Recent posts
15 October 2023, 10:11 am
Wakazi wa Mlimba wapokea huduma za kibingwa za afya kwa furaha
Baadhi ya wagonjwa wakisubiri huduma za kibingwa -Picha na Isidory Matandula Madaktari bingwa wa mfumo wa mkojo na ENT (Ear, Norse and Throat) kutoka hospitali ya rufaa ya Mtakatifu Fransisko, Ifakara, wiki hii wametoa huduma za kibingwa katika Kituo cha…
4 October 2023, 12:12 am
Wilaya tatu Morogoro zanufaika na elimu ya msaada wa kisheria
wananchi wakifuatilia mafundisho kutoka kwa mwezeshaji wa Morogoro Paralegal Center – Picha Isidory Kituo cha msaada wa kisheria Morogoro Paralegal Center(MPLC), katika ziara ya uhamasishaji (outreach) kimebaini changamoto za kisheria kwa wakazi wilaya za Kilombero, Malinyi na Ulanga, ambao wanakabiliwa…
31 August 2023, 11:37 pm
AWF yakabidhi vifaa vya kusaidia uhifadhi wa mazingira vyenye thamani ya zaidi y…
Meneja wa AWF Clarence Msafiri (kushoto) akikabidhi Vifaa hivyo na Mtendaji wa Kata ya Vidunda Peter Lezile akipokea (Picha Katalina Liombechi) Shirika linalojihusisha na uhifadhi wa Mazingira Afrika (AWF) limetoa vifaa hivyo ni katika Utekelezaji wa Mradi wa SUSTAIN_ECO Unaotekelezwa…
14 August 2023, 6:55 pm
Jamii imetakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na Siasa
Jamii ya Kata ya Usangule Wilayani Malinyi wametakiwa kutohusisha Majukwaa ya wanawake na mambo ya kisiasa kwani majukwaa hayo yapo kwa ajili ya kuwawezesha wanawake kiuchumi Na Katalina Liombechi Wanawake wa Jukwaa la uwezeshwaji kiuchumi Kata ya Usangule Wilayani Malinyi…
7 July 2023, 5:09 pm
Timu ya Msolwa Station yaibuka bingwa-Tembo cup
Na Katalina Liombechi Mashindano ya Kilombero Tembo Cup yamemalizika kwa Msimu huu wa Mwaka 2023 baada ya Fainali iliyokutanisha Timu ya Msolwa Station kuibuka na Ushindi wa Mabao 5-4 dhidi ya Mang’ula B ushindi ambao umepatikana kwa Mikwaju ya Penati.…
29 June 2023, 10:45 pm
Waganga tiba asili, mbadala waagizwa kuzingatia maadili
Waganga wa tiba asili na tiba mbadala mji wa Ifakara – Picha na; Isidory Mtunda Waganga wa tiba asili na tiba mbadala halmashauri ya mji wa Ifakara, wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro wameagizwa kufanya huduma ya kuponya wagonjwa na kuachana…
17 June 2023, 1:46 pm
Morogoro: Wananchi kijiji Minepa wailalamikia serikali ya kijiji kuwapora masham…
Mafunzo yaliyotolewa na Morogro Paralegal, juu ya sheria ya ndoa, talaka, mirathi na ardhi, yameibua mashauri mbalimbali kwa wananchi wa kata ya Minepa, wilaya ya Ulanga, ambao walihudhuria mkutano huo. Na; Isidory Mtunda Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Minepa,…
17 June 2023, 12:39 pm
Sheria: Mwanamke kupata talaka kisheria inawezekana bila mamlaka za dini
Wanancnchi wakimsikiliza msaidizi wa kisheria kutoka Morogoro Chediele Senzighe katika moja ya mikutano katika kata ya Mkula – Ifakara Kilombero – Picha Isidory Mtunda. Wanawake wengi wametengana kutokana na sheria za dini zao zinazoeleza kuwa hakuna kuachana mpaka kifo kitakapowatenganisha,…
7 June 2023, 10:09 am
DC Kilombero: Zingatia matumizi sahihi uhifadhi mazingira
“Nawaagiza wananchi wa kijiji cha Chiwachiwa pamoja na viongozi kutunza na kuhakikisha miti 500 iliyopandwa katika shule ya msingi Chiwachiwa inakua”. Mkuu wa wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya Na; Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa katika kijiji cha Chiwachiwa halmashauri ya…
4 June 2023, 4:39 pm
Sweden yatoa shilingi bilioni 10 utunzaji mazingira
Mradi wa SUSTAIN –ECO utasaidia kuhamasisha shughuli za maendeleo ambazo ni rafiki kwa mazingira ikiwa ni pamoja na kilimo cha kakao, miwa, mpunga, kilimo cha miti na shughuli zingine zinazoendeleza uhifadhi Na Katalina Liombechi Mradi wa SUSTAIN-ECO unakwenda kutatua changamoto…