Sengerema FM
Sengerema FM
20 January 2026, 7:25 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani ametoa eneo la hifadhi la ukubwa wa hekali 1200 kwa wananchi wa vijiji vya Ihushi na Bujura miyenze,na kusisitiza kuwa na hati za kimila. Na,Said Mahera Wananchi wa Kijiji…
14 December 2025, 6:28 pm
Baada ya Serkali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoa fursa kwa wavuvi kuanza ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya ziwa victoria, baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Buchosa wamefurahishwa, na kuiomba serikali kuwaongezea ujuzi na mitaji…
5 December 2025, 5:21 pm
Madiwani Halmashauri ya Sengerema wamekula kiapo cha kuwatukia wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.29 2025 Na,Emmanuel Twimanye Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza wamewatakiwa kwenda kufanya kazi kwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi.…
5 December 2025, 4:51 pm
Madiwani wateule waapisha rasimi kuwatumikia wananchi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Mwenzi Oktoba 29 2025 katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Na,Michael Mgozi Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro na kero…
2 December 2025, 3:15 pm
Utoaji elimu kwa jamii juu ya maambukizi ya VVU na UKIMWI Halmashauri ya Sengerema imesaidia kupunguza kuenea kwa kasi maambukizi mapya VVU. Na;Elisha Magege Maabukizi ya Virusi vya ukimwi katika Halmashauri ya Sengerema Mkoani Mwanza yamepungua kutoka asilimia 2.0 mwaka…
27 November 2025, 3:02 pm
Matukio ya watu kuuawa kwa kukatwa mapanga wilayani Sengerema yalidhibitiwa kwa muda mrefu, jambo lililowafanya wananchi kushituka baada ya tukio la hivi karibuni kutokea katika kata ya Sima Na,Emmanuel Twimanye Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina la Kajanja Mtebi (50) mkazi…
22 November 2025, 7:26 pm
Baadhi ya wazazi na walezi nchini wamekuwa tabia za kutowapeleka shule watoto wenye ulemavu jambo linalokemewa vikali na Serikali pamoja na asasi za kiraia Na;Joyce Rollingstone Wazazi na Walezi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza, wametakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu na badala…
20 November 2025, 11:36 am
Kwa mujibu wa taarifa zilizokusanywa na Radio Sengerema hivi karibuni matukio ya watu kujiua yanaonesha kuongezeko kwa kasi katika wilayani Sengerema. Na.Emmanuel Twimanye Wananchi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza, wametakiwa kuwa na hofu ya Mungu na kuacha kuchukua maamuzi ya kujiua…
19 November 2025, 4:50 pm
Matukio ya watu kujiua wilayani Sengerema yanazidi kuripotiwa, huku chanzo kikiwa bado hakijulikani Na.Said Mahera Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa majina ya Deusdetith Babila mkazi wa mtaa wa geita road kata ya nyatukala amekutwa amefariki dunia katika bwawa liliopo mtaa wa…
26 October 2025, 8:42 pm
Zaidi ya wasimamizi wakuu na wasaidizi wa vituo vya kupigia kura 1,950 wanatarajia kwenda kusimamia vituo 650 vya kupigia kura katika jimbo la Sengerema wamekura kiapo cha uadilifu ili kutekeleza jukumu la uchaguzi mkuu jimbo la Sengerema. Na Mwandishi wetu…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa