Recent posts
27 July 2023, 5:10 pm
Wananchi Buchosa walia na ubovu wa barabara
Baadhi ya barabara kongwe nchini zimeonekana kutelekezwa na serikali ili hali zilitumika katika harakati za kudai uhuru wa taifa la Tanganyika zaidi ya miaka 60 iliyo pita. Na: Katemi Lenatusi Wananchi wa vijiji vya Busekeseke na Magulukenda katika kata ya …
27 July 2023, 4:40 pm
Atuhumiwa kumbaka, kumpa ujauzito mwanae wa kambo
Wimbi la watoto wa kike kubakwa katika Halmashauri ya Sengerema linazidi kushika kasi ambapo wadau wa kupinga ukatili wa kijinsia wilayani hapo wamejitokeza na kulaani vitendo hivyo. Na: Anna Elias Mwanafunzi wa miaka 14 anayesoma darasa la saba katika shule…
5 July 2023, 1:54 pm
Mtoto afariki kwa kushambuliwa na Fisi
Kutokana na kuongezeka kwa matukio ya Fisi kushambulia watu na mifungo wilayani sengerema, hali hiyo imezua hofu, huku baadhi yao wakishindwa kufanya shughuli za maendeleo Na:Emmanuel Twimanye Mtoto mwenye umri wa miaka 5 aliyeshambuliwa na Fisi na kujeruhiwa sehemu mbalimbali…
5 July 2023, 11:51 am
Serikali yaboresha huduma za afya Sengerema vijijini
Kufuatia baadhi ya watu katika jamiii kuamini imani za kishirikina na kuamini zaidi waganga wa jadi, serikali imeanza kuboresha huduma za afya nchini. Na: Elisha Magege Kufuatia kuwepo kwa maabara kwenye zahanati ya Mayuya iliyopo kata ya Tabaruka halmashauri ya…
4 July 2023, 2:51 pm
Kipindi cha maisha ni afya
Sikiliza kipindi cha maisha ni Afya kuhusu uboreshaji wa kitengo cha mama,baba na mtoto kutoka Hospital Teule ya Wilaya ya Sengerema SDDH.
4 July 2023, 11:17 am
Mkurugenzi aamuru wafanyabiashara kuondoka kando ya barabara
Kutokana na wafanyabiashara mjini Sengerema kuendesha shughuli zao pembezoni mwa barabara na kupelekea hofu ya kutokea ajali, hali hiyo imemuibua mkurugenzi wa halmashauri hiyo na kutoa siku tatu kwa wafanyabiashara hao kuondoka maeneo hayo . Na: Said Mahera Mkurugenzi Mtendaji…
3 July 2023, 12:29 pm
TANESCO wakata umeme chanzo cha maji Sengerema
Kutokana na Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira mjini Sengerema SEUWASA kukabiliwa na malimbikizo ya deni la umeme kiasi cha shilingi milioni mia tatu, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekata huduma ya umeme katika chanzo cha maji kilichopo Nyamazugo.…
2 May 2023, 11:40 am
TUCTA Mwanza waitaka serkali kuchukua hatua kwa waajiri wanao nyanyasa wafanyaka…
Chama cha wafanyakazi Mkoani Mwanza TUCTA kimelaani vikali waajiri wanaowanyanyasa wafanyakazi sehemu za kazi ikiwemo kutowalipa stahiki zao kwa wakati. Hayo yamesemwa na katibu wa chama cha wafanyakazi mkoani mwanza Zebedayo Athuman wakati akisoma risala kwa mgeni rasmi katika maadhimisho…
3 February 2023, 3:54 pm
Akamatwa na jeshi la polisi kwa kumshushia kipigo mtoto mdogo
Mama mlezi aliyemshambulia kwa kipigo kikali mwanafunzi wa darasa la kwanza katika shule ya Msingi Bukala Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza na kumjeruhi vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa madai ya kukojoa kitandani hatimaye amekamatwa na jeshi la Polisi wilayani…
16 July 2022, 3:55 pm
Waziri Makamba atoa ahadi hii kwa wananchi Sengerema
Waziri wa Nishati Nchini Mh,January Makamba amewahidi wananchi Wilayani Sengerema Mkoani Mwanza kutatua tatizo sugu la kukatika kwa umeme ili kuwaondolea adha hiyo inayowakabili kwa muda mrefu . Waziri Makamba amesema hayo wakati akizungumza na wananachi katika mkutano wa hadhara…