Baraka FM
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
107.7 MHz
Forest ya zamani Mbeya mjini
0652587003
fmradiobaraka@gmail.com
http://www.Barakafm.co.tz
Ni siku tano tu zimepita kanisa la Moravian Tanzania jimbo la kusini magharibi limefanya uchaguzi wa kumpata askofu,na katika uchaguzi huo mchungaji robart pangani ndiye ambaye alichaguliwa katika nafasi hiyo. Na Hobokela Lwinga Askofu mteule na mwenyekiti wa kanisa la…
20 May 2024, 10:38
Kufuatia soko la ajira linalo endelea hapa Nchini kuwa finyu wahitimu wanapaswa kutafuta njia mbadala wa kujiajiri. Na Ezra Mwilwa Wanafunzi wanao elekea kuhitimu masomo ya vyuo wametakiwa kutumia fursa mbalimbali zinazojitokeza bila kujali Taasusi walizo zisomea vyuoni. Wito huo…
19 May 2024, 09:09
Dunia leo kupitia imani ya kikristo inaadhimisha ibada ya Pentecost,siku ambayo inasifika kwa waumini kuvaa mavazi meupe. Na Hobokela Lwinga Kanisa la Moravian Tanzania limeungana na waumini wengine duniani kuadhimisha ibada ya siku ya pentecost. Pentecost kwa imani ya kikristo…
15 May 2024, 19:06
Tanzania inatarajia kuwa na uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 na uchaguzi mkuu 2025 na moja ya tasnia inayotazamwa kutoa elimu ni vyombo vya habari kutokana na kuwa karibu na jamii. Na Hobokela Lwinga Ofisi ya mkuu wa mkoa wa…
11 May 2024, 12:47
Katika hali ya kustahajabisha ng’ombe anamiguu minne lakini maajabu yametokea ndama kazaliwa akiwa na miguu mitano na jinsi zote mbili (jike na dume) Na Mwandishi wetu,Mbeya Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni, ndivyo tunaweza kusema kufuatia tukio la kuzaliwa kwa…
11 May 2024, 11:12
Wachungaji hao na wake zao wanapaswa kutoa ushirikiano kwenye jamii kutoana na mchango wao wa kusaidia kuwajenga watu kiimani hali hiyo inatajwa kuwa kichocheo cha amani na utilivu. Na Deusi Mellah Wachungaji kanisa la Moravian Jimbo la kusini Magaharibi wametakiwa…
11 May 2024, 10:52
Wafadhili wa Mission 21 katika kanisa la Moravian Tanzania wamekutana na jimbo la kusini magharibi na jimbo la kusini na wasimamizi wa miradi mbalimbali ili kufanya tathimini ya miradi iliyo pita kwa mwaka 2022-2024 na kupokea maoni ya miradi ujao…
6 May 2024, 18:08
Watumiaji wa barabara wamekuwa wakisisitizwa kutii na kufuata sheria za barabarani ili kuepusha ajali zisizo za lazima sambamba na kukagua vyombo vyao kabla ya safari. Na Hobokela Lwinga Watu kadhaa wanahofia kupoteza maisha na wengine kujeruhiwa katika ajali ya roli…
3 May 2024, 14:35
Maisha ya binadamu yanapopatwa na msongo wa mawazo yamekuwa yakisababisha wengine kuchukua maamzi magumu ya Kujiondoa uhai kwa baadhi ya watu wanaokuwa wanaukosa kutoka kwa watu wao wa karibu. Na Yuda Joseph Mtu mmoja ambaye jina lake halijafamika amefariki dunia…
3 May 2024, 09:58
Jamii imetakiwa kuwa mstari wa mbele kwa kutoa taarifa pindi wanapobaini uwepo wa mianya ya utoaji na upokeaji rushwa kwenye maeneo yao. Na Ezekiel Kamanga Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Mbeya imewakamata na kuwafikisha mahakamani…
3 May 2024, 09:48
Kutokana na utandawazi kuendelea kukua katika ulimwengu huu wanawake wametakiwa kujitokeza katika semina mbalimbali kujifunza namna bora ya kuishi kwenye ndoa zao. Na Iman Anyigulile Wanawake mkoani Mbeya wametakiwa kujifunza mara kwa mara mafundisho ya ndoa ili kuweza kuimarisha ndoa…
OVERVIEW
Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road.
Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.
More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.
COVERAGE AREA
Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),
Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.
VISION
A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.
MISSION:
To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership
To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues
To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area
To provide messages of hope to heal the broken society
SOCIAL IMPACT
BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.
SLOGAN
Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.
CORE VALUES
Christianity: We seek to provide high quality media services
Quality: We seek to provide high quality media services
Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.
Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings
Social responsibility: We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities
Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity
Respect: We seek to treat all manner of people with respect
Impartiality: We seek to be fair to everybody
Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station
NUMBER OF STATION
At present BFM radio has two stations which are:
Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios
Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)
There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.
Baraka FM products:
DAILY PROGRAMMES:
From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.
NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.
KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.
JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education.
EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students.
IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge
MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.