Radio Fadhila
Radio Fadhila
5 August 2025, 15:30
“Jamii iache kuishi kwa mazoea kwenye suala la malezi hususani unyonyeshaji wa maziwa ya mama ili kuwaandaa watoto wenye ukuaji bora kimwili na kiakili” Na Neema Nandonde Kufuatia maadhimisho ya wiki ya unyonyeshaji duniani, jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara, imeaswa…
1 July 2025, 08:11
“Victor Francis alikuwa ni muumini wa muda mrefu wa kanisa hilo na alikuwa akihudumiwa kwa maombi na marehemu Mchungaji kwa kipindi cha zaidi ya mwaka mmoja kutokana na matatizo ya kiafya“ Na Neema Nandonde Jeshi la Polisi mkoani Mtwara linamshikilia…
26 June 2025, 11:19
“Mnaweza kusafisha ufuta vizuri na mkaufunga kwenye vifungashio, lakini watu wasio waaminifu wakaenda mbele wakabadilisha vifungashio wakaweka uchafu, MAMCU tutalidhibiti hilo kwa kuzalisha vifungashio vyetu vitakavyohifadhi mazao moja kwa moja” Na Neema Nandonde Chama kikuu cha Ushirika MAMCU kinachohudumia wakulima…
23 June 2025, 16:09
“Kutokana na ongezeko la wateja wanaohitaji huduma ya maji kupitia MANAWASA, kumesababisha chanzo chetu kuzidiwa hivyo kulazimika kuwa na mgao wa maji ili kila mteja asikose kabisa maji“ Na Neema Nandonde Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Masasi-Nachingwea…
19 June 2025, 09:37
“Familia nyingi zinaamua kukaa kimya pindi mwanafamilia anapomfanyia ukatili mtoto aliyeko ndani ya familia hiyo, kwa kuhofia kuwa wakiripoti tukio hilo mwanafamilia huyo atachukuliwa hatua“ Na Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imetakiwa kuacha kuficha matukio ya ukatili dhidi…
16 June 2025, 21:47
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…
14 June 2025, 15:24
Mtafiti wa kilimo akitoa maelezo Katika kuifikia adhima ya serikali ya kuongez uzalishaji wa zao la kotosho kwa mwaka 2025-2026 hadi kufikia tani millioni 1 kwa mwaka 2029-2030 maafsa ugani wapewa mafunzo yatakayoleta tija kwa wakulima Na Lilian Martin Maafsa…
5 June 2025, 19:28
Taka zinazozalishwa majumbani na viwandani, bado ni fursa kwa jamii, badala ya kuzitupa mtaani wanaweza kutengeneza mkaa mbadala ambao ni mzuri kwa afya ya binaadam na mazingira. Na Neema Nandonde Kutokana na kuanzishwa kwa kituo cha elimu ya mazingira kilichopo wilayani…
1 June 2025, 17:24
Panya wanaoliwa si wale wanaoishi ndani ya nyumba bali wanaishi porini na wana lishe bora kutokana na kuharibu mazao ambayo mara nyingi wanakula viini ambavyo kitaalam ndivyo vina lishe. Na Neema Nandonde Kumekuwa na simulizi nyingi kuhusu vyakula vya asili…
1 June 2025, 16:54
“Tatizo watanzania wengi wanatumia mazoea kwenye shughuli za kilimo, hili tumekutana nalo kwenye maeneo mengi nchini, wanavuna mahindi wanatupa chini (ardhini) kama njia ya kukausha, hii inasababisha uzalishaji fangasi wanaosababisha Sumukuvu” Na Neema Nandonde Jamii wilayani Masasi mkoani Mtwara imeshauriwa …
Fadhila FM radio inapatikana Masasi mkoani mtwara