

Baraka FM
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
Ni siku tano tu zimepita kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi limefanya uchaguzi wa kumpata askofu,na katika uchaguzi huo mchungaji robart pangani ndiye ambaye alichaguliwa katika nafasi hiyo. Na Hobokela Lwinga Askofu mteule na mwenyekiti wa kanisa la…
21 March 2025, 22:08
Serikali inapotekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo kwenye maeneo yetu jamii inapaswa kuwa walinzi ili kuondoa uharibifu unaoweza kujitokeza. Na mwandishi wetu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa Mh,Halima Mdee amemuomba Mkuu wa Wilaya…
21 March 2025, 12:55
Mapema Leo katika jiji la Mbeya hari imekuwa si shwari katika barabara mlima nyoka baada ya magari matatu kugongana. Na Hobokela Lwinga Watu kadhaa wamenusurika kifo kufuatia ajali ya basi la New Force liliokuwa linatokea Dar es Salaam kuelekea Tunduma.…
20 March 2025, 17:39
Kutokana na kaulimbiu ya chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) isemayo “No Reform No Election” Kanda ya Nyasa wametangaza kuanza mikutano ya hadhara kuelimisha maana ya kaulimbiu hiyo. Na Hobokela Lwinga Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa kimetangaza…
19 March 2025, 08:11
Kufuatia changamoto ya Barabara katika kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa Kata ya Kisiba Halmashauri ya Busokelo Wilaya ya Rungwe mwenyekiti adaiwa kufyeka mazao ya wananchi bila idhini yoyote. Na Ezekiel Kamanga Wananchi wa Kitongoji cha Lwifwa Kijiji Cha lwifwa…
18 March 2025, 20:07
Katika kuadhimisha wiki ya maji, Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira Mbeya UWSA imetoa ofa kwa wateja wake wenye malimbikizo ya ankara za maji kulipa nusu gharama na kisha kuwarejeshea huduma hiyo bure. Na Ezra Mwilwa Akitoa taarifa…
18 March 2025, 19:43
Kutokana na changamoto ya wakulima wa kahawa wilayani Rungwe kuto kulipwa malipo yao ya Mwaka 2024, ameagiza kampuni iliyo nunua zao Hilo kulipa madai hayo ndani ya siku 14. Na Ezra Mwilwa Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Steven…
18 March 2025, 19:38
Kuelekea uchaguzi Mkuu October 2025 vyama mbalimbali vya siasa vimeanza kutambiana na kutoa kauli mbalimbali Na Hobokela Lwinga Makamu Mwenyekti Wa Chama Cha Mapinduzi (Ccm) Stephen Wasira, Amesisitiza Kuwa Hakuna Mtu Yoyote Ambaye Anaweza Kuzuia Uchaguzi Mkuu Mwaka Huu Usifanyike.…
15 March 2025, 18:18
Kifo kifo hakichagui mtu, safari hiyo kila mtu ni lazima aipitie kwa wakati wake na kwa njia yake. Na Hobokela Lwinga, Mbeya Aliyekuwa mke wa mchungaji marehemu Kalengo Salome Magwaza amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya rufaa Kanda…
14 March 2025, 08:08
Elimu ya udereva imekuwa ikiwasisitiza madereva kuwa makini natika uendeshaji wao wa vyombo vya moto,licha ya hivyo madereva wengi wamekuwa wakiukwaji wa sheria na taratibu za barabara. Na Ezekiel Kamanga Watu wawili wamenusurika kifo baada ya ajali ya magari mawili…
13 March 2025, 22:21
Viongozi wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la kusini magharibi wametembelea taasisi za kanisa zinazomilikiwa na jimbo kwa lengo la kushauriana namna bora ya kuimarisha utendaji kazi. Na Hobokela Lwinga Watumishi wanaofanya kazi katika taasisi mbalimbali za kanisa la Moravian…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.Â
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.  Â