26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

On air
Play internet radio

Recent posts

26 April 2024, 9:58 am

Wananchi Kiwele waomba Josho la kuogeshea mifugo

Kuogesha mifugo ni muhimu sana kwani husaidia katika kudhibiti wadudu wanaosababisha magonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa Kata ya Kiwele iliyopo jimbo la Kalenga  Mkoani  Iringa wanakumbana na changamoto ya ukosefu wa josho jambo linalopelekea kutembea umbali mrefu kwenda kuogesha…

25 April 2024, 10:22 am

Prof. Mkenda: Mvua ikinyesha kubwa usiruhusu mtoto aende shule

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) ilitangaza mwendelezo wa mvua katika mikoa mbalimbali nchini na kuwataka wananchi kuchukua tahadhari huku Wizara ya elimu ikitoa tahadhari kwa wazazi juu ya usalama wa watoto wao. Na mwandishi wetu WAZIRI  wa Elimu,…

25 April 2024, 9:50 am

Mbunge Nyamoga aanza ziara Kilolo, barabara yawa kero kubwa

Mvua zinazoendelea kunyesha hapa Nchini zimesababisha uharibifu katika Barabara hasa eneo la Katika jimbo la Kilolo Mkoani Iringa. Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Kilolo Mkoani Iringa Justin Nyamoga amefanya ziara ya kutembelea barabara zilizopo katika Kijiji cha Lulindi…

24 April 2024, 10:27 am

Waonywa kuacha kuwatumikisha watoto katika uchungaji wa mifugo

Licha ya serikali kuweka mazingira rafiki kwa watoto kusoma bado kuna baadhi ya wazazi wamekuwa na tabia ya kuwapeleka watoto kuchunga mifugo. Na Joyce Buganda Jamii ya wafugaji Kata ya Kiwele Halmashauri ya Wilaya ya Iringa imetakiwa kuwapeleka watoto wao…

24 April 2024, 10:14 am

Iringa watakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalam wa afya

Kutofuata ushauri wa wataalamu wa afya katika matumizi ya dawa Husababisha magonjwa kama ugonjwa wa figo, Ini na usugu wa ugonjwa. Na Joyce Buganda Wananchi wa Manispaa ya Iringa wametakiwa kutumia dawa kwa kufuata ushauri wa wataalamu wa afya ili…

23 April 2024, 10:12 am

RC Serukamba agoma kukagua miradi

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Peter Serukamba ameagiza kufanyika ukaguzi wa miradi ambayo haitekelezwi na kujua changamoto inayokwamisha utekezaji wake. Na Mwandishi wetu Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Peter Serukamba amekataa kuendelea na ziara ya kukagua miradi isiyo na changamoto…

22 April 2024, 1:46 pm

Wagonjwa 800 Iringa wamepata huduma katika kambi ya Madaktari Bingwa

Katika kupambana na Magonjwa mbalimbali, Hospital ya rufaa Mkoa wa Iringa iliandaa Kambi ya kuwahudumia wananchi wenye changamoto za kiafya. Na Adelphina Kutika Zaidi ya Wagonjwa 800 wamepata huduma ya kibingwa kutoka Kambi ya Madaktari Bingwa kutoka JKCI ijulikanayo Kama…

22 April 2024, 10:39 am

Barabara ya Mafinga- Mtwango yatengenezwa

Kukarabatiwa kwa Barabara ya Mafinga- Mtwango ambayo imekuwa ikitumiwa na wakazi wa eneo hilo katika shughuli za kiuchumi imekuwa mkombozi. Na Tumain Msowoya Serikali imenza kutengeneza Eneo la Barabara ya Mafinga – Mtwango lililokuwa na utelezi hadi kusababisha magari kukwama…

22 April 2024, 10:05 am

Bilioni 2.8 kufanya ukarabati wa chanzo cha maji bonde la Fukurwa

Uchakavu wa miundombinu ya maji katika chanzo cha maji bonde la Fukurwa chanzo cha upotevu wa huduma ya maji. Na Mwandishi wetu Jumla ya fedha kiasi cha shilingi Bilioni 2.8 zinahitajika ili kufanya ukarabati wa chanzo cha maji cha bonde…

19 April 2024, 11:06 am

Uvccm Iringa wapongeza kurejeshwa kwa mikopo ya asilimia 10

Mikopo ya asilimia 10 inawanufaisha vijana, Wanawake na watu wenye ulemavu katika shughuli za kiuchumi. Na Adelphina Kutika Jumuiya ya Umoja wa Vijana ya Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Iringa imemshukuru Rais Samia Suluhu Hassani kwa kurejesha tena utoaji…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.