Recent posts
29 July 2026, 8:14 pm
Wananchi watakiwa kuimalisha Ulinzi shirikishi
Kufuatia uwepo wa matukio ya uvunjifu wa amani katika jamii wananchi wametakiwa kushirikiana na jeshi la polisi katika wilaya ya Sengerema. Na,Elisha Magege Wananchi wametakiwa kushirikiana na jeshi la polisi kutoa taarifa za uharifu na waharifu ili kuinua shughuli za…
16 July 2026, 10:41 pm
Kampuni ya Sotta Mining yakabidhi madawati Sengerema
Ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa madawati kwa Shule za Misingi katika Halmashauri ya Sengerema, Mgodi wa Dhahabu wa Sotta Mining Corporation Ltd umekabidhi madawati zaidi ya 900. Na Said Mahera Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema imepokea madawati 977…
16 June 2026, 7:04 pm
Mama ataka binti yake achukuliwe hatua wizi wa mahindi
Baada ya baadhi ya watoto kuwa na tabia za wizi na udokozi wa vitu vya nyumabani, mama mmoja ameiomba serikali kumchukulia hatua za kisheria binti yake kwa wizi wa mahindi ili iwe fundisho kwa wengine. Na, Emmanuel Twimanye Binti aliyefahamika…
13 June 2026, 4:43 pm
Watatu wakamatwa kwa kutapeli wananchi Sengerema
Vishoka wawatapeli wananchi wakidai kuwaunganishia umeme maeneo ya vijijini Sengerema. Na Emmanuel Twimanye Watu watatu wamekamatwa katika kijiji cha Busulwangili, Kata ya Tabaruka, wilayani Sengerema mkoani Mwanza, kwa tuhuma za kuwatapeli fedha wananchi kwa lengo la kuwaunganishia umeme majumbani. Akizungumzia…
9 June 2026, 7:49 pm
Serikali yaombwa kufuatilia wanaovaa nguo zisizo na staha
Wazazi na tasisi za kidini waiomba serikali kuingilia kati suala la mmomonyoko wa maadili kwa vijana katika jamii. Na Emmanuel Twimanye Serikali imeombwa kuingilia kati suala la baadhi ya mabinti wanaovaa mavazi yasiyo na staha kwa kuweka sheria na miongozo…
6 June 2026, 12:20 pm
Watoto Sengerema waiomba serikali kukomesha vitendo vya ukatili
Kutokana na kukithili kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto nchini, Afisa Tarafa ya Katunguru wilayani Sengerema Kibasa Samwel Masangwa ameitaka jamii kushirikiana na serikali ili kukomesha vitendo hivyo. Na, Emmanuel Twimanye Watoto Wilayani Sengerema mkoani Mwanza wameiomba serikali kuchukua…
27 May 2026, 5:04 pm
Mke ammwagia maji ya moto mume wake baada ya kumzuia kuchati
Kufuatia kukithili kwa baadhi ya wanawake kuwafanyia vitendo vya ukatili waume zao, Jeshi la polisi wilayani Sengerema lawataka wananchi kutoa ushirikiano ili kukomesha vitendo hivyo. Na,Emmanuel Twimanye Kijana Simon Kashangele (24), mkazi wa Kitongoji cha Senta B, Kata ya Nyamizeze…
23 May 2026, 7:52 pm
Wapongezwa kupunguza vifo vya mama na mtoto
Kutokana na kuwepo kwa malalamiko kwa baadhi ya wananchi juu ya huduma za afya kutokizi vigezo,watumishi wa zahanati ya Busulwagili Wilayani Sengerema wamepongezwa kwa huduma bora kwa wananchi. Na, Emmanuel Twimanye Watumishi wa Zahanati ya Busulwangili kata ya Tabaruka Wilayani…
23 May 2026, 3:29 pm
Mama achoshwa na wizi wa mwanae, amkabidhi ofisi ya mtaa ashughulikiwe
Kutokana na ongezeko la vijana kujihusisha na vitendo vya kihalifu ikiwemo wizi,Vijana wilayani Sengerema wametakiwa kufanya kazi za kuwaingizia kipato halali ili kujikimu kimaisha. Na,Emmanuel Twimanye Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Yeneza Gulai mkazi wa Mtaa wa Misheni wilayani…
15 May 2026, 8:01 pm
Watoto wawili mbaroni tuhuma za wizi Sengerema
Katika kukomesha tabia za baadhi ya watoto kujihusisha na vitendo vya wizi, wazazi na walezi Wilayani Sengerema wametakiwa kutoa malezi bora ili kuepuka kujihusisha na vitendo hivyo vinavyoweza kuhatarisha maisha yao. Na, Emmanuel Twimanye Watoto wawili wenye umri wa miaka…