Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
3 July 2026, 09:49
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imepanga kukusanya shilingi bilioni 9.3 kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikilenga kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma kwa wananchi. Na: Kuruthum Mkata Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imeweka…
30 June 2026, 11:52
Wafugaji wa kuku katika Kata ya Mwaya wamepatiwa mafunzo ya utambuzi wa magonjwa, kinga na mbinu bora za ufugaji ili kuongeza uzalishaji na kupunguza hasara. Na: Henry Mwakifuna Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya ufugaji wa kuku yaliyofanyika katika Kata…
29 June 2026, 13:19
Wananchi wa vijiji vya Epanko, Kisewe na Mdindo wilayani Ulanga wamepata elimu kuhusu haki za madini, fidia na ushiriki wao katika miradi ya uwekezaji, huku wakipata fursa ya kuhoji masuala mbalimbali yanayohusu mgawanyo wa mapato na manufaa ya rasilimali za…
24 June 2026, 19:56
Viongozi na watendaji wa ushirika watakiwa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia vitendo vya rushwa ili kuongeza ufanisi katika utendaji na kuimarisha imani ya wanachama Na Katalina Liombechi Uwepo wa baadhi ya watendaji na wajumbe wa bodi wasio waaminifu pamoja na…
23 June 2026, 19:54
Inaelezwa kuwa udhibiti wa magonjwa ni njia muhimu ya kuongeza tija na kupunguza hasara kwa wafugaji Na Henry Bernad Mwakifuna Dokta Khamis Nyoni, Mkufunzi kutoka Wakala wa Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Morogoro, amesema kuwa ufugaji bora unaweza kumwezesha…
23 June 2026, 19:35
Licha ya kuamini umoja kuwa sauti yao kukabiliana na changamoto hizo wameziomba mamlaka husika kuendelea kutoa elimu ya sheria za mirathi na haki za wajane ili kupunguza vitendo vya unyanyasaji vinavyoendelea kujitokeza kwa baadhi ya watu Na Katalina Liombechi Wakati…
23 June 2026, 19:13
Mazingira rafiki na wezeshi yanaongeza fursa za ajira na kuchochea maendeleo ya uchumi wa eneo la Ifakara na Wilaya ya Kilombero kwa ujumla. Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amesema Serikali chini ya uongozi wa…
23 June 2026, 07:09
Vijana 50 wa Kata ya Mbasa, Halmashauri ya Mji Ifakara, wamepatiwa mafunzo ya ujasiriamali, afya ya uzazi na stadi za maisha na Shirika la WISE, yakilenga kuwawezesha kujiajiri na kuboresha maisha yao kiuchumi. Na: Isidory Mtunda Vijana wapatao 50 kutoka…
22 June 2026, 20:23
Lengo ni kuhakikisha huduma za kifedha zinawafikia wananchi kwa urahisi zaidi kupitia mawakala wetu waliopo karibu na maeneo Na Katalina Liombechi Benki ya CRDB imezindua kampeni ya miezi sita ya “Bonge la Wakala” kupitia huduma ya Simbanking kimpango wako inayolenga…
18 June 2026, 20:36
Shirika la Six Rivers Africa limetoa mafunzo hayo likiamini kuwa elimu ya ikolojia inayowafikia wanafunzi kupitia walimu wao itachangia kujenga kizazi chenye uelewa wa kina kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira Na Katalina Liombechi Shirika la Six Rivers Africa limetoa mafunzo…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.