba ya ya haki za watu wemye ulemavu Tanzania inafuatwa? uwepo wa taasisi zinazosaidia watu wenye ulemavu wanafikia malengo na wahusika wanapewa stahiki klulingana na miradi husika? Mr. Kaganzi Na MUSSA MTEPA; Serikali na taasisi binafsi zimetakiwa kutenda…

20 October 2021, 18:48 pm

Makala: Nafasi ya wanawake katika Tasnia ya Habari

Wananwake katika tasnia ya habari na Vyombo vya habari ni makala ambayo imeandaliwa ili kuangalia nafasi yake, Fursa na changamoto zilizopo katika mkoa wa Mtwara. Karibu katika makala haya ili uweze kujua masuala mbalimbali yanayofanywa na wanawake katika vyumba vya…

19 October 2021, 14:51 pm

Makala: Kilimo Biashara ndani ya Mtwara

Karibu usikilize Makala ya Kilimo biashara ambapo tumezungumzia mazao mbalimbali pamoja na hali ya biashara ya mazao haya ndani ya mkoa wa Mtwara, Ungana na Musa Mtepa katika makala haya.

18 October 2021, 16:35 pm

Makala: Elimu ya usafirishaji wa mitungi ya Gesi kwa bodaboda

Karibu usikilize makala haya juu ya usafirishaji wa mitungi ya Gesi kwa bodaboda, Makala haya yameandaliwa na Karim Faida. baada ya kusikiliza tunaamini utakuwa umeelimika na masuala mbalimbali yanayohusu Mitungi ya Gesi na matumizi ya jiko la gesi.

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.