Radio Fadhila
Radio Fadhila
11 February 2026, 13:13
Kutembea umbali mrefu kufuata shule ilipo hii ni changamoto ambayo wakati mwingine huzima ndoto za watoto kutokana na adha wanazo kutananazo wakiwa njiani lakini inapotokea kuwepo na shule mahali panapofikika kwa urahisi hii uleta furaha si kwa watoto tu hadi…
19 January 2026, 13:42
Na Lilian Martin Pamoja na muonekano wake wa nje kuonekana ni Gari la abiria ila kwa ndani kuna chemba ya maficho mizigo haramu ambayo kwa kawaida huwezi kubaini, ila wahenga husema za mwizi 40 na leo zimeshafika. Katika Wailes, Temeke…
12 January 2026, 13:52
Karibu kusikiliza kipindi maalumu ambapo mkuu wa wilaya ya Masasi bi. Racheal Kasanda amewaasa wazazi kuapeleka watoto shule na kuandikisha watoto darasa la awali katika umri mtahiki. Katika mazungumzo yake na waandishi wa habari ametoa takwimu ya watoto wambao wameshaandikishwa…
8 January 2026, 13:25
Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Masasi cha kupitia taarifa za maendeleo ya taasisi zote za umma, Halmashauri ya Mji na Wilaya kwa kipindi cha Januari hadi Desemba 2025, kimefanyika Januari 6, 2026, na kuonozwa na Mkuu wa…
14 November 2025, 10:13
“Mtuhumiwa huyu ambaye ni Katibu wa UVCCM kata ya Namalenga licha ya kumchoma moto mtoto wake wa kambo, lakini pia amemuadhibu vibaya mtoto mwingine ambaye alishirikiana nae wakati wa kuuza korosho” Na Neema Nandonde Salumu Hussein Maona mkazi wa kitongoji…
29 September 2025, 00:28
‘Kutoa ni moyo si utajiri’, huu ni msemo unaofahamika sana na ukiwa na lengo la kukumbusha namna kutoa sehemu za Mali zetu kwa wenye uhitaji, hivyo wa mama hawa wamefanya kwa sehemu yako. Katika kuendelea kuunga mkono jitihada za Taasisi…
22 September 2025, 19:50
“Kama wana Masasi jumanne ya septemba 23, 2025 tuna kila sababu ya kwenda kumsikiliza mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi, maana kuna mengi mazuri ameyatenda kwetu“ Na Neema Nandonde Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimesema kimejipanga…
19 September 2025, 12:43
Wakati mwingine wananchi hususani wanaoishi vijijini wanaishi kwa mazoea, kama mtu amezaliwa na kukulia kwenye nyumba isiyo na shimo la taka na yeye analazimisha aishi hivyo siku zote Na Neema Nandonde Kuelekea maadhimisho ya siku ya usafi duniani ambayo hufanyika…
14 September 2025, 18:14
Kuzaliwa mwanaume ni zawadi ila kuwa mwanaume ni maamuzi..msemo huu ukimaanisha kuwa mwanaume ni kutambua majukumu yanayo kupasa na kuyafanyia kazi. Ni katika maafali ya 24 yaliyofanyika shule ya wavulana Rondo Junior Seminar iliyopo Mtama Mkoa wa Lindi ambapo na…
26 August 2025, 19:53
“Tukichanja mbwa wetu, siku akikung’ata kutakuwa na madhara ya kawaida, tuhakikishe mbwa wanachanjwa ili kuepuka ugonjwa hatari wa kichaa cha mbwa“ Na Neema Nandonde Mkuu wa Wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Rachel Kassanda amewataka wakazi wa wilaya hiyo kuwapa chanjo …
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara