Recent posts
26 October 2025, 8:42 pm
Wasimamizi vituo vya kupigia kura watakiwa kuzingatia sheria
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…
22 October 2025, 6:51 pm
SAU Kushughulikia changamoto za afya na barabara Buchosa
Kampeni kuelekea uchaguzi mkuu zinaendelea maeneo mbalimbali ya nchi ambapo wagombea watoa ahadi ili wachaguliwe october 29 2025 Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kwa chama cha Sauti ya umma (SAU) Bi.Consolatha Cleophance Mtalyantula ameahidi kutatua changamoto za barabara…
12 October 2025, 5:02 pm
Mgombea CHAUMMA aahidi kuleta maendeleo Buchosa
Kuelekea uchaguzi mkuu mwaka 2025 chama cha CHAUMMA kimeendelea na kampeni zake za kusaka kura kwa wananchi, kwa kuelezea sera na irani ya chama hicho. Na,Mwandishi wetu Mgombea ubunge jimbo la Buchosa kupitia chama cha Ukombozi wa umma (CHAUMMA) Ester…
16 August 2025, 7:54 pm
Wananchi Sengerema wailalamikia SEUWASA kukatika maji mara kwa mara
Licha ya kuwa na mradi mkubwa wa maji wenye thamani zaidi ya Tsh.Bil 22 Wilaya ya Sengerema imekuwa na changamoto ya kukosa maji mara kwa mara hasa kwenye maeneo ya miinuko bila kutolewa ufafanuzi kwa wananchi. Na,Peter Marlesa Wananchi Wilayani…
5 August 2025, 12:18 pm
Wasimamizi wa uchaguzi kata watakiwa kufuata miongozo ya uchaguzi 2025
Ikiwa vyama vya siasa nchini vinaendelea na zoezi la kuwapata wagombea wa nafasi mbalimbali ikiwemo Udiwani,Ubunge na Urais Tume ya uchaguzi nayo inaendelea na zoezi la kuratibu wasimamizi wa uchaguzi nganzi za Kata na Jimbo. Na;Emmanuel Twimanye Wasimamizi wa uchaguzi…
5 August 2025, 12:00 pm
Karibu kusikiliza kipindi maalumu na TCRA kanda ya ziwa
Mamlaka ya mawasiliano Nchini Tanzania (TCRA) Kanda ya ziwa imewataka watanzania kuwa makini na taarifa za kimtandao hasa taarifa za uongo. Na.Peter Marlesa Ungana na Peter Marlesa akiwa na Belenadetha Mathayo Afsa kutoka TCRA kanda ya Ziwa, akifafanua kwa Watanzania…
31 July 2025, 3:34 pm
Atoroka baada ya kumuua mchepuko wa mke wake
Wivu wa mapenzi umemusababishia Bwn. Bagandosa kusakwa na jeshi la polisi baada ya kumuua mwanaume anayedaiwa kuwa mchepuko wa mke wake, na kutokomea kusiko julikana. Na;Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza, linamsaka Bagandosa Silas Menelo, kwa tuhuma za…
30 July 2025, 10:05 am
Serikali,Under the same sun kuendelea kupinga ukatili dhiidi ya wenye ualbino
Shirika la Under the Same sun kwa kushirikiana na tasisi ya Village of Hop (VOH) wamefanya kumbukizi ya kuwakumbuka watu wenye ualbino waliouawa na kukatwa viungo vyao nchini, tukio hilo limefanyika mjini Sengerema kwenye mnala wa nithamini ulio na majina…
28 July 2025, 5:17 pm
Nukta Afrika yaja na mwarobaini kubaini taarifa za uongo
Kampuni ya Nukta Afrika imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari radio za kijamii juu ya namna ya habari za uongo na upotoshaji zinazotolewa na baadhi ya mitandao ya kijamii, hususa ni kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi mkuu. Na,Michael Mgozi Waandishi…
14 June 2025, 4:22 pm
Akamatwa akiiba koki na mita za maji mjini Sengerema
Wimbi la wizi wa koki na mita za maji mjini Sengerema limezidi kushika kasi ambapo baadhi ya wezi wamekuwa wakidai kuiba na kuuza kama vyuma chakavu. Na Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 15 katika mtaa wa Busisi Road …