27 March 2026, 14:11

Kilimo cha mavundu chatoa tumaini kwa wakulima Nachingwea

‘Kilimo ni uti wa mgongo’, huu ni msemo uliotumiwa tangu enzi za kale na hadi leo msemo huu unaishi ndani ya jamii zetu na kutambua umuhimu wa kilimo katika maisha. Na. Faraja Membe Shirika la Kuhifadhi Misitu Asili Tanzania (TFCG),…

Offline
Play internet radio

Recent posts

20 April 2026, 10:22

Yafahamu maajabu ya nyuki

Watu wengi wamekuwa wakiwaogopa sana nyuki kutokana na namna yao ya kujilinda pindi wanapoona hatari. Je, unafahamu maajabu ya nyuki? Sikiliza makala hii. Na Asha Mustapha

15 April 2026, 12:38

Wanafunzi wafurahia zawadi kutoka kwa Waziri

Katika kukuza sekta ya elimu nchini waziri wa ardhi na maendeleo ya makazi Dk Leonard Akwilapo amezidi kugusa baadhi ya shule na kuwapatia vifaa. Na lilian Martin Mbunge wa Jimbo la Masasi Mji,Waziri wa Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi,…

27 March 2026, 14:11

Kilimo cha mavundu chatoa tumaini kwa wakulima Nachingwea

‘Kilimo ni uti wa mgongo’, huu ni msemo uliotumiwa tangu enzi za kale na hadi leo msemo huu unaishi ndani ya jamii zetu na kutambua umuhimu wa kilimo katika maisha. Na. Faraja Membe Shirika la Kuhifadhi Misitu Asili Tanzania (TFCG),…

27 March 2026, 13:48

ETDCO yaanza ujenzi wa njia maalum kusafirisha umeme Mtwara

Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) @etdco_tz imeendelea na utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa njia maalumu ya kusafirisha umeme yenye urefu wa kilomita 76 kutoka wilaya ya Masasi hadi Newala, mkoani…

27 March 2026, 13:38

Masasi na matumizi ya akili mnemba

Wakati tunafurahia kukua kwa tekinologia na kurahisisha maisha kupitia mitandao ya kijamii yapo madhara yanayojiyokea kutokana na tekinologia hizo pindi zinapotumiwa vibaya. Na Lilian Martin Wakati wa kipindi cha Jamii Tunzungumze na Redio Fadhila wadau wameeleza namna wanavyoifahamu AI faida…

20 March 2026, 13:32

Tutambue umuhimu wa utunzaji misitu katika maeneo yetu

Kata mti panda mti ni neno tunalolisikia mara nyingi ikihimiza umuhimu wa miti katika maeneo yetu kwa lengo la kutunza uoto wa asili je wewe ni miongoni wa wanao panda au wanaokata? Na Lilian Martin Kufuatia Siku ya Misitu Duniani…

11 March 2026, 13:24

Kikosi cha ulinzi na usalama wanawake Masasi chamgusa mgane

Matendo ya huruma ni vitu vinavyo leta faraja katika jamii kwa kusaidia mtu mwenye uhitaji hali hii huongeza tabasamu kwa aliyefikiwa na matendo hayo. Na Lilian Martin Kikosa cha ulinzi na usalama Wilayani Masasi kimemtembelea mwanaume anaye fahamika kwa jina…

9 March 2026, 13:03

Mbunge wa jimbo la Masasi kuhudumia wenye mahitaji

Na Lilian Martin Wakati mwingine tunaamini kwamba watu wengi huishi maisha kutokana na yale walitopitia hali hiyo tunaiona kwa watu wanaofanya matendo ya huruma ya kuhudumia wenye mahitaji kutokana na ugumu aliouona kwa watu wa karibu Mbunge wa Jimbo la…

9 March 2026, 11:53

Wanawake wenye kipato cha kawaida kujitoa kwa wahitaji

Na Lilian Martin Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) wilayani Masasi Bi. Mariam kasembe amewapongeza wanawake waliojitoa kuhudumia watoto wenye mahitaji katika kituo kilichopo kata ya Napupa mtaa wa wapiwapi Licha ya pongezi hizo Bi Mariam alimuomba Mbunge wa jimbo…

Mission And Vision

Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara