Pambazuko FM Radio
Pambazuko FM Radio
24 July 2026, 09:10
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limetoa elimu ya usalama barabarani kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller wa Tarafa ya Mang’ula, likiwataka kuzingatia sheria ili kupunguza ajali. Na: Isidory Mtunda Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limesema…
23 July 2026, 18:16
Benki ya CRDB imekabidhi vitanda 33 vya wagonjwa na makabati 26 vyenye thamani ya shilingi milioni 25 kwa Hospitali ya Saratani ya Good Samaritan Ifakara, ili kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa. Na: Hospice Lipipa Benki ya CRDB imekabidhi vitanda…
23 July 2026, 13:24
Na Elias Maganga Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amesimamia utatuzi wa migogoro miwili ya ardhi katika Kijiji cha Michenga, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, iliyokuwa imedumu kwa miaka kadhaa na kufikishwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba…
23 July 2026, 08:22
Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka wamiliki na madereva wa matrekta pamoja na power tiller kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuhakikisha vyombo vyao vina taa, viakisi mwanga na madereva wanakuwa na leseni halali ili kupunguza ajali. Na: Isidory…
14 July 2026, 12:53
“Soko letu linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uchafu, kukosekana kwa choo bora pamoja na ulinzi hivyo tunaiomba Serikali kupitia Halmashauri ya Mji wa Ifakara itusaidie kutatua changmoto hizi ili tuendelee na biashara zetu“Wafanyabiashara Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya…
3 July 2026, 09:49
Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imepanga kukusanya shilingi bilioni 9.3 kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikilenga kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma kwa wananchi. Na: Kuruthum Mkata Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imeweka…
30 June 2026, 11:52
Wafugaji wa kuku katika Kata ya Mwaya wamepatiwa mafunzo ya utambuzi wa magonjwa, kinga na mbinu bora za ufugaji ili kuongeza uzalishaji na kupunguza hasara. Na: Henry Mwakifuna Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya ufugaji wa kuku yaliyofanyika katika Kata…
29 June 2026, 13:19
Wananchi wa vijiji vya Epanko, Kisewe na Mdindo wilayani Ulanga wamepata elimu kuhusu haki za madini, fidia na ushiriki wao katika miradi ya uwekezaji, huku wakipata fursa ya kuhoji masuala mbalimbali yanayohusu mgawanyo wa mapato na manufaa ya rasilimali za…
24 June 2026, 19:56
Viongozi na watendaji wa ushirika watakiwa kuchukua hatua madhubuti za kuzuia vitendo vya rushwa ili kuongeza ufanisi katika utendaji na kuimarisha imani ya wanachama Na Katalina Liombechi Uwepo wa baadhi ya watendaji na wajumbe wa bodi wasio waaminifu pamoja na…
23 June 2026, 19:54
Inaelezwa kuwa udhibiti wa magonjwa ni njia muhimu ya kuongeza tija na kupunguza hasara kwa wafugaji Na Henry Bernad Mwakifuna Dokta Khamis Nyoni, Mkufunzi kutoka Wakala wa Mafunzo ya Mifugo (LITA) Kampasi ya Morogoro, amesema kuwa ufugaji bora unaweza kumwezesha…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.