18 February 2023, 1:18 pm

Wanufaika wa Tasaf walia kuondolewa kwa ruzuku-Ifakara

Na Elias Maganga Wanufaika wa mfuko wa maendeleo ya Jamii Tasaf awamu ya tatu Kata ya Mbasa katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamekuwa na hali ya sintofahamu juu ya ruzuku ya msingi na utekelezaji wa mradi wa barabara huku …

Offline
Play internet radio

Recent posts

4 June 2023, 4:39 pm

Sweden yatoa shilingi bilioni 10 utunzaji mazingira

Mradi wa SUSTAIN –ECO utasaidia kuhamasisha shughuli za maendeleo ambazo ni rafiki kwa mazingira ikiwa ni pamoja na kilimo cha kakao, miwa, mpunga, kilimo cha miti na shughuli zingine zinazoendeleza uhifadhi Na Katalina Liombechi Mradi wa SUSTAIN-ECO unakwenda kutatua changamoto…

27 May 2023, 12:03 pm

Tembo wachangia maendeleo -Ifakara

Kutokana na wananchi wa Kijiji cha Sole kata ya Mkula Halmashauri ya Mji wa Ifakara kutembea umbali mrefu kufuata huduma za Afya,STEP,imekabidhi hundi ya kiasi cha Shilingi Mil 10 ,kwa ajili ya Ujenzi wa Zahanati ya Kijiji hicho hali itakayosaidia…

16 May 2023, 7:28 pm

Dhana ya Afya Moja katika kutatua changamoto za kiafya

Udhibiti wa magonjwa mbalimbali hauwezi kupatikana kwa kutumia wataalam wa sekta husika pekee hivyo kwa kutumia dhana ya Afya Moja itasaidia kupata suluhu ya afya ya binadamu, wanyama pamoja na mazingira. Na Katalina Liombechi Wataalam wa sekta mbalimbali katika bonde…

26 April 2023, 2:46 pm

Wanaushirika Kilombero wapatiwa mafunzo

wanachama wa ushirika wa uvuvi,usindikaji na masoko wakifuatilia mafunzo{Picha na Elias Maganga} Vyama vingi vya ushirika vimekufa kutokana na kutokuwa na elimu ya ushirika na kutokuwa na siri, hivyo wanachama wametakiwa kuitumia elimu waliyoipata ili kuundeleza ushirika huo Na Elias…

12 April 2023, 7:39 pm

TCCIA Kilombero inaenda kwa kusua sua

Wanachama wetu wanataka chama kiwasaidie na sio wakisaidie chama,wakipata fursa ya mikopo na wakamaliza mikopo hawaoni tena umuhimu wa chama,kwani wanachama wengi wakitatuliwa matatizo yao hawaonekani tena kwenye chama-Samson Ngwila Na Elias Maganga Wanachama wa Chama cha wafanyabiashara ,wenye viwanda…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.