Sengerema FM

Recent posts

30 January 2024, 2:13 pm

Taka zarundikwa kwenye makazi ya watu mjini Sengerema

Mji wa Sengerema kwa mda mrefu umekuwa ukionekana kuwa na mrundikano wa uchafu kwenye vizimba vilivyopo mjini ambapo Halmashauri imekuwa ikitumia vibarua kuzizoa na baadhi yao wamekuwa wakitoa kwenye vizimba na kwenda kuzimwaga kwenye makazi ya watu. Na:Emmanuel Twimanye Wakazi…

27 January 2024, 8:26 pm

Milioni 147 zatumika ukarabati wa madarasa shule ya msingi Sengerema

Shule ya Msingi Sengerema ni miongoni mwa shule kongwe nchini ambayo ilikuwa ikikabiliwa na uchakavu wa miundombinu hasa vyumba vya madarasa jambo lililopelekea wadau mbalimbali kujitokeza na kuanza kusaidia ukarabati. Na;Emmanuel Twimanye. Shirika lisilisolikuwa la Kiserikali  la  Suport  school  Fees…

27 January 2024, 6:48 pm

Sengerema yapanda miti elfu 20 kumbukizi ya kuzaliwa SSH

Tarehe 27 ya Mwezi Januari kila mwaka tangu 1960 ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa awamu ya Sita wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. Samia Suluhu Hasani, ambapo kwa mwaka huu 2024 anatimiza umri wa miaka 64 Na;…

23 January 2024, 9:42 pm

DC Sengerema ageuka mbongo murundikano wa uchafu mjini

Pamoja na kuwepo kwa taarifa za ugonjwa wa kipindupindu Nchini Madampo mjini Sengerema yanaonekana kujaa uchafu hali inayoleta wasiwasi kwa wananchi wakihofia kukumbwa na mlipuko wa ugonjwa huo. Na;Emmanuel Twimanye. Wafanyabishara wa soko kuu mjini Sengerema wameilalamikia Halmshauri ya Wilaya…

22 January 2024, 6:40 pm

Walimu Sengerema wajikita kuchoma mkaa, kilimo badala ya kufundisha

Shule ya msingi Mayuya ipo katika kata ya Tabaruka iliyopo Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikifanya vibaya kwenye mitihani yake kutokana na changamoto ya Walimu wa shule hiyo kujikita katika shughuli zao binafsi za kuchoma mikaa na kilimo badala ya kufunsha.…

18 January 2024, 4:47 pm

Akatwa panga na mpwa wake kisa deni la elfu 80

Matukio ya ndugu wa familia kuuana na kujeruhiana kisa mali yamekuwa yakitajwa zaidi nchini ambapo katika wilaya ya sengerema mnamo mwezi October.2023 mtu mmoja aliuwawa na ndugu zake katika kijiji cha Ilunda kata ya Ngoma wakigombania shamba la urithi, Vivyo…

17 January 2024, 5:35 pm

Watu wanne waangukiwa na ukuta wa Nyumba

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha baadhi ya maeneo nchini zimesababisha nyumba nyingi kuanguka huku nyingine zikiwa katika hali tete ya nyufa, ambapo viongozi wengi wamekuwa wakitoa tahadhali kwa wananchi kuhama kwenye maeneo yenye changamoto au mkondo wa maji. Na:Emmanuel Twimanye…

16 January 2024, 4:48 pm

RC Mwanza aipongeza Sengerema ujenzi wa madarasa.

Mkuu wa mkoa wa mwanza Mh, Amos Mkala  baada ya kutamatisha ziara yake katika Halmshauri ya Sengerema,  ameendelea na ziara yake katika Halmshauri ya Buchosa wilayani Sengerema kwa ajili ya kutembelea na kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo ikiwemo sekta ya…

16 January 2024, 3:47 pm

Afariki kwa kupigwa na radi-Sengerema

Baadhi ya watu wamekua na tabia ya kufanya kazi kwenye mvua, jambo ambalo linatajwa kuwa ni hatari sana, na katika halmashauri ya wilaya ya Sengerema mwanamke mmoja amefariki Dunia kwa kupigwa na radi akiwa shambani kuvuna mahindi wakati mvua ikiwa…

10 January 2024, 6:25 pm

Wananchi watakiwa kuchukua tahadhali ya kipindupindu

Changamoto ya kipindupindu imetajwa kuenea kwa kasi zaidi hasa kwa mikoa ya Kanda ya Ziwa ikianzia katika wilaya ya Bariadi mkoa wa Simiyu, ambapo mpaka sasa katika mkoa wa Mwanza wamebainika wagonjwa wa kipindupindu 27 kwenye maeneo ya wilaya ya…