Radio Fadhila
Radio Fadhila
19 March 2026, 08:01
Kutokana na kuwepo kwa taarifa nyingi za upotoshaji katika mitandao ya kijamii Taasisi ya jamii Afrika imeona ipo sababu ya kutoa Elimu juu ya kutambua ukweli wa habari hizo ili kupunguza wimbi la taarifa potofu katika vyombo vya habari Na:…
11 March 2026, 13:24
Matendo ya huruma ni vitu vinavyo leta faraja katika jamii kwa kusaidia mtu mwenye uhitaji hali hii huongeza tabasamu kwa aliyefikiwa na matendo hayo. Na Lilian Martin Kikosa cha ulinzi na usalama Wilayani Masasi kimemtembelea mwanaume anaye fahamika kwa jina…
9 March 2026, 13:03
Na Lilian Martin Wakati mwingine tunaamini kwamba watu wengi huishi maisha kutokana na yale walitopitia hali hiyo tunaiona kwa watu wanaofanya matendo ya huruma ya kuhudumia wenye mahitaji kutokana na ugumu aliouona kwa watu wa karibu Mbunge wa Jimbo la…
9 March 2026, 11:53
Na Lilian Martin Mwenyekiti wa chama cha mapinduzi (ccm) wilayani Masasi Bi. Mariam kasembe amewapongeza wanawake waliojitoa kuhudumia watoto wenye mahitaji katika kituo kilichopo kata ya Napupa mtaa wa wapiwapi Licha ya pongezi hizo Bi Mariam alimuomba Mbunge wa jimbo…
7 March 2026, 10:13
Wanawake wanayo haki ya umiliki wa mali yoyote kama mwanaume ila jamii nyingi katika maswala ya imani huwakandamiza wanawake hasa katika umiliki wa Ardhi Samia Ardhi Clinic kupiga kambi siku saba Masasi Mji kuelekea Siku ya Wanawake Katika kuelekea maadhimisho…
7 March 2026, 09:30
Lengo kubwa la Wanawake hawa wa Masasi wakiungana katika maombi na wanawake wengine ni kukumbushana majukumu ya Wanamke katika maisha ya kila siku na kumtegemea Mungu katika nyakati zote ili jamii iwe sawa Na Lilian Martin Wanawake wa Kikristo kutoka…
5 March 2026, 14:51
Jeshi la Police wakitoa Elimu Katika kuendelea kutimiza majukumu yao ya kazi kwa jamii leshi la Polisi Masasi inaendelea kuwakumbusha wanafunzi kuhusu kujiepusha na matukio ya kikatili Na Lilian Martin Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Kitengo cha Dawati la Jinsia wilayani…
3 March 2026, 11:16
Ni kikao kazi ambacho Madiwani ambao ni wawakilisha wa wananchi katika maeneo mbalimbali wakijadiliana na kuidhinisha mipango ya kimaendeleo kwa pamoja Na Lilian Martin. Baraza la Madiwani Halmashauri ya Mji Masasi limejadili kwa pamoja na kuidhinisha rasimu ya mpango na…
13 February 2026, 10:50
Misemo na methali mbalimbali zinaendelea tukumbusha kutenda mema kama vile usimdharau usiemjua hii inatukumbusha kuwa kutenda mema wakati wote bila kuchagua ni nani wakumtendea wema huo hii uleta amani na upendo kwa aliyetendewa. Na,Lilian Martin Waziri wa Afya Mhe,Muhammed Mchengerwa…
11 February 2026, 13:28
Madiwani wa Halmashauri ya Mji Masasi wamempongeza Mkurugenzi wa Mji Ndg Reuben Jichabu na menejimenti kwa usimamizi mzuri wa miradi ya maendeleo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 2.1 ambayo inatekelezwa na Halmashauri kupitia mapato ya ndani na fedha…
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara