Nuru FM

Recent posts

11 February 2021, 1:54 pm

Ubovu wa miundombinu

Madereva Bajaji manispaa ya iringa wamelalamika ubovu wa miundombinu ya barabara hasa katika kipindi hiki cha mvua jambo linasosababisha vyombo vyao kuharibika.Hapa nakutana na Madereva hao wa Pikipiki za Matairi matatu maarufu kwa jina la Bajaji, wanazungumza jinsi ubovu wa…

26 January 2021, 12:00 pm

Vijana acheni ngono.

Wafamasia Manispaa ya Iringa wamewashauri vijana kuacha kuchangia vifaa vyenye ncha kali ili kupunguza maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.

26 January 2021, 11:40 am

Ifahamu nuru fm kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 93.5 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi mpaka sasa…

26 January 2021, 10:59 am

Ziara ya siku mbili ya waziri mkuu mkoani Iringa

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Kasim Majaliwa amesema serikali itaendelea kuweka mazingira Rafiki na wezeshi kwa ajili ya kuendeleza Ubunifu unaofanywa na Vijana mkoani Iringa ili waweze kusaidia ukuaji wa Teknolojia

11 January 2021, 7:45 am

wazazi wajibikeni katika malezi

Wazazi na walezi mkoani iringa wametakiwa kushiriki vyema katika malezi na matunzo ya mtoto lengo likiwa ni kumstawisha mtoto katika hali ya maadili Akizungumza na Nuru fm katibu tawala mkoa wa iringa Happiness seneda amesema kuwa anayo majukumu ya kimkoa…

31 December 2020, 10:18 am

Wakulima watumie viwanda

Naibu waziri wa viwanda na biashara mhe. Exsaud Kigahe, amewataka wawekezaji nchini, kuona umuhimu wa kujenga viwanda vya kuchakata mazao katika maeneo zinakopatikana kwa wingi malighafi  zitokanazo na kilimo. Mhe. Kigahe amesema hayo wakati alipowatembelea wakazi wa kata ya mapanda…

21 December 2020, 9:05 am

Wahitimu msitegemee ajira – Prof. Anangisye

Wahitimu wa Fani mbalimbali katika Chuo kikuu kishiriki cha elimu Mkwawa kilichopo mkoani Iringa wametakiwa kutumia Taaluma zao katika kuongeza thamani ,Ubunibu  na Kutengeneza Ajira zitakazoinufaisha jamii inayowazunguka badala ya Kutegemea kuajiriwa. Akizungumza na Katika Mahafari ya 12 ya Chuo…

7 December 2020, 5:14 pm

Wanaume kukosa ujasiri wa kuripoti matukio ya Ukatili unaowakabili

Miongoni mwa sababu zinazotajwa na kupelekea wanaume kushindwa kufikisha taarifa za kufanyiwa ukatili katika vyombo vinavyohusika ni pamoja na uwepo wa Mtazamo Hasi na uwoga wa kudharirika iwapo jamii itabaini suala hilo Akizungumza na wananchi wa Kijiji cha mnadani Mkurugenzi…

7 December 2020, 10:16 am

Mbabe wa simba apigwa na Yanga

Yanga yaendelea kua timu pekee ligi kuu ambayo mpaka sasa haija poteza mchezo hata mmja hii baada ya kuifunga ruvu shooting goli mbili dhidi ya moja katika mchezo uliopigwa katika uwanja wa Mkapa jijini dar-es-saalamKocha wa Yanga, Cedric Kaze anasema…

26 November 2020, 6:54 am

Wanafunzi 130 warudishwa nyumbani kwa siku 7.

Wanafunzi 130 wa shule ya sekondari ya Tosamaganga iliyopo wilayani Iringa wamerudishwa nyumbani kwa siku saba hadi watakapolipa shilingi elfu 35 kila mmoja baada ya kushiriki vurugu zilizosababisha uharibifu wa mali za shule wakigomea tarehe ya kuanza mtihani wa mwisho…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.