Recent posts
18 February 2024, 7:13 pm
Wanafunzi 300 wanakaa chini Shule ya Msingi Nyamalunda Sengerema
Licha ya juhudi za Serkali kujenga na kukarabati baadhi ya vyumba vya madarasa Shule za mssingi nchini baadhi ya shule zinachangamoto kubwa ya Madawati halii inayo pellekea wanafunzi wa shulle hizo kukaa chiini. Na:Emmanuel Twimanye Wanafunzi mia tatu katika shule…
13 February 2024, 5:09 pm
CCM Sengerema yaagiza kukamatwa fundi wa nyumba za walimu
Kamati ya Sekretarieti ya ccm Wilaya ya Sengerema inafanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa na serkali ya awamu ya Sita, ambapo imekutana na changamoto ya Fundi aliyelipwa fedha na kushindwa kukamilisha majengo ya watumishi kisha kutokomea kusiko…
13 February 2024, 12:18 pm
Makala maalum ya siku ya Redio Duniani
Redio Sengerema ni miongoni mwa redio za kijamii zaidi ya 30 zilizopo nchini Tanzania ambayo inapatikana katika mkoa wa Mwanza wilaya ya Sengerema. Tangu kuanzishwa kwake zaidi ya miaka 20 iliyopita imekuwa na mchango mkubwa sana kwa jamii ya wakazi…
9 February 2024, 8:02 pm
Kijana ajitosa kwenye maji kutoka kwenye kivuko Ziwa Victoria
Matukio ya Watu kujitosa kwenye maji yameanza kujitokeza ambapo mwanzoni mwa mwaka huu kijana mmoja alijitosa baharini kutoka katika boti ya Zanzibar III na mwili wake ukapatikana baada ya siku 3. Na.Said Mahera Kijana mmoja aliyejulikana kwa majina ya Mashauri…
8 February 2024, 7:23 pm
Wanusurika kifo baada ya kula samaki wanaodaiwa kuwa na sumu Sengerema
Matukio ya watu kula samaki wanaodaiwa kuwa na sumu hutokea kwa baadhi ya maeneo hapa nchini ambapo katika kijiji cha Igaka ndio mara ya kwanza kutokea. Na:Said Mahera Watu saba wa familia moja wamenusulika kifo baada ya kula mbonga aina…
7 February 2024, 7:59 pm
Mwili wa kichanga waokotwa kwenye shamba la mahindi Sengerema
Tukio la kichanga kukutwa kimefariki kwenye Shamba la mahindi limewashangaza na kuibua hisia tofauti kwa wakazi wa kijiji cha Ngoma, ambapo mpaka sasa hawajaweza kutambua mama wa kichanga hicho. Na; Emmanuel Twimanye Mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa miezi 8…
5 February 2024, 5:15 pm
Mtoto afariki kwa kutumbukia kwenye shimo la choo mjini Sengerema
Wananchi mjini Sengerema wametakiwa kufunika au kufukia mashimo yaliowazi ili kuepusha matukio ya watoto kutumbukia na atakae kaidi sheria kali zitachukuliwa dhidi yake. Na:Tumain John Mtoto anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 5 mkazi wa mtaa Geita road kata ya…
5 February 2024, 5:04 pm
Mwizi wa kuku aua, atokomea kusikojulikana
Wananchi wataka sungusungu kurudishwa ili kukabiliana na vitendo vya uharifu pamoja na wizi wa kuku unaoendelea kutokea kata ya Sungamile Wilayani Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 40 ameuawa kwa kudaiwa kuchomwa na kisu na mtu anayedaiwa…
1 February 2024, 3:12 pm
37 wakutwa na kipindupindu Sengerema
Licha ya Serikali kutoa vifaa tiba na kinga vyenye thamani zaidi ya Sh milioni 7 kwenye mikoa mitatu ya Kanda ya Ziwa kwa ajili ya kukabiliana na ugonjwa wa kipindupindu pamoja na dawa za kutibu maji kwa kuua wadudu wenye vimelea…
30 January 2024, 2:32 pm
Mlinzi achinjwa na watu wasiojulikana usiku Sengerema
Matukio ya walinzi kuuawa mjini Sengerema yamekuwa yakijirudia mara kwa mara kila mwaka jambo hili limekuwa likihusishwa na imani za kishirikina pamoja na wivu wa kimapenzi. Na;Said Mahera Mtu mmoja anaesadikiwa kuwa ni mlinzi wa kampuni ya ulinzi ya Mwasenda …