Recent posts
16 June 2026, 7:04 pm
Mama ataka binti yake achukuliwe hatua wizi wa mahindi
Baada ya baadhi ya watoto kuwa na tabia za wizi na udokozi wa vitu vya nyumabani, mama mmoja ameiomba serikali kumchukulia hatua za kisheria binti yake kwa wizi wa mahindi ili iwe fundisho kwa wengine. Na, Emmanuel Twimanye Binti aliyefahamika…
13 June 2026, 4:43 pm
Watatu wakamatwa kwa kutapeli wananchi Sengerema
Vishoka wawatapeli wananchi wakidai kuwaunganishia umeme maeneo ya vijijini Sengerema. Na Emmanuel Twimanye Watu watatu wamekamatwa katika kijiji cha Busulwangili, Kata ya Tabaruka, wilayani Sengerema mkoani Mwanza, kwa tuhuma za kuwatapeli fedha wananchi kwa lengo la kuwaunganishia umeme majumbani. Akizungumzia…
9 June 2026, 7:49 pm
Serikali yaombwa kufuatilia wanaovaa nguo zisizo na staha
Wazazi na tasisi za kidini waiomba serikali kuingilia kati suala la mmomonyoko wa maadili kwa vijana katika jamii. Na Emmanuel Twimanye Serikali imeombwa kuingilia kati suala la baadhi ya mabinti wanaovaa mavazi yasiyo na staha kwa kuweka sheria na miongozo…
6 June 2026, 12:20 pm
Watoto Sengerema waiomba serikali kukomesha vitendo vya ukatili
Kutokana na kukithili kwa vitendo vya ukatili dhidi ya watoto nchini, Afisa Tarafa ya Katunguru wilayani Sengerema Kibasa Samwel Masangwa ameitaka jamii kushirikiana na serikali ili kukomesha vitendo hivyo. Na, Emmanuel Twimanye Watoto Wilayani Sengerema mkoani Mwanza wameiomba serikali kuchukua…
27 May 2026, 5:04 pm
Mke ammwagia maji ya moto mume wake baada ya kumzuia kuchati
Kufuatia kukithili kwa baadhi ya wanawake kuwafanyia vitendo vya ukatili waume zao, Jeshi la polisi wilayani Sengerema lawataka wananchi kutoa ushirikiano ili kukomesha vitendo hivyo. Na,Emmanuel Twimanye Kijana Simon Kashangele (24), mkazi wa Kitongoji cha Senta B, Kata ya Nyamizeze…
23 May 2026, 7:52 pm
Wapongezwa kupunguza vifo vya mama na mtoto
Kutokana na kuwepo kwa malalamiko kwa baadhi ya wananchi juu ya huduma za afya kutokizi vigezo,watumishi wa zahanati ya Busulwagili Wilayani Sengerema wamepongezwa kwa huduma bora kwa wananchi. Na, Emmanuel Twimanye Watumishi wa Zahanati ya Busulwangili kata ya Tabaruka Wilayani…
23 May 2026, 3:29 pm
Mama achoshwa na wizi wa mwanae, amkabidhi ofisi ya mtaa ashughulikiwe
Kutokana na ongezeko la vijana kujihusisha na vitendo vya kihalifu ikiwemo wizi,Vijana wilayani Sengerema wametakiwa kufanya kazi za kuwaingizia kipato halali ili kujikimu kimaisha. Na,Emmanuel Twimanye Mama mmoja aliyefahamika kwa jina la Yeneza Gulai mkazi wa Mtaa wa Misheni wilayani…
15 May 2026, 8:01 pm
Watoto wawili mbaroni tuhuma za wizi Sengerema
Katika kukomesha tabia za baadhi ya watoto kujihusisha na vitendo vya wizi, wazazi na walezi Wilayani Sengerema wametakiwa kutoa malezi bora ili kuepuka kujihusisha na vitendo hivyo vinavyoweza kuhatarisha maisha yao. Na, Emmanuel Twimanye Watoto wawili wenye umri wa miaka…
12 May 2026, 7:08 pm
Waganga wa tiba asili Sengerema waonywa kuacha kuwatapeli wateja wao
Baada ya kuibuka kwa tabai za baadhi ya wataalamu wa tiba asili kuwatapeli wateja wao Mwenyekiti wa Chama cha Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Sengerema atoa onyo dhidi yao wanaojipatia pesa kwa njia ya udanganyifu. Na,Emmanuel Twimanye Waganga na…
12 May 2026, 6:18 pm
9 mbaroni mauaji ya kijana aliyeshindwa kulipia pombe Mwanza
Kufuatia kukithili kwa watu kujichukulia sheria mkono Jeshila Polisi Mwanza lawakamata watu tisa kwa mauaji. Na, Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu tisa wakiwemo Mabaunsa wa baa ya Rasvegas kwa tuhuma za mauwaji ya mtu mmoja aliyefahamika…