
Recent posts

14 June 2025, 4:22 pm
Akamatwa akiiba koki na mita za maji mjini Sengerema
Wimbi la wizi wa koki na mita za maji mjini Sengerema limezidi kushika kasi ambapo baadhi ya wezi wamekuwa wakidai kuiba na kuuza kama vyuma chakavu. Na Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 15 katika mtaa wa Busisi Road …

14 June 2025, 10:19 am
Tabasamu akabidhi mil.10 kwa bodaboda Sengerema
Mai 19 waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa alikuwa na ziara wilayani Sengerema ya kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi ambapo bodaboda waliiomba serikali kuwasaidia fedha ili kutimiza malengo yao ya kununua koster kwa ajili…

10 June 2025, 6:14 pm
Baptist Sengerema waliombea taifa kuelekea uchaguzi mkuu 2025
Kufuatia uwepo wa matukio ya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi mkuu 2025 viongozi na wamini wa kanisa la Baptist Sengerema wameungana na kufanya maombi ya kuliombea taifa ili liendelee kuwa kisiwa cha amani kama inavyotambulika kuwa Tanzania ni kisiwa cha…

4 June 2025, 5:37 pm
Mzee Lugega akabidhi tofari elf.2 ujenzi ofisi ya Ccm,Kwa niaba ya Ngeleja
Aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Sengerema na waziri wa zamani wa nishati na madini Wiliam Mganga Ngeleja ametimiza ahadi yake aliyoitoa kwenye harambee ya ujenzi Ofisi ya Kata ya Ibisabageni ya kutoa Tofari 2,000, zilizo kabidhiwa leo na Ndg.Festo Lugega.…

3 June 2025, 3:26 pm
Mtoto wa mwaka mmoja afa maji wilayani Sengerema
Kufuatia mvua zinazoendelea kunyesha kwa baadhi ya maeneo nchini Tanzania, mashimo na madimbwi yamejaa maji jambo linaloweza kusababisha maafa kama watoto watacheza kwenye maeneo hayo,na katika wilaya ya Sengerema mtoto mmoja amefariki baada ya kuzama kwenye dimbwi lililokuwa na maji.…

21 May 2025, 7:10 pm
“Kuelekea uchanguzi mkuu tuwe makini na taarifa za mitandaoni”
Mei 20 2025 nchini Tanzania ilienea taarifa ya udukuzi kwenye mitandao ya kijamii ya baadhi ya tasisi za kiserikali na za watu binafsi,jambo lililowaimbua wataalamu wa mitandao nchini kuitaka jamii ya watanzania kuwa makini na mitandao hasa kipindi hiki cha…

19 May 2025, 8:40 pm
PM Majaliwa: Walioiba vifaa tiba wachukuliwe hatua kali
Waziri mkuu akizungumza na wananchi mjini Sengerema wakati wa ziara yake ya kikazi wilayani hapo.Picha na Elisha Magege Kassim Majaliwa ameuagiza uongozi wa mkoa wa Mwanza uhakikishe unakamilisha uchunguzi wa watumishi wa Hospitali ya wilaya ya Sengerema wanaodaiwa kuhusika na…

12 May 2025, 7:57 pm
Heche asisitiza No reform No elections akiwa Sengerema
Chama cha Demokrasia na maendeleo Chadema kinaendelea na oparesheni yake ya No reform No eleections,ambapo tayari imeshaanza kanda ya victoria yenye mikoa ya Kagera,Geita na Mwanza. Na Emmanuel Twimanye Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA) bara John…

10 May 2025, 6:42 pm
Watakiwa kwenda chuo kusoma udereva na usalama barabarani
Kufuatia kukithiri kwa ajali za barabarani nchini Chuo cha udereva cha Nyota Kilichopo jijini mwanza kimeanzisha darasa la udereva linalotembea, ambapo kimekita kambi wilaya ya Sengerema kufundisha udereva na sheria za usalama barabarani. Na.Elisha Magege Vijana wanao endesha vyombo vya…

30 April 2025, 6:49 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kuboresha taarifa zao daftari la mpiga kura
Tume huru ya taifa ya uchaguzi (INEC) imetangaza siku saba za wananchi kuboresha taarifa za mpiga kura katika jimbo la Sengerema, mkoani Mwanza. Na,Elisha Magege Afsa mwandikishaji jimbo la Sengerema Binuru Mussa Shekidele amewataka maafsa uandikishaji wanaotarajia kwenda kuanza kuboresha…