![](
https://radiotadio.co.tz/barakafm/wp-content/uploads/sites/41/2023/09/pddddd-1500x800.jpg )
![](https://radiotadio.co.tz/barakafm/wp-content/uploads/sites/41/2023/09/logo-baraka-fm-150x150.jpg)
Baraka FM
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
Ni siku tano tu zimepita kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi limefanya uchaguzi wa kumpata askofu,na katika uchaguzi huo mchungaji robart pangani ndiye ambaye alichaguliwa katika nafasi hiyo. Na Hobokela Lwinga Askofu mteule na mwenyekiti wa kanisa la…
26 July 2024, 21:48
Wahenga wanasema kutoa ni moyo si utajiri hii inatukumbusha kuwa kila mtu anawajibu wa kumsaidia mahitaji yeyote popote anapokutana nae haijalishi ni mhitaji wa mahitaji gani. Na Ezekiel Kamanga Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani Spika wa Bunge la Jamhuri…
24 July 2024, 10:00
Kilimo cha pareto kimekuwa na manufaa makubwa kwa wakulima wengi, kutokana frusa hiyo kampuni ya uzinduzi wa pareto PCT Imekuwa ikihamasisha wakulima kuchangamkia kilimo hicho kwa kuwa patia wakulima mbegu bure na kulipa thamani zao hilo kwa kununua kwa Bei…
23 July 2024, 13:12
Kongamano la kuwawezesha vijana kiuchumi lavunja rekodi kutokana na idadi kubwa ya vijana waliojitokeza. Na mwandishi wetu, Momba Songwe Mamia ya vijana kutoka makundi na kanda mbalimbali wamemshukuru Mbunge wa Jimbo la Momba Mheshimiwa Condester Sichalwe (Mundy) kwa kuandaa kongamano…
23 July 2024, 10:50
Viongozi wa Serikali wameletwa ili kuiponya Miili ya Watu wakiwemo Viongozi wa dini ndio maana vitabu vya dini vinasisitiza kutii mamlaka iliyojuu ya mtu. Na Hobokela Lwinga Katibu Tawala Mkoa wa Mbeya Rodrick Mpogolo amekutana na Kufanya Mazungumzo na Prophet…
19 July 2024, 17:29
Na Sifael Kyonjola Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira mkoa wa Mbeya imepanga kuongeza mtandao wa maji taka na kukarabati ili kuwafikia wateja wengi zaidi. Hayo yamesemwa na kaimu meneja wa mamlaka ya maji safi na usafi wa…
16 July 2024, 20:20
Kila Jambo linalopaswa huwa linakuwa na mwisho, hata kwenye suala la elimu nalo linaukomoo kulingana na ngazi aliyopo mtu. Na Rukia Chasanika Wahitimu wa vyuo mbalimbali nchini wameshauriwa kutumia vizuri elimu zao katika kukabiliana na vitendo vya kikatili pamoja na…
14 July 2024, 18:23
Kudumisha amani ni jambo linalopaswa kufanya na mtu yeyote kwenye, amani inapotoweka husababisha madhara mbalimbali ilikiwemo vifo ili kuepuka hayo jamii inapaswa kuishi na kuwa sababu ya kutunza Amani, ukiwa ni pamoja na kuwa na mshikamano. Na Hobokela Lwinga Katika…
14 July 2024, 11:37
Kutokana na ajali za mara kwa mara mkoani Mbeya zimewafanya wakristo kufanya ibada ya maombezi kukomesha matukio hayo. Na Deus Mellah Jukwaa la wakristo wa madhehebu mbalimbali mkoani Mbeya wamefanya maandamano ya amani na kuombea maeneo ambayo ajali zimekuwa zikitokea …
13 July 2024, 13:58
Kutembelewa ni jambo la heri na hii ni ishara kwamba unapendwa, hii ndio maana halisi ya kile kinachokuwa kimefanyika kwa mgeni yoyote anayefika katika malango yako. Na Hobokela Lwinga Mapema leo kituo cha matangazo cha redio Baraka kimepokea ugeni wa…
13 July 2024, 10:57
Kanisa la Moravian limekuwa na utaratibu wa mgawanyo wa utawala katika kuwafikisha waumini wake karibu kwenye maeneo mbalimbali hali hiyo inafanya wilaya zake kumiliki ofisi ambazo asilimia kubwa zinajengwa na waumini. Na Ezekiel Kamanga Askofu Robert Pangani wa Kanisa la…