Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
16 April 2026, 15:25
Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania – TAWA, inaendelea na juhudi za kurejesha uoto wa asili katika Hifadhi ya Kilombero ‘ Eneo A’ kwa kupanda miche ya miti 2,500, huku ikiimarisha ulinzi wa eneo hilo na kushirikisha jamii katika uhifadhi…
2 April 2026, 14:38
“Ni wakati sasa kwa wananchi kubadili mtazamo na kuanza kutumia mbinu za kisasa zaidi za kilimo,kwa kutumia njia badala ya kutegemea ardhi pekee, wananchi wanaweza kulima kwa kutumia mifuko na ndoo, maarufu kama “plastic gardening”-Mkurugenzi wa Taasisi ya EDO, Bi.…
2 April 2026, 13:53
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
29 March 2026, 09:17
Hata hivyo, baadhi ya wanawake wamesema bado wameshindwa kunufaika na mikopo hiyo kutokana na kupata usumbufu,ukosefu wa uelewa na wengine hushindwa kufikia vigezo vinavyohitajika. Na Katalina Liombechi Wanawake Katika Halmashauri ya mji wa Ifakara wametakiwa kuendelea kuchangamkia fursa za uwezeshwaji…
27 March 2026, 20:57
Miradi hii inatarajiwa kupitiwa na mwenge wa uhuru ikilenga kuboresha huduma za kijamii na miundombinu kwa wananchi wa eneo hilo Na Kuruthumu Mkata Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Wakili Dunstan Kyobya ameongoza Kamati ya Usalama ya Wilaya leo katika ziara…
26 March 2026, 16:39
Jitihada hizo zimefanikiwa kwa kuungwa mkono na (AWF) kupitia mradi wa Sustain-Eco wanaoutekeleza kwa kushirikiana na IUCN Na Hospice lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa imendelea kuchukua hatua za kupunguza mwingiliano kati ya binadamu na tembo kwa…
25 March 2026, 19:33
Lengo ni kuinua kipato cha wakulima kuchangia kukuza uchumi wa mkoa na taifa kwa ujumla. Na Katalina Liombechi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mheshimiwa Adam Malima, amezindua rasmi zoezi la ugawaji wa miche bora ya mikorosho kwa wakulima wa mkoa…
25 March 2026, 11:20
Kupitia Mradi wa Sustain-Eco, unaotekelezwa kwa ushirikiano wa AWF na IUCN chini ya ufadhili wa serikali ya Sweden, ulitoa zaidi ya shilingi milioni 25 mwezi Oktoba 2025 kusaidia juhudi hizo. Na Hospice Lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya…
24 March 2026, 18:41
Jeshi la Zimamoto na Uokoaji linaendelea na juhudi za uokoaji pamoja na kuhakikisha wananchi wanapatiwa msaada na kubaki salama wakati huu Na Katalina Liombechi/Kuruthumu Mkata Kaya zaidi 100 katika Wilaya ya Kilombero zimeathiriwa na mafuriko yaliyotokea usiku wa kuamkia leo,…
21 March 2026, 11:43
Doria ya pamoja ya maafisa wa mazingira na kamati ya kijiji imebaini uharibifu wa msitu wa hifadhi wa Kilombero (KNFR), huku mamlaka zikitoa onyo kali dhidi ya vitendo vya ukataji miti na uchomaji mkaa. Na Isidory Mtunda Maafisa kutoka Kitengo…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.