Sengerema FM
Sengerema FM
8 May 2026, 6:23 pm
Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi Sengerema wananchi zaidi ya 1000 wakabidhiwa hati miliki za kimila Na,Emmanuel Twimanye Zaidi ya wananchi elfu moja katika Kijiji cha Ilekanilo, Kata ya Kasungamile, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, wamekabidhiwa hati miliki za kimila,…
6 May 2026, 9:27 am
Katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani May mosi 2026 afsa tarafa wa Nyanchenche wilayani Sengerema ameibuka mfanya kazi hodari kutoka ofsi ya mkuu wa wilaya ya Sengerema, ambapo wananchi wa eneo hilo wamempongeza kwa uchapa kazi wake. Na;Said Mahera…
5 May 2026, 7:17 pm
Kufuatia kuwepo na malalamiko ya baadhi ya wamama kukimbia miji yao kama njia ya kukwepa kulipa madeni ya mikopo kutoka taasisi za kukopesha maarufu kausha damu, sasa washauriwa kuacha kukopa kwenye taasisi nyingi ili kuepuka fedheha ya kuacha watoto na…
4 May 2026, 12:31 pm
Changamoto za maisha zatajwa kuwa chanzo cha vijana kujinyonga wilayani Sengerema Na:Emmanuel Twimanye Kijana aliyefahamika kwa jina la Simeo Paschal (22) mkazi wa Mtaa wa Misheni Kata ya Misheni, wilayani Sengerema mkoani Mwanza amefariki dunia kwa kujinyonga ,huku chanzo cha…
4 May 2026, 12:09 pm
Jeshi la zima moto Sengerema latoa elimu kwa wanchi kuhusiana na matumizi sahihi ya namba za kutoa taarifa za dharula kwa jeshi hilo Na:Emmanuel Twimanye Wananchi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza wameonywa kuacha kuchezea namba za dharura za Jeshi la Zimamoto…
31 March 2026, 8:05 pm
Kufuatia kukithili kwa matukio ya wizi wa watoto wilayani Sengerema,Mahakama wilayani humo imemhukumu binti na mkazi wa buchosa kifungo cha mwaka mmoja jera ili iwe fundisho kwa watu wengine. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina…
27 March 2026, 6:58 pm
Kutokana na kuanzishwa kwa mgodi wa dhahabu Wilayani Sengerema, Kampuni ya Sotta mining imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara ili kuzijua na kuzitumia fursa zilizopo mgodini. Na,Emmanuel Twimnye Wafanyabiashara Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wameipongeza kampuni ya mgodi wa Sotta kwa kuwapatia mafunzo…
29 January 2026, 2:40 pm
Kundi la waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda wilaya ya Nyangh’wale wamepewa mafunzo ya usalama barabarani yenye lengo la kuwasaidia kupata lesseni za udereva na kufuata sheria za usalama barabarani. Na,Said Mahera Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Grace Kingalame, amefungua mafunzo…
27 January 2026, 10:57 pm
Wilaya ya Sengerema imeungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti zaidi ya elf 5, huku ikiwahimiza wananchi kujenga utamaduni wa kupanda miti. Na;Elisha Magege Katika kuazimisha siku ya kuzaliwa kwa rais wa…
23 January 2026, 7:17 pm
Wakulima katika wilaya ya Nyang’hwale wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dr. Samia Suluhu Hassani kwa kupata mbengu za Alzeti bure sambamba na Mbolea za rudhuku, zenye lengo la kumuinua mkulima nchini. Na;Said Mahera Mamlaka ya Nafaka na…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa