On air
Play internet radio

Recent posts

15 May 2026, 8:01 pm

Watoto wawili mbaroni tuhuma za wizi Sengerema

Katika kukomesha tabia za baadhi ya watoto kujihusisha na vitendo vya wizi, wazazi na walezi Wilayani Sengerema wametakiwa kutoa malezi bora ili kuepuka  kujihusisha na vitendo hivyo vinavyoweza  kuhatarisha maisha yao. Na, Emmanuel Twimanye Watoto wawili wenye umri wa miaka…

12 May 2026, 6:18 pm

9 mbaroni mauaji ya kijana aliyeshindwa kulipia pombe Mwanza

Kufuatia kukithili kwa watu kujichukulia sheria mkono Jeshila Polisi Mwanza lawakamata watu tisa kwa mauaji. Na, Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu tisa wakiwemo Mabaunsa wa baa ya Rasvegas kwa tuhuma za mauwaji ya mtu mmoja aliyefahamika…

8 May 2026, 6:23 pm

DC Ngaga akabidhi hati za kimila kupunguza migogoro ya ardhi Sengerema

Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi Sengerema wananchi zaidi ya 1000 wakabidhiwa hati miliki za kimila Na,Emmanuel Twimanye Zaidi ya wananchi elfu moja katika Kijiji cha Ilekanilo, Kata ya Kasungamile, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, wamekabidhiwa hati miliki za kimila,…

6 May 2026, 9:27 am

Afsa tarafa aibuka mfanya kazi hodari 2026 wilayani Sengerema

Katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani May mosi 2026 afsa tarafa wa Nyanchenche wilayani Sengerema ameibuka mfanya kazi hodari kutoka ofsi ya mkuu wa wilaya ya Sengerema, ambapo wananchi wa eneo hilo wamempongeza kwa uchapa kazi wake. Na;Said Mahera…

5 May 2026, 7:17 pm

Washauriwa kuepuka mikopo kutoka taasisi zaidi ya moja

Kufuatia kuwepo na malalamiko ya baadhi ya wamama kukimbia miji yao kama njia ya kukwepa kulipa madeni ya mikopo kutoka taasisi za kukopesha maarufu kausha damu, sasa washauriwa kuacha kukopa kwenye taasisi nyingi ili kuepuka fedheha ya kuacha watoto na…

4 May 2026, 12:31 pm

Simeo wa Misheni Sengerema akutwa amejinyonga

Changamoto za maisha zatajwa kuwa chanzo cha vijana kujinyonga wilayani Sengerema Na:Emmanuel Twimanye Kijana aliyefahamika kwa jina la Simeo Paschal (22) mkazi wa Mtaa wa Misheni Kata ya Misheni, wilayani Sengerema mkoani Mwanza amefariki dunia kwa kujinyonga ,huku chanzo cha…

4 May 2026, 12:09 pm

Zima moto waonya wananchi kutoa taarifa za uongo

Jeshi la zima moto Sengerema latoa elimu kwa wanchi kuhusiana na matumizi sahihi ya namba za kutoa taarifa za dharula kwa jeshi hilo Na:Emmanuel Twimanye Wananchi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza wameonywa kuacha kuchezea namba za dharura za Jeshi la Zimamoto…

31 March 2026, 8:05 pm

Atupwa jela kwa kuiba mtoto Sengerema

Kufuatia kukithili kwa matukio ya wizi wa watoto wilayani Sengerema,Mahakama wilayani humo imemhukumu binti na mkazi wa buchosa kifungo cha mwaka mmoja jera ili iwe fundisho kwa watu wengine. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina…

27 March 2026, 6:58 pm

Sotta mining yatoa mafunzo ya fursa za kibiashara Sengerema

Kutokana na kuanzishwa kwa mgodi wa dhahabu Wilayani Sengerema, Kampuni ya Sotta mining imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara ili kuzijua na kuzitumia fursa zilizopo mgodini. Na,Emmanuel Twimnye Wafanyabiashara Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wameipongeza kampuni ya mgodi wa Sotta kwa kuwapatia mafunzo…

Mission and Vision

Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema

Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa