Recent posts
27 May 2026, 5:04 pm
Mke amwagia maji ya moto mme wake baada ya kumzua kuchati.
Kufuatia kukithili kwa baadhi ya wanawake kuwafanyia vitendo vya ukatili waume zao, Jeshi la polisi wilayani Sengerema lawataka wananchi kutoa ushirikiano ili kukomesha vitendo hivyo. Na,Emmanuel Twimanye Kijana Simon Kashangele (24), mkazi wa Kitongoji cha Senta B, Kata ya Nyamizeze…
23 May 2026, 7:52 pm
Wapongezwa kupunguza vifo vya mama na mtoto
Kutokana na kuwepo kwa malalamiko kwa baadhi ya wananchi juu ya huduma za afya kutokizi vigezo,watumishi wa zahanati ya Busulwagili Wilayani Sengerema wamepongezwa kwa huduma bora kwa wananchi. Na, Emmanuel Twimanye Watumishi wa Zahanati ya Busulwangili kata ya Tabaruka Wilayani…
23 May 2026, 3:29 pm
Mama achoshwa na wizi wa mwanae, amkabidhi ofisi ya mtaa ashughulikiwe
Kutokana na ongezeko la vijana kujihusisha na vitendo vya kihalifu ikiwemo wizi,Vijana wilayani Sengerema wametakiwa kufanya kazi za kuwaingizia kipato halali ili kujikimu kimaisha. Na,Emmanuel Twimanye Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Yeneza Gulai mkazi wa Mtaa wa Misheni wilayani…
15 May 2026, 8:01 pm
Watoto wawili mbaroni tuhuma za wizi Sengerema
Katika kukomesha tabia za baadhi ya watoto kujihusisha na vitendo vya wizi, wazazi na walezi Wilayani Sengerema wametakiwa kutoa malezi bora ili kuepuka kujihusisha na vitendo hivyo vinavyoweza kuhatarisha maisha yao. Na, Emmanuel Twimanye Watoto wawili wenye umri wa miaka…
12 May 2026, 7:08 pm
Waganga wa tiba asili Sengerema waonywa kuacha kuwatapeli wateja wao
Baada ya kuibuka kwa tabai za baadhi ya wataalamu wa tiba asili kuwatapeli wateja wao Mwenyekiti wa Chama cha Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Sengerema atoa onyo dhidi yao wanaojipatia pesa kwa njia ya udanganyifu. Na,Emmanuel Twimanye Waganga na…
12 May 2026, 6:18 pm
9 mbaroni mauaji ya kijana aliyeshindwa kulipia pombe Mwanza
Kufuatia kukithili kwa watu kujichukulia sheria mkono Jeshila Polisi Mwanza lawakamata watu tisa kwa mauaji. Na, Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu tisa wakiwemo Mabaunsa wa baa ya Rasvegas kwa tuhuma za mauwaji ya mtu mmoja aliyefahamika…
8 May 2026, 6:23 pm
DC Ngaga akabidhi hati za kimila kupunguza migogoro ya ardhi Sengerema
Katika kukabiliana na migogoro ya ardhi Sengerema wananchi zaidi ya 1000 wakabidhiwa hati miliki za kimila Na,Emmanuel Twimanye Zaidi ya wananchi elfu moja katika Kijiji cha Ilekanilo, Kata ya Kasungamile, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza, wamekabidhiwa hati miliki za kimila,…
6 May 2026, 9:27 am
Afsa tarafa aibuka mfanya kazi hodari 2026 wilayani Sengerema
Katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi Duniani May mosi 2026 afsa tarafa wa Nyanchenche wilayani Sengerema ameibuka mfanya kazi hodari kutoka ofsi ya mkuu wa wilaya ya Sengerema, ambapo wananchi wa eneo hilo wamempongeza kwa uchapa kazi wake. Na;Said Mahera…
5 May 2026, 7:17 pm
Washauriwa kuepuka mikopo kutoka taasisi zaidi ya moja
Kufuatia kuwepo na malalamiko ya baadhi ya wamama kukimbia miji yao kama njia ya kukwepa kulipa madeni ya mikopo kutoka taasisi za kukopesha maarufu kausha damu, sasa washauriwa kuacha kukopa kwenye taasisi nyingi ili kuepuka fedheha ya kuacha watoto na…
4 May 2026, 12:31 pm
Simeo wa Misheni Sengerema akutwa amejinyonga
Changamoto za maisha zatajwa kuwa chanzo cha vijana kujinyonga wilayani Sengerema Na:Emmanuel Twimanye Kijana aliyefahamika kwa jina la Simeo Paschal (22) mkazi wa Mtaa wa Misheni Kata ya Misheni, wilayani Sengerema mkoani Mwanza amefariki dunia kwa kujinyonga ,huku chanzo cha…