Sengerema FM

Recent posts

30 October 2023, 9:10 pm

Azua taharuki akidhaniwa kuwa mchawi kanisani

Matukio ya watu kudhaniwa kuwa wachawi yamezidi kushika kasi wilayani Sengerema ambapo mwanzoni mwa mwaka huu 2023 wanawake wanne waliodhaniwa kuwa ni wachawi walikamatwa eneo la Mwabaruhi mjini Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye. Katika hali isiyokuwa ya kawaida , Mwanamke anayekadiriwa kuwa…

30 October 2023, 9:02 pm

Wazazi walalamikiwa kushindwa kulipa Ada za watoto wao

Shule ya Sekondari Ntunduru imekuwa ikifanya vizuri tangu kuanzishwa kwake mwaka 2004, ambapo kwa mwaka huu 2023 jumla ya wahitimu 70 wanatarajia kufanya mtihani wa kidato cha nne wakiwa wasichana 37 na wavulana 33. Na:Joyce Rollingstone. Shule ya sekondari ntunduru…

25 October 2023, 6:54 pm

Taka zazua taharuki kwa wakazi wa Mission Sengerema

Kwa muda mrefu sasa Halmashauri ya Sengerema imekuwa ikikabiliwa na changamoto la murundikano wa taka kwenye vizimba vya taka vilivyopo maeneo mbalimbali mjini, jambo hili limepelekea baadhi ya wafanya usafi kuzoa kwenye vizimba na kwenda kuzitelekeza kwenye makazi ya waatu…

23 October 2023, 11:55 am

Amuua kaka yake kisa shamba la urithi

Matukio ya mauaji ya watu wakigombea mali za urithi yameshamiri kwa mikoa ya Kanda ya ziwa hasa yakiwahusisha ndugu wa karibu, ambapo wananchi wamelimba jeshi la polisi kwa kushirikiana na asasi za Kiraia wanalojukumu la kuzidi kutoa elimu zaidi dhiidi…

17 October 2023, 2:26 pm

Wazazi washauriwa kuanzisha ujenzi wa hosteli

Shule ya sekondari Kijuka imeanzishwa mwaka 2012 kwa nguvu ya wananchi na serikali ambapo tangu kuanzishwa imekuwa ikifanya vibaya kitaaluma kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu na kwa mwaka huu 2023 wamehitimu wanafunzi 42 kati ya wanafunzi 88 walioanza kidato…

16 October 2023, 2:18 pm

Mtoto wa miaka 3 afa maji wilayani Sengerema

Ikumbukwe mwezi September watoto wanne walipoteza maisha kwa kuzama kwenye bwawa kata ya Katunguru na kufanya jumla ya watoto sita kufa maji maeneo tofauti tofauti wilayani Sengerema kwa mwaka huu 2023. Na;Emmanuel Twimanye. Mtoto wa kike mwenye umri wa miaka…

10 October 2023, 1:42 pm

TCB Bank yawapiga msasa wasitaafu Sengerema

Baadhi ya wastaafu wamekuwa na tabia ya kuoa vibinti vidogo baada ya kulipwa mafao yao jambo linalopelekea vifo vya mapema na kutoa laana kwa watoto wao nchini. Na Anna Elias Zaidi ya wastaafu 270 mjini Sengerema wamepatiwa mafunzo na benki…

28 July 2023, 8:27 am

Mwanaume wa miaka 30 atuhumiwa kumbaka mtoto wa miaka miwili Sengerema

Matukio ya ubakaji yamezidi kushika kasi wilayani Sengerema, jambo linalopelekea wadau wa kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia kujitokeza hadharani na kupinga vikali vitendo hivyo na kuiomba serikali kuwachukulia hatua kali wanaofanya vitendo hivyo. Na. Anna Elias Mtoto wa miaka…