Recent posts
14 March 2024, 3:51 pm
Mitishamba chanzo cha vifo vitokanavyo na uzazi Sengerema
Vifo vitokanavyo na uzazi wilayani Sengerema vimekuwa vikitajwa kuongezeka kutokana na mwitikio mdogo wa akinamama wajawazito kuhudhuria kliniki kwa wakati na matumizi ya dawa za kienyeji. Na:Elisha Magege Matumizi ya dawa za kienyeji yatajwa kuwa chanzo cha vifo vya akinamama…
14 March 2024, 3:20 pm
Yusuph Hodari akutwa amefariki uwanjani Sengerema
Jeshi la polisi wilayani Sengerema limefika eneo la tukio na kuchukua mwili wa marehemu Yusuph Hodari aliyekutwa amefariki dunia eneo la Mnadani, kisha kuupeleka katika Hospitali Teule ya Wilaya ya Sengerema kwa ajili ya uchunguzi zaidi. Na:Emmanuel Twimanye Mtu mmoja…
13 March 2024, 7:09 pm
Fisi aua mtoto wa miaka 9, ajeruhi mwingine Sengerema
Matukio ya watoto kushambuliwa na fisi wilayani Sengerema yamezidi kushamili maeneo mbalimbali ambapo akizungumza katika Baraza la Madiwani hivi karibuni Diwani wa kata ya Chifunfu Robert Madaha alidai kuwa fisi waliopo Sengerema wanamilikiwa na watu kwani wana majina na namba…
11 March 2024, 6:03 pm
CCM yazindua kampeni za udiwani Sengerema
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Kata 23 Tanzania Bara, ukitarajiwa kufanyika tar 20 Machi 2024 Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Bw. Kailima, R. K jijini Dodoma tar15…
7 March 2024, 10:33 pm
Amuua kwa madai ya kugoma kurudiana nae
Matukio ya wanadoa kutarakiana wakiwa wanapendana yamekuwa chanzo cha mauaji kwa wanawake kutokana na wanaume kushindwa kuvumilia hali hiyo, ambapo kwa wilaya ya Sengerema zaidi ya matukio matatu yametokea kwa mwaka huu. Na:Emmanuel Twimanye. Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka…
3 March 2024, 7:29 pm
Jukwaa la Mwanamke Sengerema lawashika mkono watoto wanaoshi mazingira hatarishi
Kila mwaka ifikapo tar 08 Machi dunia huadhimisha siku ya mwanamke duniani ambapo hutanguliwa na matukio mbalimbali ambayo hufanywa na wanawake, Jukwaa la mwanamke Sengerema limeanza na kutoa msaada kwa wanafunzi wanaoishi mazingira hatarishi wilayani hapo. Na;Emmanuel Twimanye Zaidi ya…
3 March 2024, 6:58 pm
Fisi Maria14 avuruga kikao cha madiwani Sengerema
Kufuatia kuwepo kwa changamoto ya wanyama fisi katika kata ya Chifunfu iliyopo Halmashauri ya Sengerema mkoani Mwanza Diwani wa kata hiyo Robert Madaha amelifikisha jambo hili kwenye kikao cha Baraza la Madiwani ambapo limeibua hisia mpya baada ya kuonekana baadhi…
22 February 2024, 4:42 pm
Wananchi Sengerema wajitokeza kuchukua vitambulisho vya NIDA
Wananachi wa Kata ya Nyampulukano Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza Mwanza wamejitokeza kwa wingi kupata vitambulisho ya Taifa (NIDA). Mamlaka ya vitambulisho vya taifa NIDA Wilaya ya Sengerema imeanza zoezi la ugawaji wa vitambulisho vya NIDA kwa wananchi,huku likiwataka kujitokeza kwa…
19 February 2024, 8:13 pm
Mwanamke auawa kwa kukatwa mapanga na wasio julikana Sengerema
Matukio ya watu kuawa kwa kukatwa mapanga yanazidi kukithiri wilayani Sengerema ambapo mpaka sasa tangu mwaka huu kuanza matukio matatu ya watu kuuawa kwa mapanga. Na.Emmanuel Twimanye. Mwanamke mwenye umri wa miaka 40 Katika Kitongoji cha Nyakatome kata ya Kasungamile…
18 February 2024, 7:53 pm
CCM Sengerema yatatua mgogoro wa Ardhi uliodumu kwa zaidi ya miaka 23
Migogoro ya Ardhi wilayani Sengerema imekuwa Changamoto jambo lililoipelekea kamati ya Sekretarieti ya Chama cha Mapinduzi Sengerema kuanza kutembelea wananchi na kutatua ambapo imeanza na mgogo wa wananchi na Shule ya Msingi Kilabela uliodumu kwa zaidi ya miaka 23. Na…