Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
8 September 2026, 13:15
DC Kilombero awataka wananchi wanaoishi mabondeni kuhama mapema na kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El Niño. Na: Kuruthum Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amewataka Watendaji wa Kata, Vijiji na Vitongoji kubainisha kaya zote zinazoishi…
8 September 2026, 12:51
Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema Mkoa wa Morogoro umeripoti matukio 2,129 ya uhalifu wa mtandao, huku Wilaya ya Kilombero ikiongoza kwa kuripoti matukio 1,780. Na Kuruthum Mkata Akizungumza katika mkutano wa wadau wa mawasiliano, Mkurugenzi Mkuu wa TCRA, Mhandisi…
7 September 2026, 21:16
Na: Henry Mwakifuna Wadau wanaojihusisha na shughuli za bidhaa za misitu Wilayani Kilombero, Mkoa wa Morogoro, wametakiwa kufuata utaratibu wa kujisajili na kuzingatia sheria na kanuni zinazosimamia shughuli hizo. Akizungumza na Redio Pambazuko FM, Mhifadhi kutoka Wakala wa huduma za…
2 September 2026, 14:02
“Tunaishukuru Serikali kutufikishia umeme katika kitongoji chetu itatusaidia kukuza biashara, viwanda vidogo na shughuli za ujasiriamali.”-Wananchi Ikwambi Na Kuruthum Mkata. Wananchi wa Kitongoji cha Ikwambi, Kijiji cha Sululu, Kata ya Signal wilayani Kilombero, wameishukuru Serikali kwa kuwafikishia huduma ya umeme…
31 August 2026, 21:03
Shule ya Msingi Ihowanja wilayani Malinyi, mkoani Morogoro, imepata madarasa mawili mapya pamoja na madawati 30 kupitia Vodacom Tanzania Foundation, hatua inayolenga kupunguza uhaba wa madarasa uliokuwa ukiifikia 16 na kuboresha mazingira ya kufundishia na kujifunzia kwa wanafunzi. Na: Latipha…
24 August 2026, 22:48
TFS Kilombero imekabidhi madawati 50 yenye thamani ya shilingi milioni saba kwa Shule ya Msingi Signal, ikiwa ni sehemu ya kurejesha fadhila kwa wananchi wanaoshiriki katika uhifadhi wa Msitu wa Nangachi. Msaada huo unalenga kuboresha mazingira ya kujifunzia huku viongozi…
19 August 2026, 13:19
Mkuu wa wilaya ya Kilombero, wakili Dunstan Kyobya, ametoa onyo kali kwa wafugaji wanaochochea migogoro ya ardhi inayotishia amani na kusababisha vifo, akiwemo mkasa wa hivi karibuni wa Afisa Ardhi Ifakara. Wakati huohuo, Kaimu Mkurugenzi wa mji huo, Dk. Yuda…
17 August 2026, 21:33
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amewasihi wafugaji kuiga mfano wa Mfugaji Bora wa Mkoa wa Morogoro, John Kasekele, kwa kufuga kisasa na kwa tija ili kukuza uchumi na kuepusha migogoro na wakulima. Hafla hiyo iliyohudhuriwa pia na…
17 August 2026, 16:21
Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeeleza kuwa itakamilisha maboma ya kata na vijiji hatua kwa hatua kadri bajeti itakavyopatikana, kufuatia ombi la Diwani wa Kisawasawa, Justus Ndege. Katika kikao hicho cha Baraza la Madiwani, Mwenyekiti Kassim Nakapala aliwataka viongozi kusimamia…
17 August 2026, 15:18
”Majengo yote ya Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara yafanyiwe tathmini na Tanesco ili kupata huduma ya Umeme akitolea mfano shule ya Sekondari ya Ihanga ambayo imejengwa lakini haina Umeme”-Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Kassim Nakapala. Na…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.