Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
19 August 2026, 13:19
Mkuu wa wilaya ya Kilombero, wakili Dunstan Kyobya, ametoa onyo kali kwa wafugaji wanaochochea migogoro ya ardhi inayotishia amani na kusababisha vifo, akiwemo mkasa wa hivi karibuni wa Afisa Ardhi Ifakara. Wakati huohuo, Kaimu Mkurugenzi wa mji huo, Dk. Yuda…
17 August 2026, 21:33
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili Dunstan Kyobya, amewasihi wafugaji kuiga mfano wa Mfugaji Bora wa Mkoa wa Morogoro, John Kasekele, kwa kufuga kisasa na kwa tija ili kukuza uchumi na kuepusha migogoro na wakulima. Hafla hiyo iliyohudhuriwa pia na…
17 August 2026, 16:21
Halmashauri ya Mji wa Ifakara imeeleza kuwa itakamilisha maboma ya kata na vijiji hatua kwa hatua kadri bajeti itakavyopatikana, kufuatia ombi la Diwani wa Kisawasawa, Justus Ndege. Katika kikao hicho cha Baraza la Madiwani, Mwenyekiti Kassim Nakapala aliwataka viongozi kusimamia…
17 August 2026, 15:18
”Majengo yote ya Serikali katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara yafanyiwe tathmini na Tanesco ili kupata huduma ya Umeme akitolea mfano shule ya Sekondari ya Ihanga ambayo imejengwa lakini haina Umeme”-Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Ifakara Kassim Nakapala. Na…
16 August 2026, 12:57
Jeshi la Polisi wilayani Kilombero kupitia Mkuu wa Usalama Barabarani (DTO) limewataka wafanyabiashara wa eneo la barabara ya Kilosa mjini Ifakara kuachana na tabia ya kuegesha magari ya mizigo ovyo (double parking) ili kuzuia ajali na msongamano. Na: Isidory Mtunda…
14 August 2026, 14:41
Kuelekea wiki ya nenda kwa usalama, Jeshi la Polisi kikosi cha usalama barabarani wilaya ya Kilombero limefanya ukaguzi wa magari ya Hospitali ya rufaa ya mkoa ya Mtakatifu Fransisko pamoja na magari ya watumishi, kwa lengo la kubaini kasoro na…
14 August 2026, 08:43
Madereva wa bodaboda na bajaji Tarafa ya Mang’ula wameeleza changamoto zinazowakabili, zikiwemo taratibu za mauziano ya vyombo vya moto, TIN, vyeti vya udereva na gharama za mafunzo. Wataalamu kutoka TRA, MODS na Jeshi la Polisi wametoa ufafanuzi kuhusu masuala hayo…
13 August 2026, 13:18
Picha ya wanachama wa CCM Ifakara Wakiwa kwenye Mkitano wa Hadhara katika ofisi za CCM Kilombero. Picha Kuruthum Mkata “Vijana mnapaswa kuwajibika na msikwepe majukumu ya kulea watoto kwa kuwaachia wanawake mzigo wote wa kulea watoto“ Na Kuruthum Mkata Katibu…
12 August 2026, 08:28
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Wilaya ya Kilombero, ASP Blandina Kasongwa, amefafanua mamlaka ya Polisi katika kudhibiti usalama barabarani, huku akiwataka madereva kutii maelekezo halali ya askari bila kujali aina ya sare anayovaa. Mazungumzo hayo pia yamejadili ukiukwaji wa…
11 August 2026, 08:52
Halmashauri ya Mlimba imepanga kupeleka wataalamu wake Zanzibar kwa mafunzo ya kilimo cha mazao ya viungo, kufuatia ushauri wa Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete. Hatua hiyo inalenga kuongeza ujuzi wa wataalamu na kuboresha uzalishaji wa mazao ya viungo, huku halmashauri…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.