Radio Fadhila

Recent posts

4 February 2023, 11:08 AM

Mapadre na Watawa waombwa kutumia hekima na busara

Na Lawrence Kessy Askofu wa Jimbo Katoliki la Morogoro, Mhashamu Askofu Lazarus Vitalis Msimbe, SDS amewaomba mapadre na watawa kutumia hekima na busara za mababa wa Kanisa waliobobea kupitia maandiko mbalimbali ili wapate miongozo ili kupata uzoefu katika maisha ya…

31 January 2023, 12:04 PM

Wanafunzi wapewa elimu ya usalama barabarani

Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika,  Halmashauri ya Mji wa Masasi, …

30 January 2023, 4:17 PM

Upendo Charity yaguswa na tatizo la Salma

Kikundi kinachosaidia watu wenye uhitaji kilichopo Wilayani Masasi,Mkoani Mtwara, kinachofahamika kama Upendo Charity kimeguswa na tatizo la mtoto Salma Pascha Machemba, mwenye umri wa miaka tisa (9) ambaye anaishi Kijiji cha Matekwe Majenanga, huko Nachingwea Vijijini. Salma ni mlemavu wa…

30 January 2023, 12:31 PM

Shule ya Msingi Mkuti B yapata Viongozi wapya

Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…

25 January 2023, 4:56 PM

CHANGAMOTO YA MIUNDO MBINU YA ELIMU KATIKA SHULE YA MSINGI NAMAJANI.

Hali ya miundombinu ya elimu katika shule ya msingi namajani imekuwa ni changamoto kubwa mpaka sasa  shule ya msingi namajani inamadarasa manne tu, huku baadhi ya wanafunzi wakisoma  chini ya mti. Hayo yabainishwa na diwani wa kata ya namajani  Faraji…