Pambazuko FM Radio

Recent posts

23 April 2026, 19:00

Vitongoji 68 kunufaika na umeme Morogoro kusini

“Utekelezaji wa miradi ya uunganishaji umeme na upanuzi wa vituo vya kupooza umeme inatarajiwa kuleta mabadiliko makubwa katika maisha ya wananchi kwa kuongeza fursa za kiuchumi na kuboresha huduma za kijamii“ Na Katalina Liombechi Shirika la Umeme Tanzania, TANESCO Mkoa wa…

23 April 2026, 13:59

Zaidi ya kaya 200 kata ya Idete zapatiwa vyandarua

Vyandarua hivi mnavyopewa na serikali lengo lake ni kuboresha afya zenu ili kujikinga na Malaria-Bi.Esther Nyasebwa, Mtendaji wa Kata. Na Kuruthum Mkata Mtendaji Kata ya Idete, Halmashauri ya Mlimba Wilayani Kilombero mkoani Morogoro, ameongoza zoezi la ugawaji wa vyandarua kwa…

21 April 2026, 18:58

Wananchi Ifakara wahimizwa kukata bima NHIF

Kupitia vifurushi NHIF, wanachama wanaweza kupata huduma za matibabu katika vituo mbalimbali vya afya vilivyosajiliwa, jambo linalorahisisha upatikanaji wa huduma hizo bila gharama kubwa ya papo kwa papo Na Katalina Liombechi Jamii imetakiwa kuchukua hatua madhubuti za kujihakikishia huduma bora…

16 April 2026, 15:25

TAWA yapanda miti 2,500 hifadhi Utengule

Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA,  inaendelea na juhudi za kurejesha uoto wa asili katika Hifadhi ya Kilombero ‘ Eneo A’ kwa kupanda miche ya miti 2,500, huku ikiimarisha ulinzi wa eneo hilo na kushirikisha jamii katika uhifadhi…

2 April 2026, 14:38

EDO Ifakara Yahamasisha Kilimo cha Mbogamboga kwa Njia Mbadala

“Ni wakati sasa kwa wananchi kubadili mtazamo na kuanza kutumia mbinu za kisasa zaidi za kilimo,kwa kutumia njia badala ya kutegemea ardhi pekee, wananchi wanaweza kulima kwa kutumia mifuko na ndoo, maarufu kama “plastic gardening”-Mkurugenzi wa Taasisi ya EDO, Bi.…

2 April 2026, 13:53

Megawati 11 hazitumiki kituo cha kupoza Umeme Ifakara

Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo   REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…

29 March 2026, 09:17

Wanawake Ifakara wahimizwa kuchangamkia mikopo

Hata hivyo, baadhi ya wanawake wamesema bado wameshindwa kunufaika na mikopo hiyo kutokana na kupata usumbufu,ukosefu wa uelewa na wengine hushindwa kufikia vigezo vinavyohitajika. Na Katalina Liombechi Wanawake Katika Halmashauri ya mji wa Ifakara wametakiwa kuendelea kuchangamkia fursa za uwezeshwaji…

27 March 2026, 20:57

DC Kyobya akagua miradi ya mwenge 2026 Ifakara

Miradi hii inatarajiwa kupitiwa na mwenge wa uhuru ikilenga kuboresha huduma za kijamii na miundombinu kwa wananchi wa eneo hilo Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameongoza Kamati ya Usalama ya Wilaya leo katika ziara…

26 March 2026, 16:39

AWF, IUCN wapunguza migogoro ya tembo Udzungwa

Jitihada hizo zimefanikiwa kwa kuungwa mkono na (AWF) kupitia mradi wa Sustain-Eco wanaoutekeleza kwa kushirikiana na IUCN Na Hospice lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa imendelea kuchukua hatua za kupunguza mwingiliano kati ya binadamu na tembo kwa…

25 March 2026, 19:33

Moro yazindua ugawaji miche bora ya korosho

Lengo ni kuinua kipato cha wakulima kuchangia kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla. Na Katalina Liombechi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mheshimiwa Adam Malima, amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa miche bora ya mikorosho kwa wakulima wa mkoa…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.