27 March 2026, 14:11

Kilimo cha mavundu chatoa tumaini kwa wakulima Nachingwea

‘Kilimo ni uti wa mgongo’, huu ni msemo uliotumiwa tangu enzi za kale na hadi leo msemo huu unaishi ndani ya jamii zetu na kutambua umuhimu wa kilimo katika maisha. Na. Faraja Membe Shirika la Kuhifadhi Misitu Asili Tanzania (TFCG),…

Play internet radio

Recent posts

7 May 2026, 19:57

Je unafahamu kuhusu kilimo ikolojia?

Watu wengi tunatambua kuhusu kilimo lakini je? Tunafahamu kuhusu kilimo ikolojia? Kuyafahamu mengi kuhusu kilimo hiki karibu kusikiliza kipindi kutoka Radio fadhila karibu kusikiliza kipindi cha kilimo ikolojia kilichoandaliwa na Asha Mustafa akishirikiana na Godbless Lucius

22 April 2026, 12:05

Yafahamu mengi kuhusu dhamana

Karibu kusikiliza kipindi cha Mahakama ambapo leo tupo na Hakimu Mkazi mahakama ya mwanzo Lisekese pamoja na Hakimu mkazi mahakama ya mwanzo Lulindi. Na lilian Martin katika kipindi hiki cha mahakama kimeangazia kuhusu dhamana na kuangalia maana ya dhamana,aina ya…

21 April 2026, 11:57

Ufugaji Nyuki chanzo cha utunzaji wa Misitu

Ni katika muendelezo wa kipindi cha ufugaji wa Nyuki ambapo leo tunakwenda kuyasiki mengi zaidi na kutambua namna ya kupata Elimu ya ufugaji nyuki kwa kujiunga katika vikundi Na mwandishi wetu Ufugaji wa nyuki ni chanzo kikubwa cha utunzaji wa…

20 April 2026, 10:22

Yafahamu maajabu ya nyuki

Watu wengi wamekuwa wakiwaogopa sana nyuki kutokana na namna yao ya kujilinda pindi wanapoona hatari. Je, unafahamu maajabu ya nyuki? Sikiliza makala hii. Na Asha Mustapha

15 April 2026, 12:38

Wanafunzi wafurahia zawadi kutoka kwa Waziri

Katika kukuza sekta ya elimu nchini waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Dk Leonard Akwilapo amezidi kugusa baadhi ya shule na kuwapatia vifaa. Na lilian Martin Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji,Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi,…

27 March 2026, 14:11

Kilimo cha mavundu chatoa tumaini kwa wakulima Nachingwea

‘Kilimo ni uti wa mgongo’, huu ni msemo uliotumiwa tangu enzi za kale na hadi leo msemo huu unaishi ndani ya jamii zetu na kutambua umuhimu wa kilimo katika maisha. Na. Faraja Membe Shirika la Kuhifadhi Misitu Asili Tanzania (TFCG),…

27 March 2026, 13:48

ETDCO yaanza ujenzi wa njia maalum kusafirisha umeme Mtwara

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) @etdco_tz imeendelea na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia maalumu ya kusafirisha umeme yenye urefu wa kilomita 76 kutoka wilaya ya Masasi hadi Newala, mkoani…

27 March 2026, 13:38

Masasi na matumizi ya akili mnemba

Wakati tunafurahia kukua kwa tekinologia na kurahisisha maisha kupitia mitandao ya kijamii yapo madhara yanayojiyokea kutokana na tekinologia hizo pindi zinapotumiwa vibaya. Na Lilian Martin Wakati wa kipindi cha Jamii Tunzungumze na Redio Fadhila wadau wameeleza namna wanavyoifahamu AI faida…

20 March 2026, 13:32

Tutambue umuhimu wa utunzaji misitu katika maeneo yetu

Kata mti panda mti ni neno tunalolisikia mara nyingi ikihimiza umuhimu wa miti katika maeneo yetu kwa lengo la kutunza uoto wa asili je wewe ni miongoni wa wanao panda au wanaokata? Na Lilian Martin Kufuatia Siku ya Misitu Duniani…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara