Recent posts
3 May 2024, 12:27 am
Kikokotoo bado fumbo kwa watumishi wastaafu
Bango la shirika la Posta katika maandamano ya Mei Mosi – Picha na Isidory Matandula Mishahara duni, miundo mbinu mibovu, mikataba mibovu ya ajira, kuchelewa posho za uhamisho na kikokotoo cha wastaafu ni msalaba unaowaelemea watumishi . Na: Isidory Matandula…
2 May 2024, 7:30 pm
Kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ni kubadili tabia-Kipindi
Jamii imetakiwa kubadili tabia katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi ili kuzuia athari zitokanazo na uharibifu wa mazingira ya asili. Afisa Mazingira kutoka Idara ya Mazingira na Maliasili Halmashauri ya Mji wa Ifakara Salome Mayenga ameyasema hayo wakati akizungumza na…
2 May 2024, 7:23 pm
Ujangili unakuingiza kwenye makosa ya jinai-Kipindi
Jamii katika Bonde la Kilombero imetakiwa kufuata sheria zilizowekwa katika kuvuna rasilimali mbalimbali badala ya kufanya ujangili hali ambayo watajikuta wakiangukia kwenye makosa ya jinai. Mhifadhi Pori la Akiba Kilombero Kamanda Bigilamungu Kagoma amesema ili mtu aweze kuvuna rasilimali zinazosimamiwa…
2 May 2024, 7:17 pm
Jamii yatakiwa kuchukua hatua kukabiliana na Uharibifu wa Bionuai-Kilombero
Matumizi ya Nishati Mbadala na Majiko Banifu vimetajwa kusaidia Kupunguza utegemezi wa Mazao ya Misitu na kuelezwa kuwa njia moja wapo ya kukabiliana na Uharibifu wa Bianoai. Isack Shonga ni Afisa Mazingira Kutoka Shirika la Association Maingira ameyasema hayo wakati…
2 May 2024, 7:08 pm
Bionuai Hatarini kutokana na shughuli za Kibinadamu-Kilombero
Shughuli za Kibinadamu katika Bonde la Kilombero zimetajwa kuhatarisha uhifadhi wa Bionuai. Mratibu kutoka Shirika la Association Mazingira amezitaja shughuli hizo wakati akizungumza Na Radio pambazuko Fm kutokana na Uwepo wa Watu wanaolima kwa kuhama hama na Kuandaa mashamba kwa…
2 May 2024, 12:00 pm
Wadau wa Mazingira wakusudia kushirikisha Jamii utunzaji Endelevu wa Maliasili-K…
Changamo za kibinadamu zinavyohatarisha usalama wa Maliasili Ikiwa ni pamoja na Kilimo holela,Ufugaji kwenye maeneo ya Hifadhi,Makazi holela na Utegemezi wa Rasilimali Zilizohifadhiwa kwani watu hukata miti kwa matumizi ya kuni na Mkaa Isivyo halali. Na Katalina Liombechi Katika kukabiliana…
1 May 2024, 7:30 pm
Waandishi wa habari mjitofautishe na watoa Habari
Waandishi wa Habari wa Redio Pambazuko wamepigwa msasa wa mafunzo ya kuandika habari kwa kufuata maadili na misingi ya Habari. Na Katalina Liombechi Kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,na Uchaguzi Mkuu 2025 Waandishi wa Habari wametakiwa kujitofautisha na Watoa Habari.…
1 May 2024, 12:11 am
Wafanyakazi Morogoro walia kwa kutopandishwa madaraja
Wajumbe wa halmashauri za mkoa wa MIorogooro wameketi kikao cha mwisho mjini Ifakara, kupanga na kuweka sawabajeti kuelekea maadhimisho ya Mei Mosi 2024 Na: Isidory Matanddula Maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani katika mkoa wa Morogoro yatafanyika katika halmashauri ya…
22 April 2024, 6:49 pm
Wakazi uwanja wa taifa A mjiini Ifakara wakosa huduma za maji na choo kutokana n…
Na: Katalina Liombechi Mafuriko yamekuwa chanzo cha kukosa huduma muhimu za kibinadamu, kama vile; maji ya kunywa, vyoo, malazi na hata chakula. Hali hiyo pia imesimamisha baadhi ya shughuli za kila siku kwa kaya zilizokumbwa na mafuriko, hivyo njaa, magonjwa…
19 April 2024, 9:20 pm
Semina ya kuwawezesha wakulima kielimu ili kuongeza tija katika mazao
Picha ni wakulima na wadau wa kilimo halmashauri ya mji wa Ifakara walioshiriki semina mjini Ifakara. Picha na; Isidory Mtunda Wakulima wa halmaashauri ya mji wa Ifakara, wamepatiwa semina, ili waongeze tija katika kilimo, na kuacha kilimo cha mazooea ,…