2 April 2026, 13:53

Megawati 11 hazitumiki kituo cha kupoza Umeme Ifakara

Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo   REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…

On air
Play internet radio

Recent posts

30 July 2026, 09:47

Madereva wa Matrekta Mlimba Wapewa Elimu

Jeshi la Polisi Mkoani Morogoro limefanya mafunzo ya sheria za usalama barabarani kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller katika Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba. Mafunzo hayo yamelenga kupunguza ajali, vifo, na majeraha, huku wataalamu wakifafanua taratibu za…

29 July 2026, 07:43

Polisi yamulika Matrekta Mlimba Kuzuia ajali

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro kupitia kitengo cha usalama barabarani limeendeleza kampeni ya kutoa elimu kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller wilayani Mlimba ili kumaliza kabisa tatizo la ajali za barabarani. Na: Isidory Mtunda Jeshi la…

25 July 2026, 13:58

Wamiliki matrekta wapongeza polisi Kilombero

Wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero wamepongeza jeshi la polisi kwa mafunzo ya usalama barabarani, huku wakipokea maelekezo ya kujiorodhesha ili kurahisisha utoaji wa mafunzo na leseni katika eneo lao. Na: Isidory Mtunda…

24 July 2026, 09:10

Polisi watoa elimu usalama matrekta

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limetoa elimu ya usalama barabarani kwa wamiliki na madereva wa matrekta na power tiller wa Tarafa ya Mang’ula, likiwataka kuzingatia sheria ili kupunguza ajali. Na: Isidory Mtunda Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limesema…

23 July 2026, 18:16

CRDB yakabidhi vitanda Good Samaritan

Benki ya CRDB imekabidhi vitanda 33 vya wagonjwa na makabati 26 vyenye thamani ya shilingi milioni 25 kwa Hospitali ya Saratani ya Good Samaritan Ifakara, ili kuboresha huduma za matibabu kwa wagonjwa. Na: Hospice Lipipa Benki ya CRDB imekabidhi vitanda…

23 July 2026, 13:24

Mkuu wa wilaya ya Kilombero atatua Migogoro ya Ardhi

Na Elias Maganga Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amesimamia utatuzi wa migogoro miwili ya ardhi katika Kijiji cha Michenga, Halmashauri ya Mji wa Ifakara, iliyokuwa imedumu kwa miaka kadhaa na kufikishwa katika Baraza la Ardhi na Nyumba…

23 July 2026, 08:22

Polisi wahimiza usalama wa matrekta

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilombero limewataka wamiliki na madereva wa matrekta pamoja na power tiller kuzingatia sheria za usalama barabarani kwa kuhakikisha vyombo vyao vina taa, viakisi mwanga na madereva wanakuwa na leseni halali ili kupunguza ajali. Na: Isidory…

14 July 2026, 12:53

Dc Kilombero aagiza changamoto usafi Ifakara kutatuliwa

“Soko letu linakabiliwa na changamoto mbalimbali ikiwemo uchafu, kukosekana kwa choo bora pamoja na ulinzi hivyo tunaiomba Serikali kupitia Halmashauri ya Mji wa Ifakara itusaidie kutatua changmoto hizi ili tuendelee na biashara zetu“Wafanyabiashara Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya…

3 July 2026, 09:49

Mlimba yalenga kukusanya bilioni 9.3

Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imepanga kukusanya shilingi bilioni 9.3 kupitia mapato ya ndani katika mwaka wa fedha 2026/2027, ikilenga kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuboresha huduma kwa wananchi. Na: Kuruthum Mkata Halmashauri ya Wilaya ya Mlimba imeweka…

30 June 2026, 11:52

KV-HELP yawainua wafugaji wa kuku

Wafugaji wa kuku katika Kata ya Mwaya wamepatiwa mafunzo ya utambuzi wa magonjwa, kinga na mbinu bora za ufugaji ili kuongeza uzalishaji na kupunguza hasara. Na: Henry Mwakifuna Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya ufugaji wa kuku yaliyofanyika katika Kata…

MISSION AND VISION

OUR MISSION

Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.

OUR VISION

Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.