Afya
9 Septemba 2025, 6:57 um
TAKUKURU Tabora yatahadharisha vitendo vya rushwa kipindi cha kampeni
Na Zabron G Balimponya Wananchi mkoani Tabora wametakiwa kuacha tabia ya kupokea zawadi au fedha kutoka kwa wagombea wa vyama vya siasa kwani ni kinyume cha sheria. Mkuu wa kitengo cha uelimishaji umma Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rusha…
1 Septemba 2025, 5:53 um
Kichanga cha siku moja chachomwa moto Geita
“Kwakweli tunaomba polisi wafuatilie tukio hili ili kukomesha watu wenye roho za kikatili na kinyama kiasi hiki, huyu mtoto huwezi jua angekuwa nani baadaye” – Mwananchi Na: Edga Rwenduru: Mtoto mchanga anayekadiriwa kuwa na siku moja amekutwa amechomwa moto na…
29 Agosti 2025, 5:16 um
Marufuku watoto kwenye Mabanda ya video Geita Road
Sera ya maendeleo ya mtoto ya mwaka 2008 inaweka bayana wajibu wa jamii, wazazi na serikali kulinda watoto dhidi ya vitendo vinavyoweza kuathiri makuzi yao. Na Mwandishi Wetu: Mwenyekiti wa mtaa huo Pelana Bagume amesema hatua hiyo imechukuliwa baada ya…
28 Agosti 2025, 11:42 um
Mgambo watakiwa kuzuia magendo na wahamiaji haramu
Askari wa jeshi la akiba (mgambo) mkoani Kagera wametakiwa kuwa malinzi wa raia na mali zao na kuwa wazalendo katika kulilinda taifa lao dhidi ya vitendo vya uhalifu. Na Anold Deogratias Mkuu wa wilaya ya Bukoba mkoani Kagera Erasto Yohana…
27 Agosti 2025, 8:26 um
Wenza washauriwa kuacha kujirekodi picha za faragha
“Ni vyema jamii ikajikita kuandaa maudhui yatakayo wasaidia kuleta maendeleo” Kufuatia matukio mbalimbali ya kusambaa kwa picha mjongeo za faragha kwenye mitandao ya kijamii,wenza wametahadharishwa juu ya tabia ya kupiga picha hizo kwani ni kinyume cha sheria ya makosa ya…
Agosti 23, 2025, 1:39 um
Jeshi la Magereza Ngara laadhimisha miaka 64
Matendo hayo ni pamoja na kuchangia damu, kufanya usafi wa mazingira na kutoa misaada kwa wagonjwa katika hospitali ya Nyamiaga. Na David Mwaluseke- Ngara, Kagera Katika kuadhimisha miaka 64 ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara baada ya Uhuru, jeshi hilo…
22 Agosti 2025, 12:42 um
Mjadala mkali waibuka Songwe kuhusu maana ya ilani za vyama
Baadhi ya wakazi wa Songwe wameeleza uelewa wao kuhusu ilani za vyama vya siasa kuelekea uchaguzi mkuu, huku wanasiasa waandamizi wakifafanua maana halisi ya ilani. Na Mkaisa Mrisho Baadhi ya wakazi wa mkoa wa Songwe wamezungumzia uelewa wao kuhusu kitu…
9 Agosti 2025, 9:12 um
DC Mbozi atoa onyo kali kwa wavunjifu wa amani kipindi cha uchaguzi
viongozi wa vyama vya siasa, viongozi wa dini na wadau wengine wa uchaguzi wamekutana Mbozi kuweka mikakati ya kuhakikisha uchaguzi mkuu unafanyika kwa amani na haki, huku DC Hamad Mbega akitoa onyo kali kwa wavunjifu wa amani Na Stephano Simbeye…
24 Julai 2025, 15:30
Neema yawashukia wakulima wa kahawa Kasulu
Halamshauri ya Wilaya Kasulu imepanga kuzalisha miche milioni moja ya kahawa ili kutoa fursa kwa wakulima wengi kufikiwa na kuongeza tija ya uzalishaji wa zao hilo. Na Emmanuel Kamangu Wakulima wa zao la kahawa katika kijiji cha Kibirizi kata ya…
23 Julai 2025, 12:44
Wakulima kunufaika na viwanda vidogovidogo Kusulu
Halamashauri ya Wilaya ya Kasulu inakusudia kuanzisha viwanda vidogovidogo vitakavyosaidia wakulima wa zao la mchikichi kukamua mafuta ya zao hilo.