Afya
6 July 2026, 11:56
Kasulu waiomba serikali kupitia upya bei ya tumbaku
Bei ya mazao ya kilimo ina mchango mkubwa katika maisha ya mkulima na maendeleo ya taifa kwa ujumla na miongoni mwa mazao hayo ni tumbaku, ambayo hulimwa katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania na kuwa chanzo muhimu cha kipato kwa…
3 July 2026, 09:49
Mlimba yalenga kukusanya bilioni 9.3
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imepanga kukusanya shilingi bilioni 9.3 kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikilenga kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma kwa wananchi. Na: Kuruthum Mkata Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imeweka…
29 June 2026, 13:19
Hakirasilimali yatoa elimu ya madini
Wananchi wa vijiji vya Epanko, Kisewe na Mdindo wilayani Ulanga wamepata elimu kuhusu haki za madini, fidia na ushiriki wao katika miradi ya uwekezaji, huku wakipata fursa ya kuhoji masuala mbalimbali yanayohusu mgawanyo wa mapato na manufaa ya rasilimali za…
23 June 2026, 07:09
Vijana 50 wapatiwa mafunzo mbasa
Vijana 50 wa Kata ya Mbasa, Halmashauri ya Mji Ifakara, wamepatiwa mafunzo ya ujasiriamali, afya ya uzazi na stadi za maisha na Shirika la WISE, yakilenga kuwawezesha kujiajiri na kuboresha maisha yao kiuchumi. Na: Isidory Mtunda Vijana wapatao 50 kutoka…
22 June 2026, 20:23
CRDB yazindua kampeni ya bonge la Wakala Kilombero
Lengo ni kuhakikisha huduma za kifedha zinawafikia wananchi kwa urahisi zaidi kupitia mawakala wetu waliopo karibu na maeneo Na Katalina Liombechi Benki ya CRDB imezindua kampeni ya miezi sita ya “Bonge la Wakala” kupitia huduma ya Simbanking kimpango wako inayolenga…
19 June 2026, 22:06
Uvinza yajiandaa ununuzi wa pamba msimu wa 2025/2026
Mpango huo umetajwa na kuwa na manufaa kwa wakulima iwapo utasimamiwa vizuri na kuhakikisha wakulima wanapata faida Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mh. Dinah Mathamani, ameongoza kikao cha wadau wa zao la pamba kilichofanyika Juni 19, 2025…
8 June 2026, 11:15 am
Sagayika alaani tukio la mwanafunzi kubakwa Chato
Jeshi la Polisi limeeleza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi na kuhakikisha haki inatendeka. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa ambae…
4 June 2026, 11:48 am
Kasulu washauriwa kutumia mamlaka kusuluhisha migogoro ya ardhi
Mkaguzi msaidizi wa polisi ( A/Insp.) Willy Lupa ambaye ni Polisi kata ya Nyamunyusi amesema wananchi wanaokumbana na migogoro ya aridhi kusuluhisha katika mamalaka husika kabla ya kufikishana polisi. Na; Paulina Majaliwa Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kusuluhisha migogoro…
3 June 2026, 1:38 pm
CCM Geita yalaani tukio la binti kubakwa kisha mtuhumiwa kuomba malipo
Ili kukabiliana na changamoto ya watoto wa kike kukumbana na matukio kama hayo wakazi wa kijiji hicho wameomba serikali ikamilishe ujenzi wa shule ya sekondari eneo hilo ambayo ipo katika hatua nzuri. Na: Mrisho Sadick Mwanafunzi wa shule ya sekondari…
19 May 2026, 16:01
Wanunuzi wa mazao wakutana na changamoto ya mizani Kigoma
Siku ya Vipimo duniani huadhimishwa kila tarehe 20 Mei kila mwaka na siku hii inalenga kuhamasisha matumizi sahihi ya vipimo katika biashara, viwanda na maisha ya kila siku na vipimo sahihi vina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi na kulinda…