13 September 2024, 7:07 am

Matukio ya mauaji ni hatari tuliombee Taifa-Sheikh JAH

Kufuatia kuwepo kwa matukio ya utekaji na mauaji ya raia nchini Tanzania viongozi wa Dini wazidi kuhimiza Waatanzania kila mmoja kwa imani yake kuliombea taifa ili Mungu atuepushe na majanga hayo. Na;Emmanuell Twimanye Wananachi  Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuliombea…

On air
Play internet radio

Recent posts

15 October 2024, 6:48 pm

Tabasamu ashirikiana na wananchi kujenga daraja

Wananchi wa kijiji cha Butonga wilayani Sengerema wafurahia serkali ya awamu ya sita chini ya Dr.Samia kwa kuanza ujenzi wa daraja lililokuwa likisababisha vifo kwao kwa muda mrefu. Na;Emmanuel Twimanye Daraja   lililokuwa  likihatarisha  maisha ya wananchi    katika Kijiji cha Butonga…

13 October 2024, 12:01 pm

Mavunde awatuliza wananchi mgodi wa Sota Sengerema

Mgodi wa dhahabu wa SOTA GOLD Mining uliopo kata ya Igalula wilayani Sengerema mkoani Mwanza unatarajiwa kuanza uzalishaji mwakani 2025, ambapo kwasasa wameaanza madalizi ya ujenzi wa Mgodi huo,ikiwemo kuwahamisha wananchi wenye maeneo yanayo pakana na eneo la mgodi huo.…

12 October 2024, 5:20 pm

Jamii yatakiwa kuwapeleka shule watoto wenye ulemavu

Shule ya msingi Tabaruka iliyopo halmashauri ya Sengerema ni miongoni mwa shule zinazofundisha watoto wenye ulemavu Sengerema huku ikikabiliwa na changamoto ya vitendea kazi au vifaa wezeshi kwa watoto hao. Na Joyce Rollingstone Shirika lisilokuwa la kiserikali la Sengerema Mshikamano…

12 October 2024, 4:39 pm

VTC Sengerema yaendelea kuzalisha vijana wenye ujuzi nchini

Serkali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewekeza fedha nyingi kujenga vyuo vya ufundi nchini ili kukabiliana na changamoto ya uhaba wa ajira kwa vijana, waweze kujiajiri kupitia ufundi. Na;Deborah Maisa Wahitimu wa chuo cha ufundi Sengerema vtc wametakiwa kusoma…

12 October 2024, 4:23 pm

DC Sengerema aongoza wananchi kujiandikisha kushiriki uchaguzi

Serkali kupitia TAMISEMI imetangaza siku kumi za wananchi kujiandikisha kwenye daftari la makazi kwa ajili ya kushiriki uchaguzi serkali za mitaa mwezi november mwaka huu. Na.Emmanuel Twimanye Wananachi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wametakiwa kuendelea kujitokeza  kujiandikisha katika Daftari la makazi…

11 October 2024, 3:38 pm

Wananchi zaidi ya elf.31 kunufaika na mradi wa Maji chifunfu

Upatikanaji wa maji safi na salama vijijini unasaidia kuimalisha ukuaji wa jamii kiuchumi kwa kupunguza wananchi kutumia muda mwingi kusaka huduma ya maji lakini pia kuchochea maendeleo kupitia kilimo cha umwagiliaji. Na;Elisha Magege Wananchi kijiji cha Chifunfu wilayani Sengerema Mkoani…

9 October 2024, 1:13 pm

Mzava akemea vitendo vya rushwa uchaguzi serikali za mitaa

Mwenge wa uhuru mwaka huu katika Halmashauri ya Sengerema umefanikiwa kuifikia miradi sita yenye thamani ya zaidi ya Tsh. Bilioni 4.6 Na: Jovna George Kiongozi wa mbio za mwenge Kitaifa amewataka wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza kushirikiana kwa pamoja kutokomeza…

9 October 2024, 12:55 pm

Wazazi watakiwa kuwalinda watoto waliohitimu darasa la 7

Shule ya Msingi Matwiga ni miongoni mwa Shule mpya za msingi zilizojengwa katika kata ya Mission halmashauri ya Sengerema Na;Jovna George Diwani wa kata ya misheni Wilayani Sengerema  Francis Mbungai  amewataka wazazi na walezi kuwalinda watoto waliohitimu Darasa la saba…

6 October 2024, 5:21 pm

Moses akutwa na baiskeli aliyoiba kanisani Sengerema

Jamii imekua haiwaamini vijana kutokana na kuwa na tamaa ya mali za haraka jambo lililopelekea kuwa wadokozi na wezi wa vitu mbalimbali kwenye maeneo yao. Na;Emmanuel Twimanye Kijana  mmoja mwenye umri wa miaka 17 amekamatwa na  Jeshi la Polisi jamii…

6 October 2024, 5:05 pm

Moto wazuka na kuteketeza vitu vya ndani mjini Sengerema

Matukio ya moto kuzuka gafla kwenye nyumba za watu wilayani Sengerema imekuwa ikijitokeza mara kwa mara ambapo jeshi la zimamoto na uokoaji limeendelea kutoa tahadhali kwa wananchi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Moto  umezuka  ghafla  na kuteketeza vitu mbambali ikiwemo  magunia…