Recent posts
25 July 2026, 16:54
Wananchi Ugute wakosa huduma ya maji mwezi mzima
Wananchi hao wameiomba Serikali kusogeza karibu vituo vya kuchotea maji ili kuwaondolea adha ya kutembea umbali mrefu kufuata maji, jambo ambalo limekuwa likiwaathiri zaidi wanawake na watoto. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Ugute, Kata ya Isalavanu katika Jimbo…
25 July 2026, 16:45
PJT-MMMAM yataka baba kushiriki katika malezi ya Mtoto
Miongoni mwa mikakati iliyowekwa ni kuhakikisha baba anapata nafasi stahiki katika malezi ya watoto. Na Adelphina Kutika Wataalamu wanaotekeleza Programu Jumuishi ya Taifa ya Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto (PJT-MMMAM) katika halmashauri zote tano za Mkoa wa…
23 July 2026, 10:30
Wananchi Ulanda waomba kukarabatiwa barabara
Wananchi wa Kata ya Ulanda wamesema kuwa barabara inayounganisha Kata ya Ulanda na maeneo jirani haijaimarishwa kwa kujengwa makaravati. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga, Wilaya ya Iringa, wameiomba Serikali kuboresha miundombinu ya barabara za…
22 July 2026, 09:01
Ugute walalamika mwekezaji kupewa hekta 400 za ardhi kimyakimya
Wananchi wa Kijiji cha Ugute wametaka mchakato wa kupatikana kwa mwekezaji kuwekeza kijijini kwao usitishwe ili washirikishwe. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Ugute, Kata ya Isalavanu, Halmashauri ya Mji Mafinga, wamelalamikia uamuzi wa uongozi wa kijiji hicho wa…
21 July 2026, 10:22
Wananchi walalamikia kushuka kwa bei ya mazao
Wananchi wameeleza kuwa gharama za mbolea zimeendelea kupanda na kuwa mzigo mkubwa kwa wakulima huku wakilalamikia kuhuka kwa bei za mazao. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kata ya Ulanda, Jimbo la Kalenga mkoani Iringa, wamelalamikia kushuka kwa bei za mazao…
21 July 2026, 08:50
RC Kheri aagiza ununuzi wa bidhaa za ndani
RC Khei amesena kuwa matumizi ya bidhaa za ndani yataongeza kipato cha wazalishaji, kuchochea uundaji wa ajira, kuimarisha biashara na kuongeza mzunguko wa fedha ndani ya Mkoa wa Iringa. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James,…
17 July 2026, 09:26
Maonesho ya Nanenane kufungua fursa Iringa
Maonesho hayo, yanayofanyika kwa mara ya kwanza kwa ngazi ya mkoa, yanatajwa kuwa hatua muhimu ya kusogeza huduma karibu na wakulima, wafugaji na wavuvi, badala ya kulazimika kusafiri umbali mrefu kuhudhuria maonesho ya kanda. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa…
16 July 2026, 09:21
CCM Iringa yaridhishwa na skimu ya umwagiliaji
Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji ya Mkombozi uliopo Tarafa ya Pawaga, Wilaya ya Iringa, utapanua eneo la umwagiliaji kutoka ekari 4,500 zilizokuwa zikitegemea mifereji ya asili hadi ekari 15,000, huku uzalishaji wa mpunga ukitarajiwa kuongezeka kutoka wastani wa tani mbili…
15 July 2026, 10:58
Ngajilo aagiza walemavu wasifichwe kupata elimu
Watoto wenye ulemavu wana uwezo wa kufikia mafanikio makubwa endapo watapata nafasi ya kusoma na kulelewa katika mazingira yanayowawezesha kutumia vipaji vyao. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Fabiani Ngajilo, amewataka wazazi na walezi kuacha tabia…
15 July 2026, 10:32
CCM yakagua mradi wa hewa tiba Mafinga Mji
Mtambo huo utawezesha upatikanaji wa hewa tiba kwa wakati, kupunguza gharama za ununuzi na usafirishaji wa oksijeni kwa wagonjwa Mafinga Mji. Na Hafidh Ally Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa imeridhishwa na…