Radio Tadio

Afya

5 January 2024, 16:43

Watoto zaidi ya 600 waripotiwa kufariki wakati wa kuzaliwa Kigoma

Zaidi ya watoto wachanga 600 wamefariki wakati wa kuzaliwa mkoani Kigoma huku akina mama 76 wakipoteza maisha wakati wa kujifungua  katika  kipindi  cha Januari hadi  Desemba 2023. Na, Josephine Kiravu. Hakuna mama anaebeba ujauzito kwa kipindi cha miezi 9 halafu matarajio…

4 January 2024, 13:02

Kukaja Kununu wamwaga bima za afya Kyela

Katika kuhikikisha watoto wanakuwa na afya bora hapa nchini umoja wa kikundi cha Kukaja kununu kimetoa bima za afya na vifaa vya usafi vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki tano katika hospitali ya wilaya ya Kyela. Na James Mwakyembe…

4 January 2024, 11:12 am

Aonekana hai baada ya kufariki miaka 3 iliyopita Geita

Mwanamke Mugumba Misalaba aliyepatikana akiwa hai Fitina baada ya kufariki miaka 3 iliyopita. Picha na Amon Bebe Matukio ya baadhi ya watu kufariki dunia na kuonekana tena yameendelea kutokea katika maeneo tofauti, jambo ambalo linazua mizozo na kuhusishwa na imani…

30 December 2023, 09:04

Wananchi Rungwe waendelea kufurahia huduma za afya

Na mwandishi wetu Huduma ya matibabu katika kituo cha afya Iponjola zimeanza leo  rasmi tarehe 29.12.2023 ikiwa ni hatua  ya kuwasogezea wananchi huduma hii muhimu karibu na makazi yao. Kituo hiki kilichojengwa na Serikali kwa Kushirikiana na Wananchi kimegharimu zaidi …

23 December 2023, 12:52

‘Cha Malawi’ chateketezwa Kasumulu

Kamati ya ulinzi na usalama wilaya ya Kyela imeteketeza jumla ya tani 154.28 za madawa ya kulevya aina ya bangi zilizokamatwa baada ya misako mbalimbali ya jeshi la polisi wialayni hapa. Na Nsangatii Mwakipesile Mkuu wa wilaya ya Kyela Josephine…

22 December 2023, 2:20 pm

Hospitali Siha yakabidhiwa vifaa tiba na magari matatu

Vifaa tiba pamoja na gari vilivyokabidhiwa katika hospitali ya wilaya ya Siha (picha na Elizabeth Mafie) Hospitali ya wilaya ya Siha imekabidhiwa vifaa tiba pamoja na magari vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni mia tisa. Na Elizabeth Mafie Ambulance…