Jamii FM

Recent posts

8 March 2021, 09:52 am

Waandishi wa Habari wanawake Mtwara waadhimisha IWD21

Waandishi wa Habari Wanawake kutoka Chama cha Waandishi wa Habari Mtwara (MTPC) Leo Machi 8, 2021 wameadhimisha siku ya Wanawake Duniani katika shule ya sekondari ya Mtwara Sisters. Akizungumza katika maadhimisho hayo mwenyekiti wa MTPC Grace Kasembe amesema wameona vyema…

6 March 2021, 14:54 pm

KIWOHEDE yatoa Taulo za kike siku ya wanawake Duniani

Siku ya wanawake Duniani imeadhimishwa leo Machi 6, 2021 katika Kata ya Nanguruwe Halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa taasisi na Mashirika ya mbalimbali kuwashika mkono wanawake katika kuadhimisha sikukuu hii muhimu. Mkuu wa wilaya ya Mtwara Danstan Kyobya amesema…

6 March 2021, 14:15 pm

Door of hope yatoa msaada kwa ajili ya siku ya Wanawake Duniani

Kuelekea Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, Leo 6, Machi 202, taasisi ya Door of Hope Tanzania imekabidhi kilo 200 za Mchele kwenye Halmashauri ya Mtwara Mikindani chini ya Idara ya Maendeleo ya jamii kama sehemu ya kuwashika mkono wanawake…

6 March 2021, 13:54 pm

TANESCO Mtwara wapewa siku 10 kukarabati mitambo ya kufua umeme

Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani ametoa agizo la kuhakikisha ndani ya siku 10 mashine mbili za kufua na kuzalisha umeme wa gesi asilia zinakamilika ili kuongeza upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa Mtwara na Lindi. Waziri Kalemani ametoa agizo…

28 February 2021, 10:46 am

“Wawezeshaji mmeaminiwa kafanyeni kazi” :- Mkurugenzi Mtwara Dc

Kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Bw. Maisha S. Mtipa tarehe 27 Februari, 2021 amewataka wawezeshaji wa mpango wa kunusuru kaya maskini kupitia TASAF kuwajibika kwa walengwa huko vijijini kwakuwa serikali imewaamini. Ameyasema hayo wakati wa kufunga mafunzo…

28 February 2021, 10:14 am

DANGOTE kupiga tafu miradi ya Milioni 648 Mtwara Vijijini

Kiwanda cha saruji DANGOTE Mtwara tarehe 26 Februari, 2021 kimeingia makubaliano maalum na halmashauri ya wilaya ya Mtwara kusaidia utekelezaji wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya milioni 648 katika sekta ya elimu, afya, maji na michezo. Makubaliano hayo yamefanyika…

27 February 2021, 11:23 am

TANESCO Mtwara yachapwa goli 3-1 na Veteran Mtwara

Timu ya shirika la umeme Tanzania(TANESCO) Mkoa wa Mtwara, wamechapwa goli 3-1 na timu ya Veteran Mtwara. Mechi hiyo ya mpira wa miguu iliyochezwa leo februari 27, 2021 kwenye viwanja vya bonanza mkoani hapa, TANESCO wamefungwa goli zote tatu katika…

25 February 2021, 06:35 am

Wataalamu wa Elimu wafanya ufuatiliaji Mtwara Vijijini

Timu ya wataalamu ikiongozwa na Afisa elimu Msingi Mwl. Adam Shemnga Jana Tarehe 24 Februari, 2020 wamefanya ufuatiliaji na ukaguzi wa maendeleo ya kitaaluma katika Shule kwa lengo la kuongeza ufanisi kwenye Sekta hiyo Mtwara Vijijini. Ukaguzi huo umelenga kufuatilia…

24 February 2021, 04:45 am

Wawezeshaji TASAF wasisitizwa kutumia weledi uibuaji miradi

Timu ya wataalamu wa sekta mbalimbali halmashauri ya wilaya mtwara imeendelea na mafunzo ya siku sita yatakayowawezesha kusaidia uibuaji wa miradi ya kipindi cha ari kwa walengwa wa kaya maskini kupitia mradi wa TASAF kunusuru kaya maskini awamu ya tatu…

24 February 2021, 04:33 am

Waziri Silinde aridhishwa na ujenzi wa Bweni “Sabodo High School”

Naibu waziri OR-TAMISEMI anayeshughulikia elimu Mhe. David Silinde (Mb) ameipongeza timu ya menejimenti ya Halmashauri ya wilaya ya Mtwara kwa usimamizi thabiti wa ujenzi wa madarasa mawili na bweni katika Shule ya Sekondari Mustafa Sabodo ikiwa ni maboresho kuelekea kuanza…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.