Nuru FM

Recent posts

15 January 2026, 12:40

Takukuru yawaonya madiwani wanaojipatia mikopo kiudanyanyifu

“Madiwani wanapaswa kuhakikisha wanasimamia ukusanyaji wa mapato na kudhibiti matumizi mabaya ya fedha ili kupeleka maendeleo kwa wananchi” Na Fredrick Siwale Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU yawaonya Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Mkoani Iringa wanaojipatia fedha…

15 January 2026, 12:25

Kg 500 za mbegu zakabidhiwa Iringa

Bodi ya Copra imelenga kuhakikisha wakulima wanalima kisasa na kuvuna mavuno mengi. Na Hafidh Ally BODI ya Mazao ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imekabidhi KG 500 za mbegu bora za mbaazi kwa wakulima wadogo wa mkoa wa Iringa kama…

15 January 2026, 12:22

Muyinga: Watoto wenye ulemavu wapelekwe shule

Kundi la watoto wenye ulemavu linapaswa kupata elimu kama watoto wengine. Na Joyce Buganda Wazazi na walezi  wenye watoto wenye ulemavu mkoani Iringa wameshauriwa kuwapeleka watoto wao waliofikiwa umri wa kwenda shule Ili kupata haki ya msingi na kufikia ndoto…

15 January 2026, 11:08

RC Kheri ataka usimamizi bora wa miradi

“Mimi sipendi kuona miradi ya maendeleo inasimamiwa kwa kusuasua” RC Kheri Na Ayoub Sanga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James ameagiza kuimarishwa kwa ufuatiliaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa mkoani Iringa ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati,…

13 January 2026, 10:38

Suheil apongeza mazingira wezeshi kwa wawekezaji

“Mazingira ya uwekezaji yakiwa mazuri lazima wawekezaji waongeze uzalishaji wa bidhaa” Na Hafidh Ally Serikali ya imepongezwa kwa kufanya mageuzi makubwa na kuweka mazingira rafiki na wezeshi  kwa wawekezaji  jambo linalochochea ukuaji wa shughuli za uzalishaji, kuongeza ajira na kupanua…

10 January 2026, 16:31

Ngajilo atoa siku 14 kutengenezwa kivuko cha Ngeleli

Ubovu wa kivuko hicho unawalazimu watoto na wakazi wengine kuvuka kwa tahadhari. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini Mh. Fadhili Fabiani Ngajilo ametoa siku 14 kuanzia leo Jan 10 2026 kwa Mtendaji wa Kata kushirikiana na Ofisi…

28 December 2025, 20:09

Wadau kukarabati miundombinu ya shule ya Lusinga

“Ubora wa miundombinu ya madarasa utasaidia wanafunzi wajifunze katika mazingira bora” Na Adelphina Kutika Uchakavu wa majengo ya Shule ya Msingi Lusinga Katika Halmashauri ya wilaya ya kilolo mkoani Iringa umeendelea kuwa changamoto kubwa kwa mazingira ya ujifunzaji na ufaulu…

21 December 2025, 12:46

COP 30 yaleta fursa kwa mashirika

“COP 30 imekuwa na manufaa kwa wakulima kwani wanalima kisasa” Na Joyce Buganda Siku chache baada ya wakulima kuwa na uelewa kuhusu mkutano wa umoja wa mataifa wa mabadiliko ya tabia nchi COP 3O mashirika mengi yameanza kutoa miradi ya…

18 December 2025, 12:16

Vijana Iringa wahimizwa kilimo cha parachichi

Kilimo cha parachichi kimetajwa kuwa mkombozi kwa kuimarisha kipato cha vijana. Na Adelphina Kutika Serikali ya Mkoa wa Iringa imewahimiza vijana kuchangamkia fursa za kilimo cha parachichi kama njia ya kujipatia ajira, kipato na kuboresha maisha yao. Akizungumza wakati wa…

17 December 2025, 20:20

Wanawake kupewa elimu ya usalama mtandaoni

Serikali, asasi za kiraia na wadau wa teknolojia wametakiwa pia kushirikiana katika kuweka mifumo madhubuti ya kulinda watumiaji wa mitandao. Na Godfrey Mengele Jamii imehimizwa kuwapa elimu wanawake na wasichana kuhusu matumizi salama ya mitandao, ikiwemo kulinda taarifa binafsi, kutumia…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.