Nuru FM

Recent posts

3 April 2026, 09:11

Polisi Iringa yawadaka watuhumiwa genge la utapeli

Katika operesheni maalum, Jeshi la Polisi limefanikiwa kuokoa wahanga 75 waliorubuniwa na mtandao wa utapeli, ambao walikuwa wakidanganywa kwa ahadi za ajira ndani na nje ya Tanzania. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi mkoani Iringa limewakamata watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa…

2 April 2026, 09:26

Huduma za kibingwa za macho zawanufaisha Mafinga Mji

Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…

2 April 2026, 08:43

Chuwa: Day Care isitumike kufundisha watoto

Mzigo wa masomo magumu kwa watoto unaweza kuathiri ukuaji wao wa kiakili. Na Adelphina Kutika Wazazi na walezi katika Manispaa ya Iringa wamekumbushwa kuwa vituo vya kulelea watoto mchana havijaanzishwa kwa ajili ya kuwafundisha watoto masomo mazito, bali ni kwa…

30 March 2026, 09:19

Yerusalemu waomba usafiri wa kupeleka watoto shule

Na Fredrick Siwale Uongozi wa Kituo cha Kulelea Watoto Yatima cha Upendo Yerusalemu kilichopo Halmashauri ya Mji Mafinga  umewaomba wadau wa maendeleo kuwasaidia chombo cha usafiri kwa ajili ya kuwapeleka shule watoto hao. Hayo yamezungumzwa na Mlezi wa kituo hicho…

29 March 2026, 16:07

IDYDC kuwakopesha maji wananchi Mikong’wi

Changamoto wa upatikanaji wa huduma ya maji Katika Kijiji cha Mikong’wi imepelekea Uongozi wa kijiji hicho kuwakaribisha Shirika la IDYDC kuwapatia maji ya Mkopo. Na Hafidh Ally Wananchi wa Kijiji cha Mikong’wi Kilichopo Kata ya Kising’a Wilaya ya Iringa Vijijini…

27 March 2026, 18:29

Makala: Ushiriki wa wazazi katika malezi

Makala hii inaelezea hatua ambazo wazazi na walezi wanapaswa kuzichukua katika malezi ili kupunguza matukio ya ukatili dhidi ya watoto. Na Hafidh Ally na Joyce Buganda Wakati matukio ya Ukatili wa Kijinsia yakiendelea kuripotiwa katika maeneo mbalimbali Hapa nchini Nuru…

27 March 2026, 07:58

RC Kheri ataka mapinduzi ya kifikra kwa wanafunzi

Wakuu wa Shule wameagizwa kusimamia malezi bora kwa wanafunzi ili kuwainua kifikra. Na Hafidh Ally Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mhe. Kheri James, amewataka wakuu wa shule za sekondari kuwa mstari wa mbele katika kuleta mabadiliko ya kifikra kwa wanafunzi,…

26 March 2026, 10:11

Wezi wa pikipiki 115 wakamatwa Iringa

Baadhi ya watuhumiwa walikiri kuhusika na wizi wa pikipiki zaidi ya 50 kila mmoja na kubainika kuwa walikuwa wakitengeneza kadi bandia. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limefanikiwa kuvunja mtandao mkubwa wa wizi wa pikipiki uliokuwa ukifanya…

26 March 2026, 09:02

Iringa yazindua kampeni ya upandaji miti

Kila nyumba ndani ya Halmashauri inakuwa na mti kwani upandaji wa miti ni kitu bora katika maisha ya binadamu. Na Hafidh Ally Halmashauri ya Manispaa ya Iringa imezindua Kampeni ya upandaji miti iliyopewa jina la “Mti Wangu Nyumba Yangu” ili…

25 March 2026, 10:16

Urasimishaji ardhi kupunguza migogoro ya ardhi Iringa

Mpango huu unalenga kuhakikisha kila kipande cha ardhi nchini kinapimwa ili kumwezesha mmiliki kuwa na haki mbalimbali zinazoambatana umiliki wa ardhi. Na Telesia Chalamila Wananchi wilaya ya Iringa wametakiwa kurasimisha umiliki wa ardhi zao ili kupunguza migogoro ya ardhi na…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.