Baraka FM

Recent posts

11 April 2024, 18:00

Machifu Mbeya wachafukwa TARI kulima juu ya makaburi

Baadhi ya wananchi wa kata Ituha jijini Mbeya wamekerwa na kitendo cha Taasisi ya Utafiti wa Kilimo (TARI) kituo cha Uyole kuvamia maeneo yao waliozika ndugui zao. Na Josea Sinkala Serikali wilayani Mbeya imeanza mchakato wa kumaliza mgogoro wa ardhi…

11 April 2024, 13:32

Fahamu faida, hasara za mionzi kwenye mwili wa binadamu-Kipindi

Na Hobokela Lwinga Kutokana na uelewa mdogo wa mionzi kwa wananchi, jamii imetakiwa kuipokea elimu ya mionzi pindi wataalum wanapofika kwenye maeneo yao kwani kufanya hivyo kutaepusha magonjwa yatokanayo na athari za mionzi ikiwemo saratani.

9 April 2024, 14:47

Waislamu Mbeya wapewa tabasamu na MNEC Mwaselela

Jamii ina hitaji upendo,kila mtu anapaswa kumonyesha upendo mwingine hiyo kwa Mungu ni thawabu kubwa. Na Mwandishi wetu Kuelekea sikukuu ya Eid El-fitri Mjumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa (NEC) kutoka Mkoa wa Mbeya Ndugu Ndele Mwaselela ametoa sadaka…

9 April 2024, 13:28

CHADEMA Mbeya yachagua viongozi, Masaga ambwaga Mwasote

Mabadiliko ni sehemu ya maisha ya binadamu hivyo ndivyo unaweza kusema hata kwenye taasisi kunahitaji mabadiliko ili kwenda mbele zaidi na kuyafikia mafanikio. NA Imani Anyigulile Wananchama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo mkoa wa Mbeya wamechagua viongozi mbalimbali wa…

8 April 2024, 20:02

Wachungaji kemeeni mambo ya ushoga unaoendelea duniani

“Tumieni elimu na maarifa mliyoyapata vyuoni kuuaminisha ulimwengu juu ya imani ya kumtegemea Mungu na siyo fedha.” Na Ezra Mwilwa Wachungaji waliopo masomoni Chuo Kikuu Teofilo Kisanji na Chuo cha Itengule Mbeya wametakiwa kuendelea kukemea maswala ya ushoga yanayoendelea duniani.…

8 April 2024, 19:15

Fisi aua watatu, ajeruhi, watano wafa maji Mbeya

Jeshi la polisi mkoa wa Mbeya limeendelea kutoa wito kwa wazazi na walezi kuchukua tahadhari kwa watoto kwa kuhakikisha wanaweka uangalizi mzuri kwa watoto wao. Na Ezra Mwilwa Watoto watatu wameuwawa na wengine kujeruhiwa na mnyama aina ya fisi katika…

8 April 2024, 18:37

Wananchi watakiwa kuendelea kuitunza amani

Katika kuendelea na mfungo wa Ramadhan kwa dini ya Kiislamu tumeshuhudia makundi mbalimbali nchini yamekuwa yakifanya ibada ya kufuturisha maeneo mbalmbali nchini, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Zuberi Homera ameandaa chakula cha jioni katika mkoa wake. Na Dailes Razaro…

About Baraka Fm

OVERVIEW

Baraka FM radio limited is a private owned profit media organization belonging to the Moravian church in Tanzania-South West Province. Its broadcasting house is located along Mahakama Street, Old forest Area in Mbeya and its transmitter installed at Kawetere Transmission site, 17KM along Chunya road. 

Baraka FM radio officially switched on November 2008 as the first religious radio station in Mbeya region with strong and trusted local customer brands.

More than two million people listen to Baraka FM radio, based on call in/messages as well as social media charts in the station per week.

COVERAGE AREA

Baraka FM covers 400KM radius area with strong physical presence across Mbeya region and Songwe region. Furthermore BFM has physical presence to some other parts of southern highland zones. In Njombe radio covers Makambako and Wanging’ombe districts, while in Iringa region BFM covers Mufindi as well as Kilolo districts),

Aside from area coverage above are, Baraka FM has a very strong online presence with a live online stream on its website www.barakafmradio.com and Application in a play store named Baraka FM radio 107.7 Mbeya, as well as powerful social media pages, Instagram and Facebook page.

VISION

A major and reliable radio station for the provision of quality evangelical messages, as well as basic information necessary and meaningful to individual household, and community development.

MISSION:

To provide listenership with media outlet that is committed to hearing and sharing the voices of its listenership

To produce radio programs that are educative, informative and entertaining, with regular reference to real life issues

To promote social cohesion among all members of the community within our catchment area

To provide messages of hope to heal the broken society

SOCIAL IMPACT

BFM Radio promotes social cohesion by facilitating dialogue between different sections of the community. It aims at providing a platform to bridge the gap between the voiceless and decision makers.

SLOGAN

Our slogan is “Voice of hope and salvation” which is unique among the local radio stations in that is targeted at the general audience rather than a specific demographic.

CORE VALUES

Christianity: We seek to provide high quality media services

Quality: We seek to provide high quality media services

Dynamism: We remain dynamic in responding to changing technology and other     changing global demand as long as there are not in conflict with the Moravian doctrine.

Professionalism: We are professional and transparent in all our dealings

Social responsibility:  We demonstrate that we are part of the society in which live by participating in societal activities

Integrity: We seek to recruit, develop and retain a team of high integrity

Respect:  We seek to treat all manner of people with respect

Impartiality: We seek to be fair to everybody

Diligence: We are hardworking and committed to the mission of the radio station

NUMBER OF STATION

At present BFM radio has two stations which are:

Broadcasting House (BH) comprising administration offices, news room, On –Air, Production and Recording studios

Transmission site (TX) comprising transmitter and Radio Tower (RT)

There are plans in the near future to establish a substation at Isyonje area to   strengthen signal reception in Rungwe, Kyela and Makete.

Baraka FM products:

  1. Live events coverage programs
  2. Daily business and financial news and adverts
  3. Political, social, human interest and economic news programs
  4. Daily sports package radio show
  5. Every day gospel music entertainment radio programs
  6. Religious and Bible knowledge  programs

DAILY PROGRAMMES:

From Baraka FM radio you can sponsor programs below for daily collection of customers for your business and commercial developments.

NURU YA ASUBUHI: At 06:00am to 10:00am, you are listen DW news, regional, national and international political news, social, sports and economic news contents as well as newspaper headings.

KIVULINI: Every day at 12:00PM to 2:00PM here you get and enjoy health education, delicious food preparation, greetings and house decoration education contents.

JARIDA: The program starts 10:00AM to 11:00AM, contains daily business, commercial, social, environmental, political, economic industrial as well as communication education. 

EDUCATION CORNER: Covers University and schools’ contents such as children psychology, behavior and language skills for both university, colleges and schools’ students. 

IJUE BIBILIA (KNOW THE BIBLE): It is one hour program, starts from 11:00PM to 12:00PM, the program containing bible knowledge

MUDA WETU: 2 hours program that contains, gospel music and news entertainments.