Recent posts
20 May 2021, 19:12 pm
Hodi Mtwara, Brigedia Jenerali Gaguti
Na Karim Faida Mkuu wa mkoa wa Mtwara Brigedia Jenerali Marco Gaguti amewaomba wananchi wa Mtwara kumpa ushirikiano zaidi ya ule alioupata aliyekuwa mkuu wa mkoa huu Ndugu Gelasius Byakanwa. Amesema hayo leo katika ukumbi wa Boma uliopo katika ofisi…
15 May 2021, 19:50 pm
Mtenga: Nitachangia mifuko 100 ya saruji bakwata
Na Karim Faida. Waislam katika wilaya ya Mtwara wametakiwa kuonesha jitihada na kushirikiana katika ujenzi wa ofisi ya bakwata ya wilaya hiyo ili kuwapa Imani wanaotaka kusaidia kwenye ujenzi huo ambao bado haujaanza kutokana na ukata wa pesa. Hayo yamesemwa…
15 May 2021, 19:43 pm
Tutawapa bima za afya; Kaimu mganga mkuu
Na Karim Faida. Kaimu Mganga mkuu wa halmashauri ya wilaya ya Mtwara Dkt Mathayo malaika amesema anashughulikia bima za afya za CHF kwa kaya moja masikini inayopatikana katika kijiji cha Namuhi kata ya Libobe Halmashauri ya wilaya ya Mtwara baada…
15 May 2021, 19:35 pm
Mtwara wamshangaa nahodha mwanamke
Na Karim Faida Wananchi mbalimbali wa Manispaa ya Mtwara mikindani wameonekana kumshangaa Nahodha anayeitwa Mayasa Mzandi ambaye ndiye amekuwa Nahodha wa kwanza katika kivuko cha Mv Mafanikio kinachofanya safari zake kutoka Feri Manispaa ya Mtwara Mikindani hadi Msangamkuu halmashauri ya…
8 May 2021, 06:47 am
DC Kyobya: tudumishe Amani
Na Karim Faida Mkuuu wa wilaya ya Mtwara Ndugu Dunstan Kyobya amewataka wananchi kuendelea kulinda amani ya Mtwara na kutoa taarifa kwa mamlaka pindi wanapoona kuna viashiria vya uvunjifu wa amani. Ndugu Kyobya amesema hayo jana Mei 7 2021 katika…
5 May 2021, 20:49 pm
Matukio ya mauaji yanaichafua Mtwara
Na karim Faida Diwani wa kata ya Mkunwa halmashauri ya wilaya ya Mtwara mkoani Mtwara amesema katika kata yake imekuwa na Matukio ya uvunjifu wa amani ikiwa ni pamoja na mauaji ya watu watatu tofauti kwa matukio tofauti katika kipindi…
5 May 2021, 16:31 pm
Wafanyabiashara wa Soko la Chuno, wafanya vurugu
Na Gregory Millanzi Wafanyabiashara katika soko la Chuno Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameilalamikia serikali kuruhusu wafanyabiashara wa soko la sabasaba kufanya Biashara katika soko hilo ambalo mkuu wa mkoa wa Mtwara Gelasius Byakanwa aliamuru biashara zote za jumla…
5 May 2021, 12:33 pm
Bodi ya wakurugenzi TANESCO yafanya zira Mtwara
Na Gregory Millanzi Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi ya shirika la umeme Tanzania (TANESCO) Dkt Alexander Kyaruzi akiambatana na wajumbe wa bodi hiyo, amewataka wawekezaji kuwekeza Mtwara na Lindi kutokana na uwepo wa Nishati ya umeme wa kutosha. Amesema kuwa…
5 May 2021, 12:26 pm
Zahanati ya mbawala chini kufunguliwa leo
Na Karim Faida Mganga mkuu wa Manispaa ya Mtwara mikindani Dkt Joseph Kisala amesema leo Mei 5 2021 wanatarajia kufungua zahanati ya mtaa wa Mbawala chini iliyopo kwenye kata ya Naliendele Manispaa ya Mtwara mikindani mkoani Mtwara ili kuwarahisishia wananchi…
5 May 2021, 04:41 am
Mbae: Barabara ni changamoto
Na karim Faida Wananchi wa mtaa wa Mbae Chundi, Kata ya Ufukoni manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara wameiomba serikali kuwatengenezea barabara inayotoka Pacha ya Mbae hadi Mtaa wa Mbawala chini kwa kiwango cha changalawe. Wakiongea na Jamii fm radio…