Nuru FM

Recent posts

10 April 2026, 09:09

Wananchi Ng’uruhe wajengewa machinjio ya kisasa

Machinjio hiyo imetajwa kuwa msaada katika kuzingiatia afya za wananchi wa Kijiji hicho. Na Joyce Buganda Wananchi wa kijiji cha ng’uruhe Kilichopo wilaya ya kilolo wameshukuru shirika la African Exchange Development  kwa kujengewa machinjio ya kisasa  itayorahisisha shughuli za uchinjaji…

10 April 2026, 08:43

Wafanyabiashara Soko la Mashujaa waomba Mikopo

Na Fredrick Siwale Wafanyabiashara wa Soko la Mashujaa Halmashauri ya Mji Mafinga wameiomba serikali kuwapatia Mikopo ili waweze kukuza mitaji yao. Akizungumza na Nuru FM Mwenyekiti wa Soko la Mashujaa Bw. Devick Kihindo amesema kuwa wajasiriamali wengi wanatamani kupata mikopo…

9 April 2026, 18:36

Ifahamu Nuru FM kwa ufupi

Nuru fm ni radio ya kijamii ambayo ilianza kurusha matangazo yake mwaka 2009 kupitia masafa ya 88.9 lengo lake ni kufikia wananchi wote wa mkoa wa Iringa na kutengeneza vipindi bora na iwe radio inayosikiliza kero za wananchi. Mpaka sasa…

9 April 2026, 09:03

Aombwa kutatua changamoto ya maji na barabara

Changamoto ya Maji na Barabara imetajwa kukwamisha shughuli za kimaendeleo kwa wananchi wa jimbo la Mafinga. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Jimbo la Mafinga Mjini Mkoani Iringa wameiomba serikali kutatua changamoto ya Maji na Ubovu wa miundombinu ya barabara. Wakizungumza…

8 April 2026, 09:40

Mbunge Villa akabidhi meza 90 kwa wajasiriamali

Meza hizo zimekabidhiwa ikiwa ni hatua ya kuwafanya wajasiriamali wafanye kazi zao katika mazingira rafiki. Na Fredrick Siwale Mbunge wa Jimbo la Mafinga Mjini Mh. Dickson Lutevele Villa ametimiza ahadi yake kwa kukabidhi meza 90 kwa wajasiriamali wa Soko la…

3 April 2026, 10:26

IDYDC yatatua changamoto ya maji Mangawe

Wananchi wa Kijiji cha Mangawe kilichopo Jimbo la Ismani wanatarajia kunufaika na mradi wa maji ya mkopo usiokuwa na riba. Na Hafidh Ally Shirika lisilo la kiserikali la Idydc Mkoani Iringa kwa kushirikiana na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi…

3 April 2026, 09:37

Kisa mafuta, madereva wapandisha nauli Iringa

Nauli imepanda jambo lililopelekea baadhi ya abiria kuiomba mamlaka husika kutangaza bei halisi. Na Telesia Chalamila Baada ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kutangaza ongezeko la bei ya mafuta, madereva wa vyombo vya usafiri wa…

3 April 2026, 09:11

Polisi Iringa yawadaka watuhumiwa genge la utapeli

Katika operesheni maalum, Jeshi la Polisi limefanikiwa kuokoa wahanga 75 waliorubuniwa na mtandao wa utapeli, ambao walikuwa wakidanganywa kwa ahadi za ajira ndani na nje ya Tanzania. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi mkoani Iringa limewakamata watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa…

2 April 2026, 09:26

Huduma za kibingwa za macho zawanufaisha Mafinga Mji

Wagonjwa hao watapatiwa matibabu na upasuaji bure kwa asilimia 100 katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Iringa Hafidh Ally Wananchi wa Halmashauri ya Mji Mafinga wamefanyiwa uchunguzi wa magonjwa ya macho kupitia kliniki maalum ya madaktari bingwa ili kuimarisha…

2 April 2026, 08:43

Chuwa: Day Care isitumike kufundisha watoto

Mzigo wa masomo magumu kwa watoto unaweza kuathiri ukuaji wao wa kiakili. Na Adelphina Kutika Wazazi na walezi katika Manispaa ya Iringa wamekumbushwa kuwa vituo vya kulelea watoto mchana havijaanzishwa kwa ajili ya kuwafundisha watoto masomo mazito, bali ni kwa…

DIRA

Jamii yenye ustawi kielimu, kiuchumi, kiafya, kisiasa na kitamaduni.

DHAMIRA

Kuwa sauti ya jamii inayoibua kero mbalimbali kwa kushirikiana na jamii, wadau mbalimbali kuzalisha habari na vipindi kupitia vifaa na teknolojia ya kisasa na rasilimali watu yenye sifa stahiki.