Nuru FM
Nuru FM
3 April 2026, 10:26
Wananchi wa Kijiji cha Mangawe kilichopo Jimbo la Ismani wanatarajia kunufaika na mradi wa maji ya mkopo usiokuwa na riba. Na Hafidh Ally Shirika lisilo la kiserikali la Idydc Mkoani Iringa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi…
3 April 2026, 09:37
Nauli imepanda jambo lililopelekea baadhi ya abiria kuiomba mamlaka husika kutangaza bei halisi. Na Telesia Chalamila Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza ongezeko la bei ya mafuta, madereva wa vyombo vya usafiri wa…
3 April 2026, 09:11
Katika operesheni maalum, Jeshi la Polisi limefanikiwa kuokoa wahanga 75 waliorubuniwa na mtandao wa utapeli, ambao walikuwa wakidanganywa kwa ahadi za ajira ndani na nje ya Tanzania. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi mkoani Iringa limewakamata watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa…
2 April 2026, 09:26
Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…
2 April 2026, 08:43
Mzigo wa masomo magumu kwa watoto unaweza kuathiri ukuaji wao wa kiakili. Na Adelphina Kutika Wazazi na walezi katika Manispaa ya Iringa wamekumbushwa kuwa vituo vya kulelea watoto mchana havijaanzishwa kwa ajili ya kuwafundisha watoto masomo mazito, bali ni kwa…
30 March 2026, 09:19
Na Fredrick Siwale Uongozi wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Upendo Yerusalemu kilichopo Halmashauri ya Mji Mafinga umewaomba wadau wa maendeleo kuwasaidia chombo cha usafiri kwa ajili ya kuwapeleka shule watoto hao. Hayo yamezungumzwa na Mlezi wa kituo hicho…
29 March 2026, 16:07
Changamoto wa upatikanaji wa huduma ya maji Katika Kijiji cha Mikong’wi imepelekea Uongozi wa kijiji hicho kuwakaribisha Shirika la IDYDC kuwapatia maji ya Mkopo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Mikong’wi Kilichopo Kata ya Kising’a Wilaya ya Iringa Vijijini…
27 March 2026, 18:29
Makala hii inaelezea hatua ambazo wazazi na walezi wanapaswa kuzichukua katika malezi ili kupunguza matukio ya ukatili dhidi ya watoto. Na Hafidh Ally na Joyce Buganda Wakati matukio ya Ukatili wa Kijinsia yakiendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali Hapa nchini Nuru…
27 March 2026, 07:58
Wakuu wa Shule wameagizwa kusimamia malezi bora kwa wanafunzi ili kuwainua kifikra. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka wakuu wa shule za sekondari kuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko ya kifikra kwa wanafunzi,…
26 March 2026, 10:11
Baadhi ya watuhumiwa walikiri kuhusika na wizi wa pikipiki zaidi ya 50 kila mmoja na kubainika kuwa walikuwa wakitengeneza kadi bandia. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuvunja mtandao mkubwa wa wizi wa pikipiki uliokuwa ukifanya…
Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.
DHAMIRA
Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.