Sengerema FM
Sengerema FM
4 May 2026, 12:09 pm
Jeshi la zima moto Sengerema latoa elimu kwa wanchi kuhusiana na matumizi sahihi ya namba za kutoa taarifa za dharula kwa jeshi hilo Na:Emmanuel Twimanye Wananchi Wilayani Sengerema mkoani Mwanza wameonywa kuacha kuchezea namba za dharura za Jeshi la Zimamoto…
31 March 2026, 8:05 pm
Kufuatia kukithili kwa matukio ya wizi wa watoto wilayani Sengerema,Mahakama wilayani humo imemhukumu binti na mkazi wa buchosa kifungo cha mwaka mmoja jera ili iwe fundisho kwa watu wengine. Na,Emmanuel Twimanye Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina…
27 March 2026, 6:58 pm
Kutokana na kuanzishwa kwa mgodi wa dhahabu Wilayani Sengerema, Kampuni ya Sotta mining imetoa mafunzo kwa wafanyabiashara ili kuzijua na kuzitumia fursa zilizopo mgodini. Na,Emmanuel Twimnye Wafanyabiashara Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza wameipongeza kampuni ya mgodi wa Sotta kwa kuwapatia mafunzo…
29 January 2026, 2:40 pm
Kundi la waendesha pikipiki maarufu kama Bodaboda wilaya ya Nyangh’wale wamepewa mafunzo ya usalama barabarani yenye lengo la kuwasaidia kupata lesseni za udereva na kufuata sheria za usalama barabarani. Na,Said Mahera Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, Grace Kingalame, amefungua mafunzo…
27 January 2026, 10:57 pm
Wilaya ya Sengerema imeungana na Rais wa Jamhuri ya Muungano kusherekea siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti zaidi ya elf 5, huku ikiwahimiza wananchi kujenga utamaduni wa kupanda miti. Na;Elisha Magege Katika kuazimisha siku ya kuzaliwa kwa rais wa…
23 January 2026, 7:17 pm
Wakulima katika wilaya ya Nyang’hwale wameishukuru Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Dr. Samia Suluhu Hassani kwa kupata mbengu za Alzeti bure sambamba na Mbolea za rudhuku, zenye lengo la kumuinua mkulima nchini. Na;Said Mahera Mamlaka ya Nafaka na…
20 January 2026, 7:25 pm
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassani ametoa eneo la hifadhi la ukubwa wa hekali 1200 kwa wananchi wa vijiji vya Ihushi na Bujura miyenze,na kusisitiza kuwa na hati za kimila. Na,Said Mahera Wananchi wa Kijiji…
14 December 2025, 6:28 pm
Baada ya Serkali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania kutoa fursa kwa wavuvi kuanza ufugaji wa samaki kwa njia ya vizimba ndani ya ziwa victoria, baadhi ya wananchi katika Halmashauri ya Buchosa wamefurahishwa, na kuiomba serikali kuwaongezea ujuzi na mitaji…
5 December 2025, 5:21 pm
Madiwani Halmashauri ya Sengerema wamekula kiapo cha kuwatukia wananchi wa Halmashauri hiyo baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oct.29 2025 Na,Emmanuel Twimanye Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Sengerema Mkoani Mwanza wamewatakiwa kwenda kufanya kazi kwa kutanguliza mbele maslahi ya wananchi.…
5 December 2025, 4:51 pm
Madiwani wateule waapisha rasimi kuwatumikia wananchi baada ya uchaguzi mkuu uliofanyika Mwenzi Oktoba 29 2025 katika Halmashauri ya Buchosa mkoani Mwanza. Na,Michael Mgozi Madiwani na Watumishi wa Halmashauri ya Buchosa wametakiwa kufanya kazi kwa bidii ili kupunguza migogoro na kero…
Radio sengerema inapatikana katika mkoa wa mwanza wilayani sengerema
Radio Sengerema Tunasikika Kanda Ya Ziwa nzima, Chemchemi Ya Maarifa