Baraka FM
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
27 April 2024, 00:11
Afya ni mtaji,jambo lolote ili uweze kulifanya linategemea afya njema hata hivyo wataalamu wa afya wanasisitiza kutunza afya kwa njia ya mazoezi kwani mazoezi yanatajwa kuwa tiba ya kuuokoa mwili wako usipatwe na magonjwa. Na Rukia Chasanika Ikiwa leo ni…
25 April 2024, 21:39
Kwa kutambua umuhimu wa kilimo nchini, taasisi za dini zimejikita katika uzalishaji wa mazoa biashara katika kilimo cha ufuta. Na Ezra Mwilwa Umoja wa Makanisa Tanzania umejipanga kuanzisha mradi wa kilimo cha ufuta ili kuinua uchumi wa nchi. Kauli hiyo…
25 April 2024, 20:41
Kufuatia ukuaji wa sayansi na teknolojia duniani, tasnia ya habari ni moja ya tasnia inayotakiwa kwenda sambamba na mabadiliko hayo katika kuzingatia taaluma yao kuwa karibu na jamii wanayoitumikia kwa kuwalisha habari zenye ukweli na uhakika. Na Hobokela Lwinga Waandishi…
23 April 2024, 11:42
Utunzaji wa mazingira hautegemei mtu mmoja au kikundi fulani bali utunzaji wa mazingira unamtegemea kila mtu kutokana na kwamba kila kiumbe hai kinategemea mazingira safi na bora katika eneo alikopo, zipo athali mbali ambazo zinaweza kujitokeza katika uharibifu wa mazingira…
22 April 2024, 09:25
Kutokana na Makumbusho ya Taifa kufanya matamasha mbalimbali ya kitamaduni kote nchini mwaka huu, kabila la wanyakyusa linalopatikana katika halmashauri za Rungwe na Kyela mkoani Mbeya linatarajia kufanya tamasha lao katika jiji la Dar es salaam. Na Ezra Mwilwa Kuelekea…
19 April 2024, 17:54
Mdudu anayefanana na funza anakula mizizi ya mazao yote ya Chakula ,Biashara na mbogamboga ambapo wakulima wameingiwa na hofu ya kuendelea kulima kutokana na uwepo na mdudu huyo hatari Kwao. Na Mwandishi wetu Songwe Zaidi ya ekari 100 za mashamba…
19 April 2024, 17:40
Maporomoko mlima Kawetere yalitokea April 14,2024 majira ya saa tatu asubuhi na kusababisha nyumba zaidi ya ishirini kufukiwa na udongo ikiwemo shule ya mchepuo wa kiingereza ya Generation. Na Ezekiel Kamanga Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…
18 April 2024, 18:59
Katika kuthamini na kuunga jitihada za Serikali katika Sekta ya elimu nchini,kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kuimarisha uendeshaji wa taasisi zake za elimu ikiwemo Shule,vyuo vya ufundi na ualimu kuhahakisha vinazalisha wasomi wengi ambao watakuwa msaada kwenye…
18 April 2024, 18:17
Kutokana na Mvua zinazonyesha kusababisha maporomoko katika kata ya Itezi jiji Mbeya na kusababisha wakazi kukosa maeneo ya kuishi huku wengine wakipoteza mali pamoja na mifugo wadau mbalimbali wameendelea kutoa misaada ya kujikimu kwa wahanga hao. Na Ezra Mwilwa Taasisi…
18 April 2024, 17:48
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya imekuwa ikiboresha huduma zake siku hadi siku na kuifanya kuwa kimbilio katika mikoa ya Nyanda za Juu na nchi za Kusini mwa Afrika. Na Ezekiel Kamanga Watumishi Wanawake vitengo mbalimbali Hospitali ya Rufaa Kanda…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.