Pambazuko FM Radio
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
89.5 MHz
Ifakara, Morogoro
+255 684 622 798
pambazukofm@gmail.com
https://pambazukofm.co.tz/
Picha ya kituo cha kupoza Umeme Ifakara{Picha na Kuruthum Mkata} “Uwepo wa kituo hicho umeondoa kwa kiasi kikubwa tatizo la kukatika kwa umeme katika maeneo ya Mng’eta na Mchombe, hivyo REA kwa juhudi zake za kusambaza umeme vijijini na…
18 June 2026, 20:36
Shirika la Six Rivers Africa limetoa mafunzo hayo likiamini kuwa elimu ya ikolojia inayowafikia wanafunzi kupitia walimu wao itachangia kujenga kizazi chenye uelewa wa kina kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira Na Katalina Liombechi Shirika la Six Rivers Africa limetoa mafunzo…
18 June 2026, 19:56
Fedha hizo ni kusaidia ujenzi wa jengo la mama na mtotokatika zahanati ya Kijiji Kanyenja ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mradi wa ULS wenye lengo la kujenga uhusiano mzuri kati ya wananchi wanaopakana na hifadhi zilizopo katika Ushoroba wa…
16 June 2026, 14:48
Baadhi ya wanafunzi katika Halmashauri ya Mji wa Ifakara wamesema walimu, wazazi na walezi huathiri uchaguzi wao wa tahasusi na masomo, na hivyo wito kutolewa kwa wadau wa elimu kuunda mazingira yatakayowasaidia wanafunzi kufikia ndoto zao za kitaaluma. Na: Henry…
13 June 2026, 13:52
“Elimu ya ufundi stadi ni ujuzi muhimu unaotolewa chuoni, na ujuzi huo unamwezesha kijana kujitegemea na kuepuka utegemezi.” Mwalimu Peter Magoda, mtaalamu wa matumizi ya kompyuta. Na Henry Mwakifuna Maisha ya sasa bila elimu si kitu. Hayo yamesemwa na Mwalimu…
10 June 2026, 14:04
Shirika la Plan International limehitimisha shughuli zake za ufadhili wa watoto katika Wilaya ya Kilombero baada ya zaidi ya miaka 30, likiacha mafanikio makubwa katika elimu, afya, ustawi wa watoto na uwezeshaji wa jamii. Na: Isidory Mtunda Baada ya zaidi…
8 June 2026, 13:06
Uwepo wa madaktari hao ni fursa muhimu kwa wananchi kupata huduma za kibingwa karibu na maeneo yao, huku pia ikichangia kubadilishana uzoefu na ujuzi wa kitabibu Na Katalina Liombechi Wananchi wa Ifakara na maeneo mbalimbali ya Mkoa wa Morogoro wamehimizwa…
8 June 2026, 11:48
Viongozi wa kijiji cha Mbingu na kamati ya mazingira wamepatiwa mafunzo ya uhifadhi wa misitu na udhibiti wa moto ili kuimarisha ulinzi wa Msitu wa Asili wa Kilombero na kupunguza uharibifu wa mazingira unaotokana na shughuli za kibinadamu Na: Isidory…
6 June 2026, 09:20
Biashara ya hewa ukaa itasaidia kupunguza hewa chafu inayoweza kuathiri afya za wananchi pamoja na kuchangia ongezeko la mapato kwa jamii Na Kuruthumu Mkata Kampuni ya Lasting Forest Solutions imetoa mafunzo ya elimu kuhusu hewa ukaa na ushoroba kwa wajumbe wa Kamati Tendaji…
5 June 2026, 21:30
Mkuu huyo wa Wilaya amesisitiza umuhimu wa kulinda na kuhifadhi mto Lumemo ambao ni moja ya vyanzo muhimu vya maji vinavyochangia mtiririko wa Mto Kilombero Na Katalina Liombechi Mkuu wa Wilaya ya Kilombero, Wakili, amesema hatamvumilia mtu yeyote anayejihusisha na…
5 June 2026, 14:07
TFS kupitia KNFR kwa kushirikiana na mradi wa FOLUR imetoa mafunzo ya usimamizi shirikishi wa misitu na udhibiti wa moto kwa kamati za maliasili na wajumbe wa serikali kutoka vijiji 11 vya Wilaya ya Mlimba, kwa lengo la kuimarisha uhifadhi…
Providing a radio broadcasting platform for advocacy,capacity bulding ,Information sharing and Dissemination to the community.
Becoming the best radio station by satisfying listeners needs through innovative and quality radio programs.