Recent posts
16 July 2026, 09:21
CCM Iringa yaridhishwa na skimu ya umwagiliaji
Mradi wa Skimu ya Umwagiliaji ya Mkombozi uliopo Tarafa ya Pawaga, Wilaya ya Iringa, utapanua eneo la umwagiliaji kutoka ekari 4,500 zilizokuwa zikitegemea mifereji ya asili hadi ekari 15,000, huku uzalishaji wa mpunga ukitarajiwa kuongezeka kutoka wastani wa tani mbili…
15 July 2026, 10:58
Ngajilo aagiza walemavu wasifichwe kupata elimu
Watoto wenye ulemavu wana uwezo wa kufikia mafanikio makubwa endapo watapata nafasi ya kusoma na kulelewa katika mazingira yanayowawezesha kutumia vipaji vyao. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini, Fadhili Fabiani Ngajilo, amewataka wazazi na walezi kuacha tabia…
15 July 2026, 10:32
CCM yakagua mradi wa hewa tiba Mafinga Mji
Mtambo huo utawezesha upatikanaji wa hewa tiba kwa wakati, kupunguza gharama za ununuzi na usafirishaji wa oksijeni kwa wagonjwa Mafinga Mji. Na Hafidh Ally Kamati ya Siasa ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Iringa imeridhishwa na…
14 July 2026, 09:42
Vijana Kilolo watakiwa kutumia chuo cha Veta kujiajiri
Kamati ya Siasa Mkoa wa Iringa imekagua ujenzi wa Chuo cha Ufundi Stadi (VETA) Wilaya ya Kilolo kinachojengwa kwa gharama ya Sh bilioni 1.6 kupitia fedha za mapato ya ndani ya Serikali. Na Hafidh Ally Vijana Halmashauri ya Wilaya ya…
13 July 2026, 10:21
Kiswaga akabidhi mifuko 100 ya saruji Magunga
“Nitaendelea kuwaunga mkono wananchi ili kuhakikisha miradi muhimu inakamilika kwa wakati na kuleta huduma bora kwa jamii” Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Mhe. Jackson Kiswaga, ameendelea kuunga mkono juhudi za wananchi katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo…
9 July 2026, 08:55
Mbunge achangia mbao jengo la mama na mtoto Lumuli
Katika kusukuma mbele utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kutatua changamoto zinazowakabili, Mbunge Kiswaga ameendelea kutimiza ahadi zake katika jimbo la Kalenga. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Jackson Kiswaga, amechangia mbao zenye thamani ya shilingi milioni 1.17…
4 July 2026, 09:40
Kiswaga atoa mabati 55 kukamilisha ujenzi wa darasa Mlandege
Mabati hayo ni nyongeza ya mchango alioutoa awali katika mradi huo baada ya tathmini kubaini kuwa yaliyokuwepo hayakutosha kukamilisha ujenzi wa darasa hilo. Na Hafidh Ally Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Mhe. Jackson Kiswaga, ameendelea kudhihirisha dhamira yake ya kuboresha…
3 July 2026, 09:11
Ndiwili kunufaika na ujenzi wa Zahanati
Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Ndiwili, Kata ya Magulilwa wilayani Iringa, wanatarajia kuondokana na adha ya kutembea umbali mrefu kufuata huduma za afya, kufuatia ujenzi wa zahanati ya kijiji hicho kufikia hatua nzuri ya utekelezaji. Akikagua maendeleo ya…
2 July 2026, 11:13
Milioni 402 zatolewa kwa vikundi 28 Iringa
Serikali imeendelea kusisitiza uwezeshaji wa wananchi kupitia mikopo ya asilimia 10 ya mapato ya ndani ya halmashauri, hatua inayotarajiwa kuongeza ajira, kukuza biashara ndogo na kuimarisha uchumi wa kaya. Na Hafidh Ally Jumla ya vikundi 28 vya wanawake, vijana na…
1 July 2026, 09:59
Mufindi waagizwa kujibu hoja za CAG
“Msipojipanga kujibu hoja za CAG Baraza la Madiwani linapaswa kuvunjwa” Na Fredrick Siwale Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Kheri James, ameizagiza Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi kujibu hoja za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) katika mwaka…