Jamii FM

Recent posts

2 May 2021, 19:54 pm

Watoto 41,339 kupata chanjo Mtwara

Na Gregory Millanzi Mkoa wa Mtwara unatarajia kuwapatia chanjo watoto 41,339 wenye umri wa kati ya mwezi 1 mpaka miezi 18 kwa mwaka 2021 ili kufikia lengo na kuhakikisha jamii inakuwa salama dhidi ya magonjwa yanayoepukika kwa chanjo.Akizungumza na Jamii…

24 April 2021, 16:07 pm

Mtwara ipo salama dhidi ya Kimbunga “Jobo”

Na Karim Faida Mamlaka ya hali ya hewa Tanzania TMA imetangaza uwepo wa kimbunga jobo katika bahari ya Hindi, Baada ya kupokea taarifa hiyo kumekuwa na watu wanaosambaza taarifa kwenye mitandao kwamba kimbunga hicho tayari kimeshafika katika mkoa wa Mtwara.…

24 April 2021, 06:33 am

Mwenendo wa Kimbunga “JOBO”

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa ya mwenendo wa kimbunga “Jobo” kilichopo bahari ya Hindi. Kimbunga Jobo kimeendelea kusogea kuelekea maeneo ya pwani ya nchi yetu ambapo kutokana na taarifa za uchambuzi zilizofanywa na Mamlaka kimbunga…

23 April 2021, 19:31 pm

TPB yatoa elimu kwa wavuvi

Na Karim Faida Wavuvi wa kijiji cha Namela kata ya Msangamkuu halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani hapa wamepewa elimu ya namna ya kupata mkopo Benki ili kujiendeleza katika shughuli zao kwa lengo la kuvua kivuvi chenye tija. Akiongea na…

20 April 2021, 15:59 pm

Waandishi someni sheria

Na Karim Faida Waandishi wa habari Tanzania wameaswa kuzisoma na kuzielewa Sheria mbalimbali zinazohusiana na tasnia yao hasa sheria ya haki ya kupata taarifa iliyopitishwa na bunge Septemba 7 2016 na kuidhinishwa na aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa…

19 April 2021, 12:01 pm

Sijasoma ila nawasaidia wazazi

Na karim Faida Nchi ya Tanzania imebarikiwa vyanzo vingi vya maji ambavyo pia vinatumika katika shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na shughuli za uvuvi ambazo zinasaidia kuingiza kipato kwa watu wanaoishi jirani na chanzo fulani cha maji mfano bahari, Maziwa,…

18 April 2021, 10:28 am

Kauli ya Rais imetupa nguvu mpya

Na Karim Faida. Wafanyabiashara wa bidhaa mbalimbali kutoka kwenye soko kuu la Chuno lililopo manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara wamesema wanaimani kubwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan kutokana na kauli zake anazozitoa…

18 April 2021, 10:20 am

Wanakijiji wahamasishwa kushiriki kwenye miradi

Na Karim Faida Wananchi wa Kijiji cha Ngorongoro kata ya Nanguruwe Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara mkoani hapa wametakiwa kushiriki kikamilifu katika miradi mbalimbali ya kimaendeleo inayoletwa katika kijiji chao ili kuharakisha miradi hiyo. Akiongea katika mkutano wa hadhara uliofanyika…

16 April 2021, 09:28 am

BAKITA wawapiga msasa waandishi wa Habari

Waandishi wa habari mkoa wa Mtwara wamepokea mafunzo ya namna sahihi ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili kutoka Baraza La Kiswahili Tanzania (BAKITA). Mafunzo hayo yametolewa Aprili 15, 2021 na kaimu mtendaji mkuu wa Baraza la Kiswahili Tanzania Bi.…

16 April 2021, 07:54 am

Mwanafunzi: mkaa unanisaidia sana

Kauli ya “Kazi ziendelee inayotumika kama salam ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suluhu Hasan imeendelea kuwafuta machozi Watanzania kwa kuwa kauli hiyo inazidi kuwapa nguvu na ari ya kuendelea kuchapa kazi na kulijenga Taifa letu.…

Vision and Mission

Who we are

JAMII FM is a Community Radio that was launched in September 2016 for the purpose of giving community members particularly from rural areas access to information and means of communication. The programmes are basically focused on issues that directly or indirectly reflect community livelihood including people with special needs.

Through Jamii FM Radio, educational and developmental information is disseminated and exchanged; important local issues are aired; a free market place of ideas and opinions is opened up and people are given the opportunity to express themselves. Broad participation by community members is always encouraged in Program production.

Vision

The VISION of Jamii FM is to see the community of Lindi and Mtwara Regions particularly from rural areas have access to information and increased capacity to play a meaningful role for their own development through media.

Mission

The MISSION is to enable local communities to use media as a tool for enhancing participatory communication in order to achieve sustainable rural development.LocationJAMII FM Radio Station is located at Naliendele area 9km from Mtwara Town along Mtwara-Newala road. The station is opposite to Naliendele Agriculture Research Institute.

Coverage:

Jamii Fm Radio owns its 60 metres transmission tower that enables to reach the huge population from both Mtwara and Lindi regions, from Mtwara Municipal up to Nanyamba, Tandahimba, Newala, Nachingwea, Lindi and some parts along the boarder with neighbouring country-Mozambique.