Recent posts
22 October 2024, 12:28 PM
Mafrateli 29 wapewa daraja takatifu la ushemasi
Na Lawrence Kessy. Hayo yamesemwa na Mhashamu Askofu Hendry Mchamungu ambaye ni Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam kwenye Adhimisho la Ibada ya Misa Takatifu ya Daraja Takatifu la Ushemasi kwa Mafrateri 29 iliyofanyika katika Kanisa…
16 October 2024, 7:34 PM
watoto wa kike wanufaika na mradi wa SDA.
Shule tano za sekondari kutoka Halmashauri ya Mji Masasi zinazonufaika na mradi wa shirika lisilo la kiserikali la Sports Development Aid wametoa Shukrani kwa mradi huo ambao umekua chachu ya mabadiliko Chanya katika kuwajenga vijana katika maadili,uelewa na kujiamini hali…
9 October 2024, 10:44 PM
Miradi iliyoahidiwa kwenye ilani yatekelezwa
pichani ni Mwenyekiti CCM Wilaya ya Masasi Na Lilian Martin. Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Masasi Bi.Mariam Kasembe amewahakikishia Wananchi wa Masasi kuwa miradi mingi ambayo ilihaidiwa kwenye ilani ya utekelezaji wa CCM kwamba miradi hiyo imeenda vizuri…
9 October 2024, 8:21 PM
Familia ya aliyekuwa Muhimbili yahudumiwa na wasamaria wema
Christine simo akiwa na familia Na. Lilian Martin Familia ya kijana anaye fahamika kwa jina la Bw. Issaya mkazi wa Masasi mtaa wa Nyasa ambaye kwa sasa yupo hospital Muhimbili kwa ajili ya matibabu imepokea msaada kutoka shirika lisilo la…
4 October 2024, 7:50 PM
Usimamizi wa ubora katika mazao huleta tija kwa wakulima, taifa
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amefanya kikao na waendesha maghala ,Viongozi wa Amcos pamoja na wasifirishaji wilayani Masasi. Katika kikao hicho Mhe.Sawala amewataka wadau hao kusimamia Ubora wa zao la korosho ili kuhakikisha linaleta tija kwa…
2 October 2024, 7:09 PM
Karibu Waziri wa Kilimo, asante kwa kutufikia
Pichani ni Waziri wa Kilimo Mhe.Hussein Bashe Waziri wa Kilimo Mh.Hussein Bashe ametembelea katika Halmashauri ya Wilaya Masasi na kupata wasaa wa kusalimiana na viongozi mara baada ya kuwasili katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Masasi leo tarehe 02/10/2024…
2 October 2024, 10:46 AM
Shule maalum Lukuledi watembelewa na Upendo charity
Bi Christine simmo akiwa na wanafunzi shule ya watoto wenye mahitaji maalumu Lukuledi Na. Lilian Martin shirika lisilo la kiserikali Upendo charity limetembelea shule ya watoto wenye mahitaji maalum Lukuledi kwa lengo la kufuatilia maendeleo ya watoto wenye ulemavu waliopelekwa…
1 October 2024, 4:49 PM
Mnada wa nne wa Mbaazi MAMCU wauza kwa bei ya sh.1810
Na. Lilian Martin Chama Kikuu cha ushirika MAMCU kimeuza tani 2536 za Mbaazi katika mnada wa Nne uliofanyika katika Shule ya Sekondari Chiungutwa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi, bei ya juu ikiwa ni Tsh.1810 na bei ya chini ikiwa ni…
1 October 2024, 4:36 PM
Comrade Mobitu ajitambilisha kwa wanachama baada ya kuteuliwa
MASASI. Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoani Mtwara Comrade Mobutu Malima amefanya mkutano na Wajumbe wa Chama hicho kutoka Wilaya ya Masasi ikiwa ni sehemu ya kuja kijitambulisha Baada ya kuteuliwa kuwa Katibu wa Ccm Mkoa wa Mtwara. Akizungumza…
11 September 2024, 5:44 PM
Wapigwa msasa utambuzi, utunzaji wa alama muhimu kwenye noti za Tanzania
Utambuzi wa noti halali Benki Kuu ya Tanzania (BoT) tawi la Mtwara imetoa elimu ya namna bora ya utunzaji wa noti pamoja na utambuzi wa alama muhimu za usalama katika noti za Tanzania kwa watumishi wa halmashauri ya wilaya ya…