
Recent posts

31 January 2023, 12:04 PM
Wanafunzi wapewa elimu ya usalama barabarani
Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika, Halmashauri ya Mji wa Masasi, …

30 January 2023, 4:17 PM
Upendo Charity yaguswa na tatizo la Salma
Kikundi kinachosaidia watu wenye uhitaji kilichopo Wilayani Masasi,Mkoani Mtwara, kinachofahamika kama Upendo Charity kimeguswa na tatizo la mtoto Salma Pascha Machemba, mwenye umri wa miaka tisa (9) ambaye anaishi Kijiji cha Matekwe Majenanga, huko Nachingwea Vijijini. Salma ni mlemavu wa…

30 January 2023, 12:31 PM
Shule ya Msingi Mkuti B yapata Viongozi wapya
Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…

25 January 2023, 4:56 PM
CHANGAMOTO YA MIUNDO MBINU YA ELIMU KATIKA SHULE YA MSINGI NAMAJANI.
Hali ya miundombinu ya elimu katika shule ya msingi namajani imekuwa ni changamoto kubwa mpaka sasa shule ya msingi namajani inamadarasa manne tu, huku baadhi ya wanafunzi wakisoma chini ya mti. Hayo yabainishwa na diwani wa kata ya namajani Faraji…

25 January 2023, 4:25 PM
JAJI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA MTWARA AIPONGEZA MAHAKAMA YA LISEKESE MASASI.
Katika kuadhimisha wiki ya sheria Jaji wa mahakama kuu kanda ya Mtwara jaji Eliamani isaya laltaika amefanya ziara katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya masasi mkoani mtwara nakutumia ziara hiyo kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii na kusikiliza michango…

20 January 2023, 4:14 PM
Diwani Wa Namajani Amezungumzia Hali ilivyo Sasa Katika Zahanati Ya namajani…

18 January 2023, 4:30 PM
Kipindi cha Muziki wa Afrika! Tunawakumbuka Manu Dibango na Franklin Boukaka pia…
Gwiji wa Southern soul Issack Hayes Simba wa Afrika mpiga saksafoni maarufu Manu Dibango kutoka Cameroon Franklin Boukaka kutoka Congo Brazaville mpaka sasa anakonga nyoyo za wengi kwa wimbo wake Aye Afrika

17 January 2023, 9:15 AM
Wafanyabiashara Soko la Mkuti wilayani Masasi Mkoani Mtwara wofia ugonjwa wa mli…
MASASI. Baadhi ya Wafanyabiashara wanaofanya biashara zao katika Soko la Mkuti Halmashauri ya Mji wa Masasi, wameshauri eneo la kuifadhia taka kwa muda lililopo katika Soko hilo liboreshwe kwa kuwekwa miundominu rafiki ya kutunzia taka hizo au liondolewe kwa kutafuta…

16 January 2023, 10:07 AM
Shule jumuishi Ya Mfano Ya Msingi Lukuledi Imeziduliwa!!!
MASASI. Waziri wa Elimu Profesa Adolf Mkenda amezindua Shule ya Msingi jumuishi ya mfano Lukuledi Wilayani Masasi mkoani mtwara ikiwa ndio shule ya kwanza ya mfano kwasasa ambayo huwezi kuiona sehemu nyingine Tanzani kwa ukubwa na wingi wa miundombinu huku…

10 January 2023, 2:27 PM
CHAMA CHA MAPINDUZI WILAYA YA MASASI CHA MPONGEZA RAISI
Katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi wilaya ya masasi TWAHILI SAIDI MAYOLA, amezungumza na radio fadhila juu ya tamko la raisi wa jumuhuri ya muungano wa Tanzania dkt samia suluhu hassan kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa…