Recent posts
23 April 2024, 11:42
T.A.G Galilaya laadhimisha miaka 85 kwa kupanda miti
Utunzaji wa mazingira hautegemei mtu mmoja au kikundi fulani bali utunzaji wa mazingira unamtegemea kila mtu kutokana na kwamba kila kiumbe hai kinategemea mazingira safi na bora katika eneo alikopo, zipo athali mbali ambazo zinaweza kujitokeza katika uharibifu wa mazingira…
22 April 2024, 09:25
Wanyakyusa kufanya tamasha la utamaduni Makumbusho Dar es Salaam
Kutokana na Makumbusho ya Taifa kufanya matamasha mbalimbali ya kitamaduni kote nchini mwaka huu, kabila la wanyakyusa linalopatikana katika halmashauri za Rungwe na Kyela mkoani Mbeya linatarajia kufanya tamasha lao katika jiji la Dar es salaam. Na Ezra Mwilwa Kuelekea…
19 April 2024, 17:54
Zaidi ya ekari 100 za mazao zaharibiwa na mdudu hatari Mbozi
Mdudu anayefanana na funza anakula mizizi ya mazao yote ya Chakula ,Biashara na mbogamboga ambapo wakulima wameingiwa na hofu ya kuendelea kulima kutokana na uwepo na mdudu huyo hatari Kwao. Na Mwandishi wetu Songwe Zaidi ya ekari 100 za mashamba…
19 April 2024, 17:40
Ruwasa Mbeya watoa msaada kwa waathirika wa maporomoko Kawetere
Maporomoko mlima Kawetere yalitokea April 14,2024 majira ya saa tatu asubuhi na kusababisha nyumba zaidi ya ishirini kufukiwa na udongo ikiwemo shule ya mchepuo wa kiingereza ya Generation. Na Ezekiel Kamanga Bodi ya Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa…
18 April 2024, 18:59
Moravian Mbeya yaimarisha taasisi zake za elimu,wanachuo 44 wahitimu fani ya ual…
Katika kuthamini na kuunga jitihada za Serikali katika Sekta ya elimu nchini,kanisa la Moravian Jimbo la kusini magharibi limeendelea kuimarisha uendeshaji wa taasisi zake za elimu ikiwemo Shule,vyuo vya ufundi na ualimu kuhahakisha vinazalisha wasomi wengi ambao watakuwa msaada kwenye…
18 April 2024, 18:17
Mhandisi Merryprisca Mahundi atoa msaada kwa waathirika wa maporomoko Mbeya
Kutokana na Mvua zinazonyesha kusababisha maporomoko katika kata ya Itezi jiji Mbeya na kusababisha wakazi kukosa maeneo ya kuishi huku wengine wakipoteza mali pamoja na mifugo wadau mbalimbali wameendelea kutoa misaada ya kujikimu kwa wahanga hao. Na Ezra Mwilwa Taasisi…
18 April 2024, 17:48
Wafanyakazi wanawake Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya watoa msaada wa kitanda c…
Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya imekuwa ikiboresha huduma zake siku hadi siku na kuifanya kuwa kimbilio katika mikoa ya Nyanda za Juu na nchi za Kusini mwa Afrika. Na Ezekiel Kamanga Watumishi Wanawake vitengo mbalimbali Hospitali ya Rufaa Kanda…
17 April 2024, 21:17
Rais Samia mgeni rasmi wakfu wa askofu mteule Moravian
Taasisi za dini ni miongoni mwa taasisi ambazo zimekuwa mchango mkubwa wa kutunza, kulinda amani ya taifa hali hiyo inathibitishwa na maridhiano yaliyopo baina ya taasisi za dini pamoja na serikali. Na Hobokela Lwinga Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
17 April 2024, 12:12
Mvua yakata mawasiliano ya miundombinu ya barabara Rungwe, Mbeya
Katika hali isiyotarajiwa wakazi wa kata ya Kapugi na Lyenje wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya wamekutana na adha ya kuharibika kwa miundombinu ya barabara iliyokuwa ikiwaunganisha na kusababisha shughuli mbalimbali za kiuchumi kusimama. Na Ezra Mwilwa Mvua zinazoendelea kunyesha zimesababisha…
16 April 2024, 16:58
Dkt.Nchimbi atua Mbeya kwa kishindo
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Dkt. Emmanuel Nchimbi ameendelea na ziara yake ya mkoa kwa mkoa na sasa ametua mkoani Mbeya baada ya kutoka kwenye ziara katika mikoa ya Katavi,Rukwa na Songwe. Na Hobokela Lwinga Mkuu wa Mkoa wa Mbeya…