Radio Tadio

Afya

11 January 2024, 1:10 pm

Bunda wapewa tahadhari ugonjwa wa Kipindupindu

Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewata wananchi wilayani Bunda kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa kipindupindu baada ya kuripotiwa mikoa jirani. Na Adelinus Banenwa Katibu tawala wilaya ya Bunda Salumu Mtelela amewata wananchi wilayani Bunda kuchukua tahadhari ya ugonjwa…

10 January 2024, 19:28

Mpango wa msindikizaji unavyopunguza vifo vya mama na mtoto

Wananchi wa halmashauri ya mji Kasulu mkoani Kigoma, wamesifu huduma ya msindikizaji mama mjamzito katika vituo vya afya kuwa imesaidia kupunguza vifo vya mama wajawazito na watoto vinavyotokea wakati wa kujifungua. Wakizungumza katika kituo cha afya Kiganamo kilichoko halmashauri ya…

10 January 2024, 6:25 pm

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhali ya kipindupindu

Changamoto ya kipindupindu imetajwa kuenea kwa kasi zaidi hasa kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa ikianzia katika wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu, ambapo mpaka sasa katika mkoa wa Mwanza wamebainika wagonjwa wa kipindupindu 27 kwenye maeneo ya wilaya ya…

9 January 2024, 18:30

Zahanati ya Rufumbi wilayani Rungwe mbioni kukamilika

Na mwandishi wetu Hatua ya ukamilishaji katika zahanati ya Lufumbi kata ya Masoko inatoa fursa kwa wakazi wa kijiji hiki kupata huduma ya matibabu karibu na makazi yao. Zahanati hii imejengwa kwa nguvu za wananchi huku Halmashauri ikitoa kiasi cha…

9 January 2024, 8:43 am

Mwanamke akutwa amefariki kitandani kwake

Matukio ya watu kukutwa wamefariki Dunia yanazidi kushika kasi wilayani Sengerema ambapo baadhi yao wanadai yanasababishwa na msongo wa mawazo pamoja na ugumu wa maisha kwa watu jambo lililopelekea mwenyekiti wa mtaa wa Migombani wilayani hapo kuwataka wananchi kuwa na…

8 January 2024, 9:18 pm

Jamii yaendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora

Wazazi wanashauriwa juu ya mambo ya kuzingatia katika kuandaa mchanganyiko wa lishe bora unaofaa kwa mtoto. Na Thadei Tesha.Jamii imeendelea kusisitizwa kuwapatia watoto lishe bora na kuacha kuwapa chakula kimazoea kwa lengo la kumsaidia mtoto kuwa na afya njema. Leo…

8 January 2024, 16:14

Mbeya: Samia mgeni rasmi maadhimisho ya maridhiano kitaifa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania dr Samia suluhu Hasani anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika siku ya maridhiano kitaifa yanayotarajia kufanyika mkoa wa Mbeya mwezi machi mwaka huu. Na Masoud Maulid Kuelekea   maadhimisho ya siku ya maridhiano kitaifa march…

7 January 2024, 12:32 pm

Wakazi wa Ilenge wilayani Rungwe wafurahia kupata zahanati

Baada ya kufuata huduma ya matibabu umbali mrefu wananchi wa kijiji cha Ilenge wameipongeza serikali kwa kuwajengea zahanati kwani wamesema imewapunguzia changamoto ya kukosa matibabu. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Mkuu wa wilaya Rungwe Jaffar Haniu amepongeza juhudi zilizofanya na wakazi…

5 January 2024, 17:02

Kituo cha afya kipya chazinduliwa halmashauri ya wilaya Kibondo

Halmashauri ya wilaya ya Kibondo imezindua kituo kipya cha afya kilichopo katika kata ya Kibondo mjini kilichogharimu shilingi milioni 500 mpaka kukamilika kwake ikiwa ni mkakati wa kupunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali ya wilaya na  kuboresha huduma za afya.…